Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Kuna mtaa niliwahi amia, sasa kuna barabara mbili za kuingia home, moja inapita kati kati ya nyumba na ndo nikawa napita, siku ya tatu nikakuta mashimo marefu yamechimbwa tena usawa wa matairi [emoji3], nilicheka tu nikapiga rivasi nikapita kwingine.

Kwahiyo mzee kama huna altenative ya kufika kwako kazi unayo, kuna siku wataweka magogo hiyo njia. Waswahili watu wa ajabu sana.


Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
 
Daah ni kweli Mkuu sema umeniponda sana mazee ngoja nibadilishe ili karatasi la chumbani naona ndio linakukera sana...kujenga uzeeni ni shida sana ni sawa na kununua gari uzeeni mkuu watoto wanapewa adhabu kwa sababu ya gari wanatamani lisingenunuliwa...
halafu mke wa jamaa anatoka isanga huko, no
Wewe ni muhaya?
na mimi nimehisi huyu bwana ni mhaya , au mzaramo na lazima ni mwajiriwa wa serikali maana ndio wenye mawazo kama haya
 
Huijui tu furaha ya kumiliki NYUMBA yako kijana narudia tena kumiliki NYUMBA yako sijui unaelewa ww
jamaa kwa hiyo ukafanya bonge la sherehe ukiambiwa taja mafanikio yako mzee utakuwa unasema mimi namiliki nyumba kazaa hapa mjini , hasa ikitokea umejenga kiwanda utachinja hadi ngombe na kuangusha bonge la party , ah nyie Tanzania nchi ngumu hii
 
Kwa maelezo yako kiburi ndicho kinakusumbua jifunze ww sio wa kwanza kumiliki chochote kizuri hapa duniani na sikuhiz hakuna anaezamia kwenye sherehe ya mtu ww kama uliweza alika ndugu majirani ulishindwa? Ingekua ww ungeenda bila kuambiwa karibu. Unaweza ona una misimamo yako una ishi maisha yako lakini haiko hivyo kiburi kama hujielewi kinafanana sana na misimamo kwahiyo chambua maisha yako kwanza alafu ishi vizuri na watu.
 
Kuna mtaa niliwahi amia, sasa kuna barabara mbili za kuingia home, moja inapita kati kati ya nyumba na ndo nikawa napita, siku ya tatu nikakuta mashimo marefu yamechimbwa tena usawa wa matairi [emoji3], nilicheka tu nikapiga rivasi nikapita kwingine.

Kwahiyo mzee kama huna altenative ya kufika kwako kazi unayo, kuna siku wataweka magogo hiyo njia. Waswahili watu wa ajabu sana.


Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Na ww nae wale wale kiburi hakiwaachi salama
 
Hipo hivi,
Jumapili hii niliandaa tafrija nikaalika ndugu na marafiki zangu wa karibu waje kujumuika na mimi kwenye hii nyumba yangu mpya ambayo hipo nje kidogo ya mji wakati tafrija hii ikiendelea nikaona isiwe tabu kufungua mlango ili yeyote atakayetaka kujumuika na sisi basi nae akaribie lakini kwa mshangao hakuna aliyekuja kabisa.

Leo narudi zangu mtaani jioni baada ya mizunguko ya hapa na pale nakuta njiani kuna shimo kubwa ambalo kwa haraka nikatambua kuwa kuna bomba limekatika kwahiyo njia ya kuingilia kwangu haipitiki, hivyo nimelazimika kupaki gari kwenye maegesho ya karibu na kunifanya nitembee kwa mguu mpaka kwangu.

Nimeenda kwa balozi wa nyumba kumi kutoa malalamiko yangu juu ya kufungwa kwa barabara bila ya Mimi kama mkazi wa mtaa huu kupewa taarifa yoyote ile, balozi nae kanipa jibu kuwa atalishughulikia hili suala mpaka saa hizi yamepita masaa matatu hakuna feedback.
Majirani wanavijicho sana hao kawamalizie kwa mwapo.. chukua na maji kabisa uwakomeshe vizuri..🤣
 
Back
Top Bottom