Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa,Muda nilikuwa sina
Huijui tu furaha ya kumiliki NYUMBA yako kijana narudia tena kumiliki NYUMBA yako sijui unaelewa wwnimejifunza jambo , kujenga nyumba unafanya sherehe je ungefanya mradi mkubwa si ungefuga mtaa,nina jirani zangu hapa mmoja ni mchaga dah huyu ni mshamba sana aliponunua kiwanja akawa analeta rafiki zake kuwaonyesha, mke wake mashauzi kweli mara wapige picha kwenye kiwanja, alipoanza kujenga nasikia akawa anatamba ntajenga nyumba ya moto mtaa mzima, alichojenga sasa mara kapaulia bati ya mama mjane, dirashani kafunga karatasi dah wabongo
Sio dharau hii haikuwa harusi ndo nifanye kuwaalika watu hivyoYaani mi hujaniarika kwenye shughuli halafu nijilete tu?
Hata kama ingekuwa milango inatazamana, hutaniona ng'oo.
Acha dharau mkuu! Washirikishe hata kwenye mchakato ama sivyo potezea kabisaaa hadi mwisho
dada unabusara sana.natamani uwe dada wa hiariMkuu ukihamia sehemu salimia wawili watatu kama una sherehe wakaribisha hao wawili watatu huku ukiwaambia wanaweza karibisha wengine ambao haujaweza onana nao ili mfahamiane zaidi
dada unabusara sana.natamani uwe dada wa hiari
😅😅😅😅kwamba kunamuda zinapoteaga.hahahahaNi busara tu za muda. Karibu
mimi nimeisha jenga nyumba zangu 3, nina viwanja na nimerithi nyumba moja but sijawahi kuona kama ni kitu special kiasi hicho, kila mtanzania anayefanya kazi anauwezo wa kujenga , wewe unakuwa unafurahia nini , jamaa wewe utakuwa ni mtumishi wa umma na mwajiriwa wa serikali(TAMISEMI) maana ndio wenye mawazo haya kama yakoHuijui tu furaha ya kumiliki NYUMBA yako kijana narudia tena kumiliki NYUMBA yako sijui unaelewa ww
Daah ni kweli Mkuu sema umeniponda sana mazee ngoja nibadilishe ili karatasi la chumbani naona ndio linakukera sana...kujenga uzeeni ni shida sana ni sawa na kununua gari uzeeni mkuu watoto wanapewa adhabu kwa sababu ya gari wanatamani lisingenunuliwa...nimejifunza jambo , kujenga nyumba unafanya sherehe je ungefanya mradi mkubwa si ungefuga mtaa,nina jirani zangu hapa mmoja ni mchaga dah huyu ni mshamba sana aliponunua kiwanja akawa analeta rafiki zake kuwaonyesha, mke wake mashauzi kweli mara wapige picha kwenye kiwanja, alipoanza kujenga nasikia akawa anatamba ntajenga nyumba ya moto mtaa mzima, alichojenga sasa mara kapaulia bati ya mama mjane, dirashani kafunga karatasi dah wabongo, huyu wa pili sasa naye ni bwana mifugo flan na mkewe bi mifugo basi kajamaa sijui ni kutoka familia duni, hata hajahamia kaisha korofishana na majirani anawatuhumu kumwibia material , jumba alilojenga ni hidden roof na ukikosea kulijenga unakuwa sijui umejenga nini halipendezi , wabongo nyumba si mafanikio miaka hii ni mamuzi jaman kujenga au kutojenga
Kama mpaka unaanzisha Uzi huu haujaligunduwa kosa lako basi una matatizo ya akili, Fanya haraka ucheki afya yako ya akili.Hipo hivi,
(I) Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango hili yeyote atakae taka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliye kuja kabisa.
(II) Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa Kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.
(III) Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote hile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili swala mpaka saizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
ila nikupe pongezi kwa kujenga , kumbe hata mimi nina mambo mengi ya kufanyia sherehe kama weweHuijui tu furaha ya kumiliki NYUMBA yako kijana narudia tena kumiliki NYUMBA yako sijui unaelewa ww
ah kufunga karatasi sio shida mzee wa isanga, ilolo, nk shida ni unachukuliaje vitu vya kawaida ,one day yes utafanya finishing ,Daah ni kweli Mkuu sema umeniponda sana mazee ngoja nibadilishe ili karatasi la chumbani naona ndio linakukera sana...kujenga uzeeni ni shida sana ni sawa na kununua gari uzeeni mkuu watoto wanapewa adhabu kwa sababu ya gari wanatamani lisingenunuliwa...
Hipo hivi,
(I) Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango hili yeyote atakae taka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliye kuja kabisa.
(II) Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa Kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.
(III) Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote hile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili swala mpaka saizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.