Kwanini Jeshi la Polisi mnamuacha Mdude Nyagali anamdhalilisha Rais wetu pasipo kumchukulia hatua?

Siku wakimuua utalipa hii dhahma, siasa sizikutoe utu
 
Uhuru ukizidi ni utumwa,
Naamn sasa kuongoza nchi unatakiwa uipende nchi kuliko dini na Sheria zake,
Uongozi lazima uwe mkatili kiasi Fulani Ili heshima iwepo
 
Huo moyo uendelee kukuuma zaidi ukifikia kiwango cha kukuua litakuwa jambo la kheri kwa Watanganyika.
 
Udhalilishaji ni huu, hospitali ya Serikali kugoma Kutoa mwili wa marehemu Hadi pesa ya mwisho itakapolipwa.
 
Labda umeathirika kifikra na uongozi uliopita wa hayati JPM, ambao ubabe ubabe ulikuwa ndiyo utaratibu wa kawaida na siyo kufuata sheria.

Udhalilishaji unahitaji tafsiri za kisheria tu ili ueleweke kuwa ni udhalilishaji na siyo kudhani. Jeshi letu la polisi linalo nafasi na uelewa wa hilo na litachukua hatua linapoona inafaa.

Hii nchi ni yetu sote, ni vizuri kuepuka kuchochea kuwepo kwa uongozi wa nchi wa kibabe, na kuugeuza kuwa ni utaratibu wa kawaida.

Athari zake, siku kukiwa na Rais asiye wa upande wako, itakuwa ni zamu yako kufanyiwa ubabe usio na tija. Siasa ni kuwa na ngozi ngumu.

Labda leo, Samia akiongoza nchi kwa ubabe hakuna kitu kitabadilika kwa upande wako, na unaweza usioni hata athari za uongozi wa kibabe.

Lakini, kwa kuwa wewe ni binadamu mwenye akili timamu, jipe kihisia nafasi ya kuwa upande tofauti na uliopo, halafu upime ubora wa maoni yako.

Ova
 
Lucas are you real gentleman?. Acha Ku assume unajua Sana na unaushawishi sn, IGP unampagia kiwango cha kutekeleza majikumu yake. IGP sio mwana siasaa kama wewe unaendesha na mihemko ya K-LADIES...
Kwa hiyo unaona sawa lugha chafu zinazotumiwa na Mdude Nyagali kwa Mheshimiwa Rais? Ungekuwa ni wewe ingefurahi? Unaona ndio ukosoaji unavyokuwa hivyo?
 
Mdude hana impact yoyote na ni mtu aliyekata tamaa ambaye hana cha kupoteza. Akivuka mipaka vyombo vya usalama vitadili naye.
 
Pole Kijana, lakini siasa ndivyo zilivyo tunamshauri mama yenu awe mvumilivu tu.

Kama vile msigwa amekaribishwa ccm na kupewa airtime kumtukana mbowe na chama chake.
Kwa kuwa Haki iko upande mmoja mbowe kakaa kimya

Dogo raisi katukanwa, lakini mwenyekiti wa cdm katukanwa zoaidi
 
..kwanini msimnunue ahamie Ccm na aanze kutumika kutukana viongozi wa Chadema?

..kulalamika kwa Polisi kunajenga picha kkwamba Ccm mmeshindwa kupambana na Mdude kwa hoja.
Silalamiki wala sipingi ukosoaji bali napinga na kukataa matumizi ya matusi na lugha za udhalilishaji kwa Mheshimiwa Rais na mtu mwingine yeyote yule.Mdude ni mtu aliyekosa adabu kabisa.
 
Ni lazima tukatae ni kuupinga utamaduni wa kutumia matusi kwa kichaka cha demokrasia
 
Tunahitaji ukosoaji na uhuru wa watu kuzungumza na kutoa maoni yao lakini siyo uhuru wa kudhalilisha wengine kwa kimvuli cha kusema ndio democrasia yenyewe.
 
Siku wakimuua utalipa hii dhahma, siasa sizikutoe utu
Kwa hiyo kwamba unafikiri kuna mwanadamu mabaya hata kufa hapa Duniani? Au unamtisha nani hapa? Watanzania ni lazma tukatae kabisa matumizi ya matusi na udhalilishaji kwa Wengine kwa kigezo kuwa ndio ukosoaji wenyewe.
 
Silalamiki wala sipingi ukosoaji bali napinga na kukataa matumizi ya matusi na lugha za udhalilishaji kwa Mheshimiwa Rais na mtu mwingine yeyote yule.Mdude ni mtu aliyekosa adabu kabisa.

..tuwekee ushahidi wa Mdude kutukana.

..Mdude ni mjenga hoja, na muandishi mzuri, kuliko vijana na wazee wengi mlioko Ccm.
 
Tunahitaji ukosoaji na uhuru wa watu kuzungumza na kutoa maoni yao lakini siyo uhuru wa kudhalilisha wengine kwa kimvuli cha kusema ndio democrasia yenyewe.
Zama za mwendazake ulikuwa wapi kijana?
Kulikuwa na maccm waliokuwa watukana na wanalindwa na Dola
Unakumbuka
1 musiba??
2 doto James
3 makonda
4. Sabaya?
Nikuwekee clip zao uwasikie wakitema kufuru
Nadhani mrekebishe kwanza nyumbani kwenu hapako vizuri
 
..tuwekee ushahidi wa Mdude kutukana.

..Mdude ni mjenga hoja, na muandishi mzuri, kuliko vijana na wazee wengi mlioko Ccm.
Tangia lini Mdude akawa na uwezo wa kujenga hoja? Kama unaona Mdude ni mjenga hoja basi utakuwa na tatizo kubwa sana
 
Lucas Lucas Lukas ww ni mpuuzi kama huyo mamaenu mnaempa sifa za uongo. Ww ni njaa tu inakusumbua. Ndio maana upo tayari kulamba viatu vya mabwana zako ili upate ugali wa chama. Narudia tena ww na huyo mama yenu na chma chenu wote ni mbwa kabisa
Naona umejaa mihemuko na kukosa kabisa busara na ndio maana umeishia kutukana tu.
 
Kwa hiyo unamfundisha kazi IGP si ndio maana yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…