Kwanini JK asiuze nyumba aliyojengewa na serikali akajenge chuo, shule au hospitali kule Chalinze?

Kwanini JK asiuze nyumba aliyojengewa na serikali akajenge chuo, shule au hospitali kule Chalinze?

Fikra za kimasikini. Yaani agawe mali zake kuwanufaisha wengine?

Mawazo kama haya ndiyo yanachochea umasikini Tanzania
Mbona wazungu wanafanya, yani uwezi kukuta Viongozi wa Ulaya wakimiliki Utajiri kupitia pesa za walipa kodi itakuwa wazungu utajir kwao siyo kipaumbele chao kwa watumishi wa umma.
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
Ni matumizi mabaya ya mali za umma na uhujumu uchumu
 
JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.

Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?

Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.

Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
Nashauri ungeweka hoja vizuri. Labda iwe kuna umuhimu wa kumpa kiongozi mkuu nyumba? Kwani marupurupu na kiinua mgongo wanafanyia nini?
 
Back
Top Bottom