Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Dah, umenikumbusha mbali ulipomtaja Charles de Gaulle 👏🏽Israel viongozi wake wa jeshi huwa wako competent mno sio kama Nigeria uko. Hata Ufaransa ile vita ya pili ya dunia walikuwa na majenerali hamna kitu mpaka alipojitokeza Charles de Gaulle akiwa uhamishoni