kukosa fikra mpya na mawazo mbadala ni utumwa mbaya wa kiwango cha juu sana aise...Hadaa zote za mwanzo zimekwisha julikana. Hakuna tena namna ya kuwadanganya waTanzania. Bunduki zetu tutazichukua na kuzielekeza kwenu mkifanya kiburi.
Mimi sikifikirii, nakijuwa kuwa ndicho kinacho kusumbua akilini mwakounachovuta ndicho daima unachofikiria 🤣
Utumwa mbaya ni kufanywa kuwa watumwa na wapumbavu wa aina yenu. Huo ndio utumwa tunao ukataa.kukosa fikra mpya na mawazo mbadala ni utumwa mbaya wa kiwango cha juu sana aise...
unajikuta ni mtu wa kulaani na kujipa matumaini hewa tu muda wote 🤣
Yes,Unajuwa, huyu siyo kijana.
Namjuwa toka siku nyingi huyu.
Ndiyo sababu sikupuuzi, kwa sababu najua sababu inayo kuleta hapa jukwaani kila siku.Yes,
mie ni dingii jomba, wakati ule tulikua pamoja na chairman wenu tukisoma masuala ya uongozi kule uingereza 🐒
Tuishi sio mda yana mwisho , kwani Zambia kiko wapi, wale wale waliokua ila kwa sasa wamepigwa pasi na kunyooka kama kaniki iliyopigwa pasi ni swala mda tuAngalia huu mlolongo wa Siku ya Vijana Duniani, Halafu Toa maoni yako
Haya hapa ni Maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani kwa UVCCM kwenye Uwanja wa Amani, lilihutubiwa na Makamu Mwenyekiti wa ccm Hussein Mwinyi
View attachment 3067189
View attachment 3067190
Hawa hapa nao ni Vijana wa ACT WAZALENDO wakiwa Chakechake Pemba
Mgeni Rasmi alikuwa Ismail Jussa
View attachment 3067194
Lakini linapokuja suala la BAVICHA, Polisi wanaleta chokochoko kwa kutumikishwa na Watawala mithili ya Vitendea kazi vyao
View attachment 3067197
Huku Kauli za Vitisho zikitolewa bila aibu yoyote ile
View attachment 3067199
Je kuna haja ya kulifutilia mbali jeshi la Polisi na kuliunda upya huku baadhi ya viongozi wa Jeshi hilo wakikamatwa na kufunguliwa Mashtaka?
Pia soma:
ukiishi au kulelewa kwenye Taasisi mbovu ni Lazima tu, mawazo na mtazamo na fikra zako pia zitakua mbovu ,Utumwa mbaya ni kufanywa kuwa watumwa na wapumbavu wa aina yenu. Huo ndio utumwa tunao ukataa.
sababu kuu inayonileta humu ni mihemko na ghadhabu za makamanda,Ndiyo sababu sikupuuzi, kwa sababu najua sababu inayo kuleta hapa jukwaani kila siku.
Hakuna malezi mabovu zaidi ya mliyopitia nyinyi, siyo wewe pekee, bali hata hao wanaokulisha sasa hivi. Ndiyo maana mnajifanya kuwa kama machizi vile, mkidhani watu hawajui mnachofanya.ukiishi au kulelewa kwenye Taasisi mbovu ni Lazima tu, mawazo na mtazamo na fikra zako pia zitakua mbovu ,
nawaonea huruma vijanaa wahalifu waliotiwa nguvuni huko mbeya, ni kwasabb ya ubovu wa malezi watoto wa watu wanateseka dah 🐒
akili ya moshi sio 🤣Mimi sikifikirii, nakijuwa kuwa ndicho kinacho kusumbua akilini mwako
malezi ya mihemko, ghadhabu, kutukana na kuporomosha matusi 🤣Hakuna malezi mabovu zaidi ya mliyopitia nyinyi, siyo wewe pekee, bali hata hao wanaokulisha sasa hivi. Ndiyo maana mnajifanya kuwa kama machizi vile, mkidhani watu hawajui mnachofanya.
Sasa moshi umekuwaje tena. Unafikiria moshi wa bangi ulio uzoea wewe?akili ya moshi sio 🤣
Kaondoka Magufuli mwenye tabia hizo, watu wakadhani kutakuwepo na nafuu. Ambacho hawakukijuwa ni kwamba tabia zenu ni mbovu zaidi hata zile alizokuwa akionyesha magufuli.malezi ya mihemko, ghadhabu, kutukana na kuporomosha matusi 🤣
kwani umetumia uhalifu wa moshi wa nini wewe 🤣Sasa moshi umekuwaje tena. Unafikiria moshi wa bangi ulio uzoea wewe?
Hilo unalijuwa wewe mimi silijui.kwani umetumia uhalifu wa moshi wa nini wewe 🤣
Wewe nilifikiri una akili na mtu wa facts and data driven, kumbe akili yako ndio hii, nimeshangaa sanaNia ovu ya Machadema,Lisu kudai atashiriki maandamano kwani yeye ni Kijana? Imewakata hatutaki uhuni.
unamzungumzia tabia za kubwekabweka pembeni, kwamba ati ndani ya chama kuna rushwa unaotembea kumbe jamaa anamuogopa chairman 🤣Kaondoka Magufuli mwenye tabia hizo, watu wakadhani kutakuwepo na nafuu. Ambacho hawakukijuwa ni kwamba tabia zenu ni mbovu zaidi hata zile alizokuwa akionyesha magufuli.
Sasa ndiyo watu wametambua hilo.
si inaonyesha dhahiri shahiri gentleman unavyo yaporomosha kwa nyakati tofauti tofauti 🐒Hilo unalijuwa wewe mimi silijui.
Bangi unazovuta kila siku hazina moshi?
Yeye alibweka bweka watu wakajuwa ukichaa wake ulipo. Huyu unayempigania hapa ukichaa wake ni wa kujichekesha huku akifanya maovu yale yale; kama wewe unavyojifanya kuwa .unamzungumzia tabia za kubwekabweka pembeni, kwamba ati ndani ya chama kuna rushwa unaotembea kumbe jamaa anamuogopa chairman 🤣