Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Hili ni muhimu sana usisahau.
Katika maisha jitahd kadri iwezekanavyo sehem uliyopanga kuishi ununue kiwanja bei ghali zaid. Ni bora ununue kiwanja bei ghali ujenge nyumba ya kawaida kuliko kununua kiwanja bei ndogo ukajenga ghorofa la bei ghali halafu hapo mtaani wewe ukaoneka star wa eneo.
Sehemu unayoishi unaponunua unanunua majiran wa familia na connection ya watoto ukubwani. Ni kama vile unavyosomesha watoto. Zile ada kubwa ni pamoja na kumkonect mtoto na watoto wa wakubwa so katika life lake hawez start from nothing but kuna watu anaojuana nao tayar wazazi wao either ni wafanyabiashara wakubwa au big names ambao kazi ni chap anapata.
 
Vipi mahusiano yako na majirani kipindi unajenga hiyo nyumba? Au umekuja kuwaarika tu wakati nyumba unahamia na huko nyuma ulikuwa unawalia bati na kuwapita kama ng'ombe?
 
Hata ingekua mimi jirani siji
Ushawahi ona wapi mtu anaingia ukumbini tu kwenye harusi kisa ukumbi uko karibu na kwake?
Mwaliko lazima mkuu especially kwenye sherehe ingekua msiba kweli
 
Hipo hivi,
Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango ili yeyote atakayetaka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliyekuja kabisa.

Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.

Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote ile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili suala mpaka saa hizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
Mkuu
Social life haifundishwi shule yeyote ile.

Badilika now or ever you will

Nimesoma between lines ya hoja yako inaonesha hauna good terms na jirani zako.

Badilika
 
Kama haujichanganyi sahau kuzoeleka si ajabu tangu uhamie umetembea baada ya gari kushindwa kufika nyumbani.

Kujichanganya ni kushiriki shughuli za kijamii kama mikutano, misiba na nyinginezo zinazowakusanya wanajamii pamoja.

Sijapewa mwaliko hata awe ni mtu tunafahamiana siwezi hudhuria.
 
Umeingia kwa nyodo za kishamba mtaa utakushinda

[emoji23][emoji23][emoji23] Halafu anasema amekuta shimo akagundua kwamba bomba limekatika na njia imefungwa, akaenda kwa mjumbe kwamba Kwann njia imefungwa bila yeye kupewa taarifa [emoji23][emoji23] jamaa mtemi sana. Tatizo lipo hapo. Ndio maana mjumbe akasema tutalifanyia kazi Halafu kamute.
 
nimejifunza jambo , kujenga nyumba unafanya sherehe je ungefanya mradi mkubwa si ungefuga mtaa,nina jirani zangu hapa mmoja ni mchaga dah huyu ni mshamba sana aliponunua kiwanja akawa analeta rafiki zake kuwaonyesha, mke wake mashauzi kweli mara wapige picha kwenye kiwanja, alipoanza kujenga nasikia akawa anatamba ntajenga nyumba ya moto mtaa mzima, alichojenga sasa mara kapaulia bati ya mama mjane, dirashani kafunga karatasi dah wabongo, huyu wa pili sasa naye ni bwana mifugo flan na mkewe bi mifugo basi kajamaa sijui ni kutoka familia duni, hata hajahamia kaisha korofishana na majirani anawatuhumu kumwibia material , jumba alilojenga ni hidden roof na ukikosea kulijenga unakuwa sijui umejenga nini halipendezi , wabongo nyumba si mafanikio miaka hii ni mamuzi jaman kujenga au kutojenga
Kwa maelezo haya, wewe ni ile aina ya majirani wanoko.
Uliopakana nao wana kazi ya ziada!
 
Back
Top Bottom