Kwanini jirani zangu hawanichangamkii?

Epuka mambo ya kiswahili kiswahili,hukuwapa heshima ya kutosha ndo maana hawakuja kama mke wako ni mtu wa watu ungepsta hata mashosti zake wangekuja,kiufupi mnafanana kitabia wewe na mke wako huenda SI watu wa kushinda Sana nyumbani ama mke wako anajifungia ndani muda wote,jufunze kusocialize na watu vingivevyo hao hao majirani watakuhujumu hasa kupitia mabeki 3
 
Epuka mambo ya kiswahili kiswahili,hukuwapa heshima ya kutosha ndo maana hawakuja kama mke wako ni mtu wa watu ungepsta hata mashosti zake wangekuja,kiufupi mnafanana kitabia wewe na mke wako huenda SI watu wa kushinda Sana nyumbani ama mke wako anajifungia ndani muda wote,jufunze kusocialize na watu vingivevyo hao hao majirani watakuhujumu hasa kupitia mabeki
 
Katika kosa utafanya kwenye haya maisha ni kujenga mazingira ambayo wale wanaokuzunguka ni watu wa status tofauti na wewe.

Utakutana na kila aina ya Drama ukiwa unaendelea kuishi hapo mahali. Unapoishi na watu umewazidi maisha hata kidogo, basi automatically wataanza kukutengenezea mizengwe ambayo wanafanya kusudi ili kukuonyesha tu kuwa hawaridhiki wewe kuwazidi.

Nakumbuka kuna mtaa niliwahi kuishi, tukaitisha kikao cha ulinzi. Watu wakawa wanapendekeza watafutwe walinzi wa kupiga patrol na kulinda mitaa kuanzia jioni hadi asubuhi. Ila baadhi ya washiriki wa kikao wakapinga hilo wazo kuwa hawawezi kuingia gharama ya kuchangia ulinzi wakati wao hawana magari wala mali za kuibiwa nje.

Kuna situation nyingine ilikuwa ni mtaani barabara iliharibika baada ya mvua kubwa kunyesha. Kukawepo mjadala wa kuchangishana kuleta kifusi na katapila kusawazisha hiyo barabara, watu wakarudia hoja ile ile, kuwa wao hawana magari so hawaoni umuhimu wa kuchangia.

Kilichotokea sasa, wale washiriki waliopendekeza walikodi kampuni ya ulinzi ambayo wakachukua kila muhusika mlinzi wake. Na wakachanga wakaleta kifusi wakajaza maeneo yao ambayo yamechimbika. Wakaachana na maswala ya barabara nzima.

Sasa hii inakupa picha gani kuhusu kuishi na watu usiofanana nao status ya kimaisha.
 
We jamaa yani uache geti wazi ili waje kama vile mbwa koko.

Binafsi hua siendi sehemu kama sijaalikwa
 
Vizuri Madame [emoji120][emoji120][emoji120]
 
Ww si mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…