Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Swali makini sana hiliKwanini hao wanaowajengea nyumba na kuongeza mafao ya wenza wao wasione umuhimu wa kujenga vyuo na hospitali kusaidia wananchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali makini sana hiliKwanini hao wanaowajengea nyumba na kuongeza mafao ya wenza wao wasione umuhimu wa kujenga vyuo na hospitali kusaidia wananchi?
Mbona wazungu wanafanya, yani uwezi kukuta Viongozi wa Ulaya wakimiliki Utajiri kupitia pesa za walipa kodi itakuwa wazungu utajir kwao siyo kipaumbele chao kwa watumishi wa umma.Fikra za kimasikini. Yaani agawe mali zake kuwanufaisha wengine?
Mawazo kama haya ndiyo yanachochea umasikini Tanzania
Ni matumizi mabaya ya mali za umma na uhujumu uchumuJK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.
Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?
Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.
Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?
Nashauri ungeweka hoja vizuri. Labda iwe kuna umuhimu wa kumpa kiongozi mkuu nyumba? Kwani marupurupu na kiinua mgongo wanafanyia nini?JK amejilimbikizia majumba ambayo hakuna kiumbe anayeyatumia ipasavyo. Yapo utilized kwa less than 20%.
Katika kuwasaidia wananchi wa kijijini kwao kwanini asiuze nyumba yake aliyopewa na serikali then ajenge chuo au hospitali pale Chalinze watoto wapate elimu?
Naona hali hiyo pia ipo kwa Marehemu Mzee Mwinyi na Mkapa. Wamepewa majengo ambayo kwa hali ya kawaida familia zao zinajitegemea tayari.
Kwanini hawa viongozi au familia zao wasipige mnada nyumba walizopewa wakasaidia wananchi wa maeneo yao ya asili?