Kwanini JK asiuze nyumba aliyojengewa na serikali akajenge chuo, shule au hospitali kule Chalinze?

Kwanini JK asiuze nyumba aliyojengewa na serikali akajenge chuo, shule au hospitali kule Chalinze?

Kwanini hao wanaowajengea nyumba na kuongeza mafao ya wenza wao wasione umuhimu wa kujenga vyuo na hospitali kusaidia wananchi?
Kwa sababu wao ndio wao wale wale wenye matamaa ya maisha ambayo kwa kawaida ni maisha mafupi kabisa kabisa ,
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
This is Africa
Wanakwambia n assets
 
Kuna hospitali ishajengwa huko
Sahv iko kwenye hatua za mwisho
Mwisho

Ova
 
watatumia watoto wake, wajukuu zake, ndugu, jamaa na marafiki zake wenye mahitaji muhimu mbalimbali 🐒
Kabisa,maana ni mali yake na familia yake
Na wwee ukipat upenyo usisahau kujipigiaa ujiwekeze ..sawa mwanangu

Ova
 
As if tutaishi milele and as if watoto na wajukuu watakuwa wavivu wavivu wasioweza kujitafutia riziki zao,
Afrika tuna mawazo yetu ya ajabu ajabu .
Sisi hasa Tz hatujawah kujua kuwekeza ni nn na aset nn,
Uwez kuw na jengo ata kupangisha hutak unasema ni asset.
Uwe kuw na shamban kulima hulima kuwapa watu walimu au kukodi huwez unasema assets
 
Sisi hasa Tz hatujawah kujua kuwekeza ni nn na aset nn,
Uwez kuw na jengo ata kupangisha hutak unasema ni asset.
Uwe kuw na shamban kulima hulima kuwapa watu walimu au kukodi huwez unasema assets
Roho mbaya tu,
 
Kwa kweli huyu jigwete amejenga majumba mengi kwa pesa za umma halafu hayatumiki.yaani yamekuwa makazi ya popo.sheria zibadilishwe wawe wanajengewa nyumba Moja tu yenye hadhi.mfano lile la mgombani ni Bora angewapa wananchi waifanye kuwa hospitali.toka ijengwe miaka hiyo kaitelekeza na wananchi Huwa wanaenda kuzoa mbolea za popo magunia na magunia.kodi zetu zinachezewa sana.
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
Hana haja ya kuuza,pale Ikulu si ana mtu wake tayari,sema watu wa Pwani siyo watu wa maendeleo,ni watu wa fitina,uvivu,uchawi na roho mbaya.
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
IPO ya Mkapa, mjini kabisa, Dar, pale wanaishi panya tu, Ila inalindwa 24/7, IPO, ya mwinyi Dodoma, area D, 2010,ilikuwa inalindwa na wana jeshi, ni matumizi Malaya Sana, ya, pesa, ya, umma,ukichukua nusu ya ukwasi ya viongozi wastaafu, kuanzia jaji, spika,kwenda juu, unaweza ukajenga hospitsri nyingine kama muhimbili pale Masasi mtwara,
Au, campus moja ya kibabe ya UD au udom kigoma,
Jimbo LA chalinze, kaya ni maskini balaa, kuna kitongoji kinaitwa Pingo, pale wananchi wanauza ardhi tu, hawana kingine cha kufanya, nyumba za udongo,umaskini mtupu
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
Kwa nini wawasaidie wananchi wa maeneo yao ya asili?
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
Ushauri iwapo itawapendeza Waheshimiwa wawasaidie wahitaji kama yatima,wahanga wa majanga asili,kama mafuriko,pale jagwani ,rufiji na wahitaji wengine,wavune baraka kwani hapa duniani soteni wapitaji tuu,na mali zozote zile zitabaki,je zitakuwa zikienselea kukupatia baraka
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
mwanadamu hajawahi kuridhika na vile alivyo navyo ndugu, hata angekuwa na dunia nzima. kuna watu hawana hata pa kulala, ila kuna wanadamu wana nyumba hawana hata mtu wa kwenda kulala humo. hii ndio dunia.
 
Back
Top Bottom