RIP Shujaa Magufuli
Hawa wajin kweli kweli, wanadhani Tanzania ni sawa na Kenya. Washughulikiwe vilivyoGen X hao 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RIP Shujaa Magufuli
Hawa wajin kweli kweli, wanadhani Tanzania ni sawa na Kenya. Washughulikiwe vilivyoGen X hao 😂😂
Iko wapi?Wewe nilifikiri una akili na mtu wa facts and data driven, kumbe akili yako ndio hii, nimeshangaa sana
Mbona unatumia muda wako kujibizana na kicho kichaa? Huyo ni wa kupotezea tu ndugu yangu na kuliko kujadiliana naye heri ujadiliane na meza. Yeye maskani yake ni chini ya meza anakonenepeana kwa makombo.Upumbavu wa tamaduni zenu huko usifikiri unatumika kila mahali kwa ufanisi.
Vijana walioshiriki kongamano la ccm walilipwa. Vijana wanaozuiwa kwenda Mbeya kwenye kongamano la Chadema wamejikipia wenyewe gharama za kufika huko...hapo ndio shida inapoanzia kwa watawalaJeshi la polisi linafuata amri. Walaumu wanaotoa amri
Mnatakiwa kuelewa kuwa dhumuni ndio limezuiwa.Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako
Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi
View attachment 3067189
View attachment 3067190
Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba
Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa
View attachment 3067194
Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao
View attachment 3067197
Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile
View attachment 3067199
Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?
Pia soma:
Siku ya vijana siyo siri...si kweli, hivi siku ya dunia ya vijana ni siri?
Kumbe upo huru?Angalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako
Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi
View attachment 3067189
View attachment 3067190
Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba
Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa
View attachment 3067194
Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao
View attachment 3067197
Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile
View attachment 3067199
Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?
Pia soma:
Hii ya kutoka maekekezo yasiyozingatia katiba wala Sheria ni hatari, kwa maana inaonyesha wakielekezwa kuachana na wake zako au waume zao watatekeleza?!! Mambo ya ajabu!!!!Jeshi la polisi linafuata amri. Walaumu wanaotoa amri
Haya ninayo yafanya ni kwa maksudi mazima. Nilisha amua baadhi ya hawa watu ambao kazi yao kuu wanapo ingia humu JF ni kushangilia maovu ya CCM, au kukebehi waTanzania wanao umizwa na matendo ya hao wanaowaleta humu.Mbona unatumia muda wako kujibizana na kicho kichaa? Huyo ni wa kupotezea tu ndugu yangu na kuliko kujadiliana naye heri ujadiliane na meza. Yeye maskani yake ni chini ya meza anakonenepeana kwa makombo.