Kwanini Kagame anachukiwa sana humu JF?

Kwanini Kagame anachukiwa sana humu JF?

Nitakufa nikiwa lofa lakini sitathubutu kumpenda MUUAJI yeyote duniani.
 
Anachukiwa kwasababu labda kuna kitu anasupport na watu hawakipendi
 
jiwe linapewa mbinu na PK zilizo outdeted ammbazo hazikuisaidia Rwanda mwanzoni wakt pk anachukua nchi.
ila sababu ni jiwe kwa watu wake ukiwa binadamu mweye akili huwezi kuzungumza na jiwe maana kazi ya jiwe ni kutumiwa tu kama pk anavyofanya afu mtu anakuja kuuliza kwa nini pk anachukiwa ?
 
Mleta theread ni Mnyarwanda tena Mtutsi NCHI anaita INCHI, NG'OMBE anaita NGOMBE.....kifupi Kagame anachukiwa kwanza anaongozs kwa mkono wa chuma ukionyesha utofauti unapotezwa,pia ukabila kauongezea chuki serikali ya Rwanda ni ya Kitutsi mpaka akalizimisa ile GENOCIDE COMMEMORATION ijulikane kama mauaji ya kimbali dhidi watutsi mpaka ikaleta mvutano na UN,mwisho ikakubalika kuwa wote waliuana Kagame ni Mkabila pia anaongoza kama Gaddaf alivyoongoza Libya!watanzania wanamchukia kwakuwa ana- missread Rais wetu Na anawaua wanajeshi wetu walioko DRC Atunabudi lazima tumchukie pia alimdharau Rais wetu wa awamu ya 4 for no reasons hivyo kwetu ni adui wa Tanzania.
 
Mkuu mi nilikutana na mmoja bonde la Kilombero, ndani ndani kabisa ukipita Mlimba kuna kibarabara nadhani kinaenda kutokea Songea. Anapasua mbao na kulima mpunga! Nilijiuliza maswali mengi sana. Jamaa aliniambia alijipa miaka 5 ya kutengeneza pesa ndio arudi kwao!
Lakini kusema ukweli jamaa n mjanja sana, anaipenda nchi yake, kapandikiza vibaraka kila sehem, nilishangaa siku moja huko Rufiji kuna jamaa anajifanya mkulima wa mihogo Ikwiriri lakini kasoma hadi chuo kuuliza uraia wake na asili ya jina lake ni Mnyarwanda pure nikajiuliza inakuaje mnyarwanda analima tena mihogo porini anatafuta nini kama si u spy... halafu wengi wao wameoa wabongo ili tu kutupeleleza sisi
 
Kama anaiba kwa ajili ya inchi yake , huyo ni shujaa,

Na Hadi anaiba , tz iko wapi , inamaana bado tumelala
Mwambie aendelee kuiba .tutawamaliza .salamu keshazipata .aache kulialia
 
Halafu jw wetu 14 walipigwa chuma Kule Congo kisa mhuni mmoja tu....kama vipi jiwe nae akaze aache kumchekea...wakienda kule DRC wawachape kwelikweli
 
Mleta theread ni Mnyarwanda tena Mtutsi NCHI anaita INCHI, NG'OMBE anaita NGOMBE.....kifupi Kagame anachukiwa kwanza anaongozs kwa mkono wa chuma ukionyesha utofauti unapotezwa,pia ukabila kauongezea chuki serikali ya Rwanda ni ya Kitutsi mpaka akalizimisa ile GENOCIDE COMMEMORATION ijulikane kama mauaji ya kimbali dhidi watutsi mpaka ikaleta mvutano na UN,mwisho ikakubalika kuwa wote waliuana Kagame ni Mkabila pia anaongoza kama Gaddaf alivyoongoza Libya!watanzania wanamchukia kwakuwa ana- missread Rais wetu Na anawaua wanajeshi wetu walioko DRC Atunabudi lazima tumchukie pia alimdharau Rais wetu wa awamu ya 4 for no reasons hivyo kwetu ni adui wa Tanzania.
Kama wanyarwanda wanampenda , wewe unamchukia wa nini ?

Kwani Ni inchi yako ile
 
Kama wanyarwanda wanampenda , wewe unamchukia wa nini ?

Kwani Ni inchi yako ile
Huna hoja majority rwanda wanamchukia sema wanaogopa na wasio ogopa akina Victoria Ngabire ndo hivyo sekeseke lake tunalishuudia.
 
Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi

Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?

Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana

Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..

Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda

Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini

Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri

Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )

Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..

Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu

Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,

Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,

Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!

KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,

Acheni chuki za kipuuzi
Nenda Rwanda kisha urudi.

utupe mrejesho Tena
 
Nimepitia threads nyingi Sana na comments za watu zinazomhusu Paul kagàme, nimesikitika Sana kwa njisi ambavyo watu hawamupendi kagàme , ninaomba tufanye uchunguzi na comments bila chuki binafsi

Angalieni , katika inchi za Afrika au duniani kote , Ni raisi gani amefanikiwa katika kuiletea maendeleo inchi yake ?

Amewaunganisha wanyarwanda wote , makabira ya Rwanda yote ni wamoja na wanampenda Sana kagàme , hiii Ni kupitia kampeni yake iliyoitwa SOTE NI WANYARWANDA.. na Sasa umoja na mshikamano vinaonekana

Amaefanikisha kumaliza rushwa katika inchi yake , ambapo inchi nyingine zimeshindwa kabisa ..

Elimu Ni Bora kuliko inchi yoyote , mfano kila mtoto ana laptop yake , pia kuonesha ubora wake wa elimu , Tanzania imeazima wataalamu wa IT kutoka rwanda

Anatengeneza ndege zisizotumia rubani maalufu Kama DRONES , na ndizo zinatumika kusambaza madawa inchini

Amewagawia wanyarwanda Ngombe na kuwajengea nyumba nzuri

Ameitangaza rwanda kupitia timu ya kubwa ya England ya ARSENAL kupitia VISIT RWANDA, Leo kila mtu duniani anaulizia RWANDA , watalii wanaongezeka kila kukicha ((nitawaletea takwimu )

Kwakweli Mimi siyo mnyarwanda ila nimependa uongozi wa huyu mjeshi , Ni uongozi unaotakiwa kuigwa na watawala wengine , na tukipata kiongozi wa hivi hata akitawala milele ni sawa tu ..

Angalia Burundi , imepitia matatizo sawa na RWANDA , lakin kimaendeleo na usalama bado iko nyuma Sana , hii Ni kwasababu ya kiongozi mubovu

Nawaomba watanzania wenzangu , tuache chuki binafsi juu ya Paul Kagàme , acha achape kazi kwa ajili ya watu wake ,

Anawaoenda watu wake na watu wake wanampenda Sana , Ni wachahe Sana mainterahamwe ndio hawampendi ,

Kiongozi Bora hawezi kukaa kimya akiona watu wake wanauawa , Ni kiongozi mpumbavu Sana anayeweza kuona watu wake wananyanyaswa na akakaa kimya ..!!

KAGAME ni kiongozi wa watu , na ingewezekana tungefanya awe rais wa Afrika ,

Acheni chuki za kipuuzi
You are not Tanzanian. Nina majina kama kumi ya jf members ambao nawafahamu kama wanyarwanda humu na wewe ukiwa ktk list.
 
Back
Top Bottom