Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.

Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)

Kwa nininiko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
Vita inaonyeshwa channel gani?
 
Israel upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.
Usidanganye aliyeshiriki Entebe hakuwa Benyamini huyu waziri mkuu,Bali alikuwa kaka yake ambaye alikufa katika operation huyo kaka alijulikana Kama Yonathan Natanyahu
 
Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.

Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)

Kwa nininiko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
... ha ha ha! Umenikumbusha Iddris Derby Marshal of Chad aliyeuwawa kwa mkuki na mwasi mmoja hivi haribuni siku chache kabla ya kuapishwa tena kwa awamu ya sita ya urais Chad!
 
Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.

Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)

Kwa nininiko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
... kaka; Rav Aluf (Lieutenant General), the highest military rank in IDF ni zaidi ma-Field Marshall unaowajua wewe! Kuwa Lieutentant General isikuchanganye ukadhani ni sawa na Lieutenant General wa shitholes! Hizo ni namba nyingine!
 
Israel hawatumii neno General wala zile ranks za Western military hutozikuta. Wao rank yao inayofanana na General inaitwa Rav Aluf ambayo hutumika kwa forces zote za jeshi. Tofauti na General inayotumika kwenye Army, Admiral inayotumika kwenye Navy na Marshall kwenye Air Force.

Nchi nyingine kama North Korea pia hazina ranks kama hizi tunazojua. Ndio maana NATO wana rank zenye namba badala ya majina kama General, unakuta cheo kutoka North Korea kimepewa namba sawa na labda Lieutenant General basi unajua hivi vyeo ni sawa.

Israel imekuwa na Rav Aluf kadhaa kina Moshe Dayan na wengineo
Hebe weka mtiririko wa vyeo vya jeshi hapa na sifa zao toka chini hadi rank ya juu kabisa!!!
 
Israel upewi nyota au kupandishwa cheo kwa kukaa darasani au kisiasa,kule lazima ufanikishe mission maalum,au upate mafunzo yahari ya juu kiasi fulani,
Waziri mkuu wa sasa hv ni komandoo,special forces,alishiriki kwenye operation ya entebe ya kuokoa wanaisrsel waliokuwa wametekwa.
Sio hapa kwetu ukikuta general ana likitambi kama pipa,hajawahi kwenda kwenye mission yoyote,zaidi ya kukaa ofcn,kuingiza ndugu zake jeshini,na kula rushwa tu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa mwanajeshi anakula rushwa gani
 
Nilikua naangalia vita inayoendelea huko 'Middle East' kati ya Israel na wapalestina.

Nimegundua Jeshi la Israeli halina Four Stars General, Mkuu wa Jeshi la Israeli ni Lieutenant General (3 Stars General)

Kwa nininiko hivyo na wakati Majeshi ya Kiafrika ambayo ni very weak lakini yana mpaka Marshall?
Mkuu iko hivii?
Vyeo vya jeshi havivaliwi mabegani bila ya kufuata muundo.

Kila ngazi fulani ya muundo inaongozwa na kamanda mwenye cheo flani.

Mfano kama jeshi litakuwa na muundo wa kikundi cha watu9, basi kamanda wao atakuwa ni koporal, sajenti hahitajiki hapo.

Pia jeshi kama ni kikundi cha watu30, basi kamanda wake atakuwa ni luteni na meja hahitajiki hapo.

Kwa muktadha huo, mataifa hayalingani miundo ya najeshi yake kutokana mahitaji ya mataifa husika yaani kijiogafia na kiuchumi pia.

Kuna nchi zingine kutokana na jiografia yake, yaweza kuwa na jeshi lenye ukubwa wa brigedi moja, hivyo kamanda wake yaani mkuu wa majeshi atakuwa ni brigedia jenerali au unavyowaita wewe one star general na meja jenerali ama heo kingine cha juu hakitahitajika hapo.

Hata kama viichi vidogo sana vitahitaji kuwa na askari kombania moja basi mkuu wake wa majeshi atakuwa ni meja kutokana na muundo huo.

Sisi Tz cheo cha juu kabisa kilichostahili kimuundo ni luteni jenerali(3 star general) kutokana na muundo uliopo wa 'formation' ambao haujafikia 'Army'.

Utaratibu wa kuwatunukia maafisa wa jeshi cheo cha jenerali(4 star general) nchini Tz uliasisiwa na hayati mwalimu Nyerere baada ya 'vita vya Idd Amin' kutokana na lufufu ya majeshi iliyokuwepo wakati huo.

Waliomfuatia wakakaririshwa(nadhani jwa jili ya maslahi binafsi) kuwa mkuu wa majeshi anastahili na lazima awe jenerali, ambapo siyo sahihi.

Tunavyoona sasa, kumpachika mkuu wa majeshi cheo cha jenerali(4 star general) nje ya muundo uliopo sasa(active service) ni siasa.
 
Israel hawatumii neno General wala zile ranks za Western military hutozikuta. Wao rank yao inayofanana na General inaitwa Rav Aluf ambayo hutumika kwa forces zote za jeshi. Tofauti na General inayotumika kwenye Army, Admiral inayotumika kwenye Navy na Marshall kwenye Air Force.

Nchi nyingine kama North Korea pia hazina ranks kama hizi tunazojua. Ndio maana NATO wana rank zenye namba badala ya majina kama General, unakuta cheo kutoka North Korea kimepewa namba sawa na labda Lieutenant General basi unajua hivi vyeo ni sawa.

Israel imekuwa na Rav Aluf kadhaa kina Moshe Dayan na wengineo

IMG_4357.jpg

Moshe Dayan Mzee wa kijicho kimoja, alikua hatari sana huyu mwamba..!!!
 
Katika sheria za israel kwenye mission yoyote ya hatari kama ile ni marufuku ndugu wa tumbo moja kushirikia kama wewe na kaka yako ni makomandoo basi anachukuliwa mmoja tu.benjamin netanyahu hakuwemo kwenye ile operation kwa kuwa alikuwemo ndugu yake huyo.
Kwa hiyo mleta mada katupiga kudai waziri mkuu wa Sasa wa Israel alikuwepo Entebe siku hiyo.
 
Katika sheria za israel kwenye mission yoyote ya hatari kama ile ni marufuku ndugu wa tumbo moja kushirikia kama wewe na kaka yako ni makomandoo basi anachukuliwa mmoja tu.benjamin netanyahu hakuwemo kwenye ile operation kwa kuwa alikuwemo ndugu yake huyo.
Kaka yake na siye yeye. ndiye mwanajeshi pekee wa Israel aliyeuawa kwenye operesheni hiyo.
 
Back
Top Bottom