Kwanini Kalemani na Chamuriho? Je, ni kuvunja mtandao?

Kwanini Kalemani na Chamuriho? Je, ni kuvunja mtandao?

Mtanke

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
743
Reaction score
1,839
Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.

Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.

Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?

Muda utaongea
 
Watanzania mlivyo wanafiki. Mafuta ya petroli na dizeli kila siku yanapanda bei na chanzo ni huyo mpiga dili na kundi lake kupandisha bei ya usafirishaji kwa kisingizio Cha kuwapa wazawa tenda. Mama Samia amemtumbua mnaanza kutengeneza majungu.

Inshort toka zamani niliona anabebwa na Mwendazake. Umeme vijijini kazi kubwa ilifanywa na Profesa Muhongo. Huyu ndie aliyehakikisha nyaya zenye umeme mkubwa kufika vijijini na sehemu kubwa kuwekewa mita na kufungiwa umeme kwa ufadhiri wa Wamarekani.

Ndiye aliyeweka tozo ya umeme vijijini kwenye mafuta kipindi cha Jakaya akishirikiana na Waziri wa fedha yule mwanamama.
 
Watanzania mlivyo wanafiki....mafuta ya petroli na dizeli kila siku yanapanda bei na chanzo ni huyo mpiga dili na kundi lake kupandisha bei ya usafirishaji kwa kisingizio Cha kuwapa wazawa tenda. Mama Samia amemtumbua mnaanza kutengeneza majungu...
Ngoja tuone kama yatashuka bei
 
Back
Top Bottom