Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Mnyia wa Igamba on one and twoNaona umekosa malezi mazuri ya wazazi wako
We chawa umewashindwa mdude wakati huo akiwa Vwawa utamuweza kweli sasa hivi?
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyia wa Igamba on one and twoNaona umekosa malezi mazuri ya wazazi wako
..Kama huwezi ku-appreciate hoja na maandiko ya Mdude basi utakuwa na tatizo kubwa sana.Tangia lini Mdude akawa na uwezo wa kujenga hoja? Kama unaona Mdude ni mjenga hoja basi utakuwa na tatizo kubwa sana
Mchukulie hatuaSilalamiki wala sipingi ukosoaji bali napinga na kukataa matumizi ya matusi na lugha za udhalilishaji kwa Mheshimiwa Rais na mtu mwingine yeyote yule.Mdude ni mtu aliyekosa adabu kabisa.
Simfundishi kazi na hakuna mahali niliposema kuwa namfundisha kazi. Soma uelewe nilichoandika. Kwa ufupi hakuna demokrasia ya kumdhalilisha mwingine kama sehemu ya kutumia uhuru wako. Halipo jambo la namna hiyo popote pale.Kwa hiyo unamfundisha kazi IGP si ndio maana yake?
Atachukuliwa na vyombo husika maana hayupo juu ya sheria.Mchukulie hatua
Wewe ni mjinga . Hatuna Rais kwasasa Bali tuna fisadi na tapeli. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketeeNdugu zangu Watanzania,
Moyo wangu unaumia sana,unasononeka sana ,una uchungu sana ,una vuja machozi ya hasira kuona,kutizama,kusoma Mdude Nyagali akitumia lugha chafu kumdhalilisha Rais wetu.Kwanini jeshi la polisi Mnamuacha na kumtizama Mtu huyu akiendelea kumdhalilisha Rais wetu kiasi hiki? Mnataka mpaka aseme nini na atumie lugha gani kumdhalilisha Rais wetu ndio mchukue hatua? IGP upo wapi mzee wangu?
Huoni? Huguswi? Unaona ni sawa? Ni kawaida? Ni demokrasia? Kwanini ukae kimya wakati Rais wetu ana dhalilishwa kiasi hiki? Mtu huyu kwamba amekushinda wewe na jeshi lako kumchukulia hatua Kali za kisheria? Yaani Mdude mtoto mdogo akae akimdhalilisha Rais ,mkuu wa nchi? Kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama? Huku wewe ukiwepo Ofisini? Rais Wa Nchi Adhalilishwe kiasi hiki? Kwanini iwe hivi? Mnamuogopa? Kwa lipi? Kwa kipi?
Hamuoni lugha anayotumia ni ya kutweza utu wa Mheshimiwa Rais? Naomba niseme kuwa Watanzania tunapenda na tungependa demokrasia ,uhuru wa watu kuzungumza na kutoa maoni yao vinaendelea kushamiri hapa Nchini kwa afya ya Taifa letu na maendeleo kwa ujumla wake.
Lakini uhuru wa kumdhalilisha Rais wetu,kumtukana,kumshushia heshima haikubaliki hata kidogo,haivumiliki wala haipendezi wala hakuna mtanzania anayeweza kupenda kuona matumizi ya lugha chafu unaofanywa na Mdude Nyagali kwa Rais wetu.watanzania tunapenda ustaraabu , kuheshimiana,kukosoana kwa hoja na kukubaliana kutokukubaliana kwa lugha za kiungwana kabisa.
Hivi kweli mtu aliyepata malezi mazuri ya mama yake au wazazi wake,akakua katika mazingira na malezi yenye kumheshimu mkubwa wake au mtu yeyote yule pamoja na kuwa na hofu ya Mungu,anaweza vipi kutumia maneno na lugha chafu atumiazo Mdude? Ni kweli amewahi kukiri kuwa Mama yake alikufa zamani akiwa mdogo ,lakini mbona wapo watu walizaliwa na mama zao wakafa wakiwa bado wadogo lakini wana maadili mazuri na hawajazibuka na kukosa staha,adabu ,maadili na hekima kama alivyo Mdude Nyagali?
Mdude Nyagali ni mtu aliyekosa adabu,staha,hekima na busara.Ni mtu mropokaji na mkurupukaji tu. Ni mtu ambaye ni kama akili yake alishakatika kabisa mishipa ya fahamu,ni mtu ambaye ni kama ameshaathirka kisaikolojia.
IGP mzee wangu hii haikubaliki kabisa kuona Rais wetu akiendelea kudhalilishwa pasipo kuchukuliwa kwa hatua kwa wahusika aina ya Mdude.inaleta hasira na kuchochea chuki. Tunahitaji ukosoaji lakini siyo udhalilishaji na matusi kwa Rais wetu. Ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anaweza kufurahia na kuunga mkono ayafayayo Mdude? Hapana hii haiwezekani hata kidogo.na kama tukiacha utamaduni huu wa kumdhalilisha Rais wetu ukaendelea utajenga picha mbaya kwa vizazi vijavyo.ni lazima tujenge Taifa linalojali utu wa mtu na kuheshimiana hata kama tunatofautiana Mitizamo.
Sitaki kuweka maneno aliyo tumia maana itakuwa ni kuendelea kumdhalilisha Mheshimiwa Rais wetu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kuna nchi inaongozwa na juha binti kiziwi malkia mikopo , anasema wanyama hawali madini so, tuchimbe tu. Aloo!. Hv ccm wanawatoaga ubongo ndio muwe wanachama au?. Maana ccm hawaelewi chochote n km wamekufa kiakili(zombies)Atachukuliwa na vyombo husika maana hayupo juu ya sheria.
Mdude Na matatizo makubwa sana kichwani mwake na siyo madogo kama unavyotaka kutuaminisha hapa.yule jamaa haja adabu kabisa. Ni mtu ambaye ameshaathirka kabisa na anahitaji msaikolojia kumsaidia kurejea katika hali ya ubinadamu. Kwani wewe kwa akili yako unaona Mdude ni mzima kichwani mwake?..Kama huwezi ku-appreciate hoja na maandiko ya Mdude basi utakuwa na tatizo kubwa sana.
..Mdude ameandika mpaka Kitabu kuhusu mapito yake ktk harakati za kisiasa. Sasa niambie Watanzania wangapi wamefanya hivyo.
..Mdude sio mkamilifu, anayo mapungufu ya kibinadamu. Lakini ni wachache wanaweza kuhimili mitikisiko ya kisiasa aliyopitia.
😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣😂Songwe 🐼
Asee dingi ako anajuta sana bora angepiga nyeto tu kmly
Ninachokupendea bwana mwashambwa pamoja na ujinga wako kichwani unajua kucheza karata zako safi watu wanakutukana lakini wewe uko makini kuchunga ulimi wako ili upalilie teuziHuna lolote unalolielewa kichwani mwako zaidi ya kuropoka ropoka tu hapa kama mlevi wa gongo.
Mchukulie wewe sasa , Kwa nini unasakizia wengine?Ndugu zangu Watanzania,
Moyo wangu unaumia sana,unasononeka sana ,una uchungu sana ,una vuja machozi ya hasira kuona,kutizama,kusoma Mdude Nyagali akitumia lugha chafu kumdhalilisha Rais wetu.Kwanini jeshi la polisi Mnamuacha na kumtizama Mtu huyu akiendelea kumdhalilisha Rais wetu kiasi hiki? Mnataka mpaka aseme nini na atumie lugha gani kumdhalilisha Rais wetu ndio mchukue hatua? IGP upo wapi mzee wangu?
Huoni? Huguswi? Unaona ni sawa? Ni kawaida? Ni demokrasia? Kwanini ukae kimya wakati Rais wetu ana dhalilishwa kiasi hiki? Mtu huyu kwamba amekushinda wewe na jeshi lako kumchukulia hatua Kali za kisheria? Yaani Mdude mtoto mdogo akae akimdhalilisha Rais ,mkuu wa nchi? Kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama? Huku wewe ukiwepo Ofisini? Rais Wa Nchi Adhalilishwe kiasi hiki? Kwanini iwe hivi? Mnamuogopa? Kwa lipi? Kwa kipi?
Hamuoni lugha anayotumia ni ya kutweza utu wa Mheshimiwa Rais? Naomba niseme kuwa Watanzania tunapenda na tungependa demokrasia ,uhuru wa watu kuzungumza na kutoa maoni yao vinaendelea kushamiri hapa Nchini kwa afya ya Taifa letu na maendeleo kwa ujumla wake.
Lakini uhuru wa kumdhalilisha Rais wetu,kumtukana,kumshushia heshima haikubaliki hata kidogo,haivumiliki wala haipendezi wala hakuna mtanzania anayeweza kupenda kuona matumizi ya lugha chafu unaofanywa na Mdude Nyagali kwa Rais wetu.watanzania tunapenda ustaraabu , kuheshimiana,kukosoana kwa hoja na kukubaliana kutokukubaliana kwa lugha za kiungwana kabisa.
Hivi kweli mtu aliyepata malezi mazuri ya mama yake au wazazi wake,akakua katika mazingira na malezi yenye kumheshimu mkubwa wake au mtu yeyote yule pamoja na kuwa na hofu ya Mungu,anaweza vipi kutumia maneno na lugha chafu atumiazo Mdude? Ni kweli amewahi kukiri kuwa Mama yake alikufa zamani akiwa mdogo ,lakini mbona wapo watu walizaliwa na mama zao wakafa wakiwa bado wadogo lakini wana maadili mazuri na hawajazibuka na kukosa staha,adabu ,maadili na hekima kama alivyo Mdude Nyagali?
Mdude Nyagali ni mtu aliyekosa adabu,staha,hekima na busara.Ni mtu mropokaji na mkurupukaji tu. Ni mtu ambaye ni kama akili yake alishakatika kabisa mishipa ya fahamu,ni mtu ambaye ni kama ameshaathirka kisaikolojia.
IGP mzee wangu hii haikubaliki kabisa kuona Rais wetu akiendelea kudhalilishwa pasipo kuchukuliwa kwa hatua kwa wahusika aina ya Mdude.inaleta hasira na kuchochea chuki. Tunahitaji ukosoaji lakini siyo udhalilishaji na matusi kwa Rais wetu. Ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anaweza kufurahia na kuunga mkono ayafayayo Mdude? Hapana hii haiwezekani hata kidogo.na kama tukiacha utamaduni huu wa kumdhalilisha Rais wetu ukaendelea utajenga picha mbaya kwa vizazi vijavyo.ni lazima tujenge Taifa linalojali utu wa mtu na kuheshimiana hata kama tunatofautiana Mitizamo.
Sitaki kuweka maneno aliyo tumia maana itakuwa ni kuendelea kumdhalilisha Mheshimiwa Rais wetu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwani hujuwi wenye mamlaka ya kufanya hivyo? Kwanini unaonyesha umbumbumbu wako kiasi hiki.Mchukulie wewe sasa , Kwa nini unasakizia wengine?
Roho yako chafu ya kishetani usilazimishe na wengine wakawa nayo
Kwa hiyo mlikuwa chumbani mnayaongelea ?Siwezi kuweka hapa .
Sipo hapa jukwaani kwa ajili ya kutafuta uteuzi ndugu yangu. Nipo kwaajili ya kuzungumza ukweli tu.Ninachokupendea bwana mwashambwa pamoja na ujinga wako kichwani unajua kucheza karata zako safi watu wanakutukana lakini wewe uko makini kuchunga ulimi wako ili upalilie teuzi
Safi sana kijana bado kidogo tu utateuliwa kuwa hata katibu taarifa najua unausaka sana uteuzi ingawa kiukweli kichwani mwako Kuna makamasi tu
Kwa hiyo na wewe unawaelekeza cha kufanya kwa kuwa wao hawajui sio?Kwani hujuwi wenye mamlaka ya kufanya hivyo? Kwanini unaonyesha umbumbumbu wako kiasi hiki.
Wewe ni njaa kali unayejaribu kulazimisha upate chochote, na Kwa bahati mbaya una nyota ya nyokaSipo hapa jukwaani kwa ajili ya kutafuta uteuzi ndugu yangu. Nipo kwaajili ya kuzungumza ukweli tu.
Kwani Wapi nilipoandika kuwa natafuta uteuzi ndugu yangu.Wewe ni njaa kali unayejaribu kulazimisha upate chochote, na Kwa bahati mbaya una nyota ya nyoka
Hata Mimi nashangaa, nadhani ni project Fulani.Ndugu zangu Watanzania,
Moyo wangu unaumia sana,unasononeka sana ,una uchungu sana ,una vuja machozi ya hasira kuona,kutizama,kusoma Mdude Nyagali akitumia lugha chafu kumdhalilisha Rais wetu.Kwanini jeshi la polisi Mnamuacha na kumtizama Mtu huyu akiendelea kumdhalilisha Rais wetu kiasi hiki? Mnataka mpaka aseme nini na atumie lugha gani kumdhalilisha Rais wetu ndio mchukue hatua? IGP upo wapi mzee wangu?
Huoni? Huguswi? Unaona ni sawa? Ni kawaida? Ni demokrasia? Kwanini ukae kimya wakati Rais wetu ana dhalilishwa kiasi hiki? Mtu huyu kwamba amekushinda wewe na jeshi lako kumchukulia hatua Kali za kisheria? Yaani Mdude mtoto mdogo akae akimdhalilisha Rais ,mkuu wa nchi? Kiongozi wa serikali na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na usalama? Huku wewe ukiwepo Ofisini? Rais Wa Nchi Adhalilishwe kiasi hiki? Kwanini iwe hivi? Mnamuogopa? Kwa lipi? Kwa kipi?
Hamuoni lugha anayotumia ni ya kutweza utu wa Mheshimiwa Rais? Naomba niseme kuwa Watanzania tunapenda na tungependa demokrasia ,uhuru wa watu kuzungumza na kutoa maoni yao vinaendelea kushamiri hapa Nchini kwa afya ya Taifa letu na maendeleo kwa ujumla wake.
Lakini uhuru wa kumdhalilisha Rais wetu,kumtukana,kumshushia heshima haikubaliki hata kidogo,haivumiliki wala haipendezi wala hakuna mtanzania anayeweza kupenda kuona matumizi ya lugha chafu unaofanywa na Mdude Nyagali kwa Rais wetu.watanzania tunapenda ustaraabu , kuheshimiana,kukosoana kwa hoja na kukubaliana kutokukubaliana kwa lugha za kiungwana kabisa.
Hivi kweli mtu aliyepata malezi mazuri ya mama yake au wazazi wake,akakua katika mazingira na malezi yenye kumheshimu mkubwa wake au mtu yeyote yule pamoja na kuwa na hofu ya Mungu,anaweza vipi kutumia maneno na lugha chafu atumiazo Mdude? Ni kweli amewahi kukiri kuwa Mama yake alikufa zamani akiwa mdogo ,lakini mbona wapo watu walizaliwa na mama zao wakafa wakiwa bado wadogo lakini wana maadili mazuri na hawajazibuka na kukosa staha,adabu ,maadili na hekima kama alivyo Mdude Nyagali?
Mdude Nyagali ni mtu aliyekosa adabu,staha,hekima na busara.Ni mtu mropokaji na mkurupukaji tu. Ni mtu ambaye ni kama akili yake alishakatika kabisa mishipa ya fahamu,ni mtu ambaye ni kama ameshaathirka kisaikolojia.
IGP mzee wangu hii haikubaliki kabisa kuona Rais wetu akiendelea kudhalilishwa pasipo kuchukuliwa kwa hatua kwa wahusika aina ya Mdude.inaleta hasira na kuchochea chuki. Tunahitaji ukosoaji lakini siyo udhalilishaji na matusi kwa Rais wetu. Ni nani mwenye akili Timamu na anayejitambua anaweza kufurahia na kuunga mkono ayafayayo Mdude? Hapana hii haiwezekani hata kidogo.na kama tukiacha utamaduni huu wa kumdhalilisha Rais wetu ukaendelea utajenga picha mbaya kwa vizazi vijavyo.ni lazima tujenge Taifa linalojali utu wa mtu na kuheshimiana hata kama tunatofautiana Mitizamo.
Sitaki kuweka maneno aliyo tumia maana itakuwa ni kuendelea kumdhalilisha Mheshimiwa Rais wetu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.