Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Wahaya mna taabu sana kwahiyo hujui kosa lako ni nini hadi usawa huu? achenio mashauzi ishini na jamii vizuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi dharau sasa mkuu daaah!Geti niliacha wazi wao wangekuja tu
Hapo Sasa🤣Umekuwa msiba?
Nao majirani hawakua na Muda.Muda nilikuwa sina
bila kuwaalika Umeacha geti wazi waje waingie kama mbuzi,waliona ni dharau hizo "Hipo hivi,
Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango ili yeyote atakayetaka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliyekuja kabisa.
Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.
Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote ile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili suala mpaka saa hizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu"
Vipi mahusiano yako na majirani kipindi unajenga hiyo nyumba? Au umekuja kuwaarika tu wakati nyumba unahamia na huko nyuma ulikuwa unawalia bati na kuwapita kama ng'omb
Mara nyingi nikikutana na watu njiani kama wanapiga stori wakiniona tu nakaribia huwa Wana katabia cha kukaa kimya hii tabia inanichukizaga sanaVipi mahusiano yako na majirani kipindi unajenga hiyo nyumba? Au umekuja kuwaarika tu wakati nyumba unahamia na huko nyuma ulikuwa unawalia bati na kuwapita kama ng'ombe?
Mimi sio mtemi lakini nina haki ya kupewa taarifa sijajua hapo unapoishi wewe maana huyu balozi anazo namba za wakazi wote wa eneo lake Incase Kuna shida kama hizi taarifa ni muhimu kutolewa mapema[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu anasema amekuta shimo akagundua kwamba bomba limekatika na njia imefungwa, akaenda kwa mjumbe kwamba Kwann njia imefungwa bila yeye kupewa taarifa [emoji23][emoji23] jamaa mtemi sana. Tatizo lipo hapo. Ndio maana mjumbe akasema tutalifanyia kazi Halafu kamute.
Hipo hivi,
Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango ili yeyote atakayetaka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliyekuja kabisa.
Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.
Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote ile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili suala mpaka saa hizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
Teh!Kama Kuna viumbe jeuri basi ni majirani wenye kipato Cha kawaida au Cha chini. Yaani hata ungepika pilau ungekula mwenyewe maana usipo alikwa unaenda kufanya Nini?
Kuhusu maisha Yako na majirani na uongozi wa mtaa, wewe unaonekana unajiweka daraja la kipekee ndiomaana wamekuacha uishi kivyako.
mashataka yake hayana mashiko yaani ufungue tu mlango kisa umepika pilau watu waje? majirani wanaalikwa tena one week before...hata wa5..swala la mabomba kupasuka kawaida na hao ni dwasco...alafu njia ni yake au ya mtaa?Yani ndugu uwaalike alafu majirani wajilete tu kama wahuni?
Ungewaakika hata wawili watatu ungepungukiwa?
Tajiri kuhamia tu anataka mtaa mzima umshobokeemashataka yake hayana mashiko yaani ufungue tu mlango kisa umepika pilau watu waje? majirani wanaalikwa tena one week before...hata wa5..swala la mabomba kupasuka kawaida na hao ni dwasco...alafu njia ni yake au ya mtaa?