Afadhali nimejua......!
Thanks partner for this veeeeery usiful thread!
umejuaje?Mkeo nini?
Wewe nae kwani hilo ndo kauliza Asha D??
Mie kuna rafiki yangu aliniadd bila mimi kujua nikawa napata reminder kwenye email kuwa we have missed you ..........................nikaamua kuanza kuchangia
Miye nilijiunga kutafuta mke, bahati mbaya mpaka leo hii sijapata 🙁
Thank you for coming back i was almost dying:biggrin1:The Finest... leo umeota nini??? naona you are not OK.... ngoja maybe you will be your normal self sasa hivi...
Niko hapa mbona sijaona thread ya kutafuta nikumbushe basi
Dena thankyou for sharing... na asante kwa kulinda uchakachuaji wa TF.... lol
za siku shem? umetupa jongoo na mti wake?lol!
Thank you for coming back i was almost dying:biggrin1:
MOD piga BAN hii mutu mbona haisikii kuchakachua thread???
Sawa JF Moderator 3:biggrin1:Huyu usipomkumbusha ataharibu kila kitu hafai kabisa
Tunafurahi kuwa nawe hapa JF Asha D, busara zako ni nzuri sana ila uwe unatutembelea na kule kwetu Tech, Gadgets & Science Forum
Unajua nini Asha,
kuna wakati mtu unakuwa na mambo yako ya ndani sana,very personal!
na unajikuta huna mtu wa kushea nae at least uweze kupunguza ile tension,
na kupata relief kidogo,Nadhani kwa upande wangu msukumo ulianzia hapo, baada ya marafiki kujaribu, kuniconvice na kujistify presence yao hapa JF, BASI NAMI NIKASHAWISHIKA.
Kiukweli i never regret to be part of the team,
Kila siku ni sikukuu, na wakati mwingine unajuta ni kwanini ulichelewa kuingia JF,
LONG LIVE JF......
Binafsi nachukia saana mambo ambayo serikali yetu inafanya ya kuonea wananchi, hivyo katika mazungumzo kuna mtu sikumbuki ni nani wala sijui ID yake akanipa adress ya JF. Naona malengo yake yalikuwa mazuri nimeweza kuiwasiliana na members mbali mbali na kupata mrafiki wengi wenye mawazo kama ya kwangu. Ubarikiwe mwanzisha thread hii!!!!!!!!!
Ilkuwa kwa bahati mbaya tu,nilikuwa na google picha fulani nikakuta link ya jf.kufungua nikaambiwa siwezi iona bila ya kuwa member nikajiunga nikaicheki picha alafu nikasahau kuhusu jf.juzi wakati wa ajali ya wale wasanii wa taarabu morogoro nikakuta tena link ya jf kwenye google wakati natafuta picha za ajali hile,since then am addicted to this forum
Miye nilijiunga kutafuta mke, bahati mbaya mpaka leo hii sijapata 🙁
MOD piga BAN hii mutu mbona haisikii kuchakachua thread???
Asha,awali ya yote ngoja kwanza nikumwagie misifa mitatu muhimu:
1. Unajituma. Kukandamiza mi post zaidi ya alfu mbili ndani ya siku 45 si mchezo mwanawane.Wengine tuko humu toka 2008 hata post alfu moja hatuna.
2. Unathamini mamemba. Siku 45 umemwaga mi senks zaidi ya mia nne,si haba.Mi likes ndo usiseme,kwa niaba ya ma memba wenzangu woooooote pokea li senks na li likes hilooooooooo mmmmwwwwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
3. U msikivu. Iko siku niliku PM nikakushauri kitu na kwa unyenyekevu ukafuata ushauri wangu,wakati na ku PM nilidhani ungenibararusha si unajua tena mambo ya 'kupotezea'?
Ndugu Asha baada ya utangulizi huo naomba nirejee kwenye mada. Nakumbuka kuna siku nilikuwa napata supu asubuhi maeneo ya Kinondoni. Kipindi hicho ndo issue ya ufisadi wa meremeta imepamba moto.Basi bwana mmoja hapo kijiweni akawa anamsifia mtu anaitwa Mwanakijiji kuwa huyo jamaa kwa kuporomosha mabomu Lyatonga Mrema cha mtoto.Nikamuuliza Mwanakijiji ni nani?,akanishangaa kweli na kuniuliza 'we humjui Mwanakijiji?' nikamwambia simjui,akasema ingia website inaitwa JamiiForums utakutana naye. Nikaingia na kwa kuwa lengo lilikuwa kumsoma Mwanakijiji moja kwa moja nikagota jukwaa la siasa,mwanzoni nilichangia sana tu pale hadi nilipoanza kusikia kizunguzungu nikiingia humo, nikaona mmmhhh nitadata bure ndo nikatafuta jukwaa jingine.Naomba nikiri kuwa toka niingie MMU roho yangu imekuwa bariiiidi na siku ikipita sijaingia naona ka vile ntaumwa.Nawashukuru sana wana MMU kwa michango yenu na kikubwa zaidi namshukuru..........ambaye tumefahamiana humu MMU (mambo ya PM) hadi kuuuuuuu.........
Wasalam,
Wako mwaminifu,
Bishanga Abashaija.
Hadi kupikiana na kupakuliana!!Hiyo bluu naunga mkono hoja hata mimi imenitokea huwa mmmhhhh hapana
Hiyo red naomba umalize sentensi
Acha kuchakachua thread nitamwambia MOD akupige BAN:dance:Hadi kupikiana na kupakuliana!!
Hadi kupikiana na kupakuliana!!