Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

Pale kuna mchezo mbaya ulifanyika, na yule kijana wake anajua. Vipi ukubali chief awe mbele kuongoza strike na yeye hata bado ako madarakani kama rais? Hivi hakukua na vijana mahiri wangekuwa frontline? Africa hii dadeq! 🤣 🤣 🤣
Walirudishwa nyuma mara tatu,akawalazimisha wasonge mara ya nne wakarudishwa tena,akaona isiwe taabu kama kawaida yake mbabe wa Toyota war akatangulia mbele kuongoza akifuatwa na wanaye watatu na shemeji yake,wakashambuliwa gari aliyekuwemo ikanasa kwenye vumbi,zikaendelea kumiminwa mpaka helicopter ikaja akapelekwa Djamena akajifia kishujaa.
 
Hapana mkuu hakuna uzi specifically nilikozungumzia ila mara chache inatokea nagusia kidogo. Mostly humu wanapenda kuzungumzia current trending issues. Alafu pia sipendi kuanzisha uzi kwa hiyo unakuta vitu vingi vya kusema lakini tunakosa pa kuchangia.

Dessert Fox alikuwa vizuri kapigana na kina Field Marshall Monty wakiwa na silaha kibao na supplies za kutosha ila wakaja kumshinda alipoishiwa ammunition. Namkubali kwa vile pia alikuwa na utu sio kama kina Himmler na Reinhard Heydrich ambao ni wakatili alafu vitani wazembe.

Ila SS walikuwa na jeshi kamilifu bahati nzuri Hitler alikuwa mjuaji. Alitoka jeshini akiwa na rank ndogo mno ila akataka kuongoza majenerali wake kupigana na nchi nyingi wakati hakuwahi ongoza hata company wala group. Bora Stalin aliwaachia kina Rokossovsky na Zhukov
But kuna kitu sijaelewa kidogo but kinaendana na mada. Kipindi Hitler anavamia Poland, warusi walimpotezea tu lakini vile vile baada ya Ujerumani kufeli kuingia Moscow na kugeuza walipovamia tena Poland Urusi haikureact... In fact walipokaribia Warsaw wali weka kambi kusubiri hadi mjerumani aondoke mwenyewe. Kibaya zaidi Urusi pia walipovamia Poland wakaimalizia tena kwa kuua zaidi na kuteka maelfu.

Poland ilikosea wapi hadi kuadhibiwa kaisi kile? Ama chanzo ni kuwa na wayahudi wengi ndio maana wakaachwa wachinjwe hadi waishe?
 
Israel upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.
Hebu nitajie general mwenye kitambi
 
Ulikuw unatazam wap na Mimi nitazame

Matter of cheo inategemea na miongoz Yao
 
TPDF sijawahi kusikia limetuangusha watanzania maisha yangu yote,tunapolijadili tufanye staha na kuliheshimu, Kada zingine nyingi zimeiangusha Sana Tz lakini sio jeshi
 
Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.

Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)

Kwa nin iko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
Ni utaratibu tu unaweza amua cheo kikaishia hata luteni(nyota2).
 
Israel upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.
Kaka mtu sio yeye
 
Back
Top Bottom