Kwanini Jeshi imara kama Israel halina 4 stars General?

Pale kuna mchezo mbaya ulifanyika, na yule kijana wake anajua. Vipi ukubali chief awe mbele kuongoza strike na yeye hata bado ako madarakani kama rais? Hivi hakukua na vijana mahiri wangekuwa frontline? Africa hii dadeq! 🤣 🤣 🤣
Walirudishwa nyuma mara tatu,akawalazimisha wasonge mara ya nne wakarudishwa tena,akaona isiwe taabu kama kawaida yake mbabe wa Toyota war akatangulia mbele kuongoza akifuatwa na wanaye watatu na shemeji yake,wakashambuliwa gari aliyekuwemo ikanasa kwenye vumbi,zikaendelea kumiminwa mpaka helicopter ikaja akapelekwa Djamena akajifia kishujaa.
 
But kuna kitu sijaelewa kidogo but kinaendana na mada. Kipindi Hitler anavamia Poland, warusi walimpotezea tu lakini vile vile baada ya Ujerumani kufeli kuingia Moscow na kugeuza walipovamia tena Poland Urusi haikureact... In fact walipokaribia Warsaw wali weka kambi kusubiri hadi mjerumani aondoke mwenyewe. Kibaya zaidi Urusi pia walipovamia Poland wakaimalizia tena kwa kuua zaidi na kuteka maelfu.

Poland ilikosea wapi hadi kuadhibiwa kaisi kile? Ama chanzo ni kuwa na wayahudi wengi ndio maana wakaachwa wachinjwe hadi waishe?
 
Hebu nitajie general mwenye kitambi
 
Ulikuw unatazam wap na Mimi nitazame

Matter of cheo inategemea na miongoz Yao
 
TPDF sijawahi kusikia limetuangusha watanzania maisha yangu yote,tunapolijadili tufanye staha na kuliheshimu, Kada zingine nyingi zimeiangusha Sana Tz lakini sio jeshi
 
Ni utaratibu tu unaweza amua cheo kikaishia hata luteni(nyota2).
 
Kaka mtu sio yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…