Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Maswali umeyaona au yamekushinda?Unataka nikujibu swali la kwanza au la pili ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maswali umeyaona au yamekushinda?Unataka nikujibu swali la kwanza au la pili ?
Kwahiyo unataka kututhibitishia ya kwamba sasaafuta yatashuka bei angalau kwa jero? Ngoja nisubiri!Watanzania mlivyo wanafiki....mafuta ya petroli na dizeli kila siku yanapanda bei na chanzo ni huyo mpiga dili na kundi lake kupandisha bei ya usafirishaji kwa kisingizio Cha kuwapa wazawa tenda. Mama Samia amemtumbua mnaanza kutengeneza majungu.
Inshort toka zamani niliona anabebwa na Mwendazake. Umeme vijijini kazi kubwa ilifanywa na Profesa Muhongo. Huyu ndie aliyehakikisha nyaya zenye umeme mkubwa kufika vijijini na sehemu kubwa kuwekewa mita na kufungiwa umeme kwa ufadhiri wa Wamarekani. Ndiye aliyeweka tozo ya umeme vijijini kwenye mafuta kipindi cha Jakaya akishirikiana na Waziri wa fedha yule mwanamama.
Dr. Chamuriho ni mwalimu mzuri tu UDSM - CoET.. bora arudi akapige zake mapindi huko maana anahitajika sana huko kuliko kwenye siasa kwa sasa.Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Inawezekana, time will tellMama wala hatogombea 2025 ila anataka kuweka mtandao wake
Makamba alipinga mradi wa bwawa la umeme la JHPP kwa kisingizio cha mazingira leo ndio anakwenda kusimamia ujenzi. Mbarawa aliitwa Mpumbavu na JPM hadharaniMtandao wa Kikwete? Makamba Mgombea, na Mbarawa mgombea mwenza!
Mama ana safari 2025??? 😃😃🤣🤣🙄🙄😁😁Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Acha uongo mafuta yamepanda na yataendelea kupanda sababu ya kodi zilizowekwa kwenye mafuta.Watanzania mlivyo wanafiki....mafuta ya petroli na dizeli kila siku yanapanda bei na chanzo ni huyo mpiga dili na kundi lake kupandisha bei ya usafirishaji kwa kisingizio Cha kuwapa wazawa tenda. Mama Samia amemtumbua mnaanza kutengeneza majungu.
Inshort toka zamani niliona anabebwa na Mwendazake. Umeme vijijini kazi kubwa ilifanywa na Profesa Muhongo. Huyu ndie aliyehakikisha nyaya zenye umeme mkubwa kufika vijijini na sehemu kubwa kuwekewa mita na kufungiwa umeme kwa ufadhiri wa Wamarekani. Ndiye aliyeweka tozo ya umeme vijijini kwenye mafuta kipindi cha Jakaya akishirikiana na Waziri wa fedha yule mwanamama.
wewe ni CCM au chadema?Flash out Sukuma gang
Axis of Evil ..... Lazima wasafishwe. Kuendelea nao ni hatari kwa Maza.Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Sisi kanda ya ziwa tunachukulia hii issue kama discrimination against watu wa lake zone na off course January hawezi kuwa bora kuliko Dr. Medard. Tutakutana 2025. Huo uHangaya kama mnadhani ni wa kiukweli you will get to know that you were conned during the next elkection. Matogoro was the best minister ever. Unampigia hakufahamu na anapokea simu na kuifantia kazi hapo hapo. He was so good na amefanya kazi kwa nguvu zake zote. Tukutane 2025.Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
NAFANYA KAZI NA WATU WANAOJUA BAYA NA JEMA SINA MDA WA KUROPOKA KWA WATU WAZIMA TUTAMALIZANA KWAInajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Kama huyo mwendazake mnakiri alikuwa na mtandao wake.. kwann na mama asiunde wake?!!Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Si kweli Dr. Chamuliro alitokea Tanroads. Ni mhadhiri wa UDSM. Sijui nini kimetokeaInajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.
Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.
Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?
Muda utaongea
Labda kwa ukabilaSisi kanda ya ziwa tunachukulia hii issue kama discrimination against watu wa lake zone na off course January hawezi kuwa bora kuliko Dr. Medard. Tutakutana 2025. Huo uHangaya kama mnadhani ni wa kiukweli you will get to know that you were conned during the next elkection. Matogoro was the best minister ever. Unampigia hakufahamu na anapokea simu na kuifantia kazi hapo hapo. He was so good na amefanya kazi kwa nguvu zake zote. Tukutane 2025.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app