Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Kaka Yaoh

Senior Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
190
Reaction score
361
Hipo hivi,

Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango ili yeyote atakayetaka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliyekuja kabisa.

Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.

Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote ile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili suala mpaka saa hizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
 
Kama Kuna viumbe jeuri basi ni majirani wenye kipato Cha kawaida au Cha chini. Yaani hata ungepika pilau ungekula mwenyewe maana usipo alikwa unaenda kufanya Nini?

Kuhusu maisha Yako na majirani na uongozi wa mtaa, wewe unaonekana unajiweka daraja la kipekee ndiomaana wamekuacha uishi kivyako.
 
Hipo hivi,
(I) Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango hili yeyote
Uliwahi kuwapitia kujitambulisha na/au kuwaalika katika shughuli yako?
 
Hipo hivi,
(I) Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango hili yeyote atakae taka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliye kuja kabisa.

(II) Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa Kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.

(III) Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote hile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili swala mpaka saizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
Kiukweli mtu hawezi tu kukurupuka kwenda kwenye tafrija ya watu bila kualikwa, kama ulitaka waje basi nao ungewapa taarifa kama ulivyofanya kwa hao ndugu zako,
 
Kama Kuna viumbe jeuri basi ni majirani wenye kipato Cha kawaida au Cha chini. Yaani hata ungepika pilau ungekula mwenyewe maana usipo alikwa unaenda kufanya Nini?

Kuhusu maisha Yako na majirani na uongozi wa mtaa, wewe unaonekana unajiweka daraja la kipekee ndiomaana wamekuacha uishi kivyako.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi mgeni huu mtaa sipo kipekee
 
Hipo hivi,
(I) Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango hili yeyote atakae taka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliye kuja kabisa.

(II) Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa Kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.

(III) Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote hile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili swala mpaka saizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
Wala usiwaze mkuu majirani choka mbaya ndivyo huwa walivyo mbaya zaidi kama mungu amekujaalia neema mbalimbali
 
Back
Top Bottom