Kwanini Jeshi la Polisi mnamuacha Mdude Nyagali anamdhalilisha Rais wetu pasipo kumchukulia hatua?

Lucas, aliyopitia Mdude Nyagali Chadema yanatosha, hebu mfumbieni macho kwanza!
Ajifunze kutumia lugha na kujenga hoja kwa lugha za staha ,adabu na hekima na ujumbe wake utafika bila shida yoyote ile.kuliko kutumia lugha chafu za udhalilishaji na kutukana watu bila sababu
 
Ajifunze kutumia lugha na kujenga hoja kwa lugha za staha ,adabu na hekima na ujumbe wake utafika bila shida yoyote ile.kuliko kutumia lugha chafu za udhalilishaji na kutukana watu bila sababu

..yaani mtu afanye jambo la kinyang'au halafu anawapangia watu namna ya kumkosoa?!
 
Hivi we b.wege una watoto au familia? Wanajisikiaje kusoma u.haro wako humu JF?
 
Maelezo marefu ya kipuuzi, hakuna heshima yoyote kwa viongozi wanaoingia madarakani kwa chaguzi za kishenzi.
 
Ungekuwa wa maana kama ungeongelea pesa iliyochorwa BOT chini ya usimamizi wa huyo Mzanzibari unayemwita rais wenu
Acheni upotoshaji na uzushi wenu hapa.pesa zipi zilizochotwa kutoka BOT? Soma ufafanuzi wa Mheshimiwa waziri wa fedha na siyo kuleta uongo wako hapa.
Huyo waziri ndiye mwizi namba moja akishirikiana na boss wake kufilisi nchi. Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
 
Mdude_Nyagali njoo umjibu huyu chawa wa ccm...inaonekana hakujui vizuri
 
Kwa sasa Vyombo vya Ulinzi na Usalama vijikite kupambana na Utekaji wa watoto ambao umeshamiri nchini!
Siyo kushughulika na wale wanaomsema Rais! Mbona wale Mawaziri wanaomtukana Rais kama Makonda alivyosema hawajashughulikiwa?
 
Itakuwa wanamuona kama Nabii Tito ukimkamata ndiyo unazidi kumpa umaarufu.
 
Akili ya Mdude inaonyesha dhahiri namna alivyo kosa malezi ya wazazi wake.ni mtu mwenye matatizo katika mfumo wake wa fahamu.
Hapo ndo tunapokosea binadamu wengi! Kwanini unawahukumu wazazi wa Mdude kwa tabia yake? Je unaweza kuwahukumu wazazi wa Hayati Lowasa kwa kufanya ufisadi? Sio sahihi Mkuu
 
Mamlaka ya teuzi nchini hebu mgeukieni na huyu Kijana Lucas - anajitahidi mno kuwafurahisha ila kila mkeka ukitoka ni OUT.
Mnamvunja moyo kwa kweli hebu mpeni hata ka uDC walau kwa miezi 06 ili muone utendaji wake.
 
Itakuwa na wewe ni wale aina ya watu waliokosa adabu na hekima
Sijawahi kuheshimu viongozi wasioheshimu chaguzi, na kwa bahati mbaya mimi sio mtu wa kujipendekeza ili kupata madaraka kama wewe.
 
Hapo ndo tunapokosea binadamu wengi! Kwanini unawahukumu wazazi wa Mdude kwa tabia yake? Je unaweza kuwahukumu wazazi wa Hayati Lowasa kwa kufanya ufisadi? Sio sahihi Mkuu
Ufisadi upi wa Lowassa unaouzungumzia. Maana hajawahi kushitakiwa kwenye mahakama yoyote ile
 
Punguani kuliko Mdude.
Mdudu syo chawa kama wewe mwendawazimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…