Kwanini Kalemani na Chamuriho? Je, ni kuvunja mtandao?

Kwanini Kalemani na Chamuriho? Je, ni kuvunja mtandao?

Hahaaa, kwa hilo sahau!!kwani ana shida gani hapo alipo tu kipato chake kwa mwezi kama mbunge ni zaidi ya *4, ya kaxi yake ya ualimu!!!bado miaka yake 5, mafao yake karibia milioni 250!!!
Kwani Prof wa Chuo kikuu analipwa bei gani kwa mwezi ?
 
Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.

Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.

Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?

Muda utaongea
Lile genge lilitaka huyo Chamurika awe namba 1 mara baada ya kifo cha mwendazake wakidai kuwa nafasi ya no.1 ilikuwa ya bara, na sa100 abakie namba 2 maana hiyo ndiyo ilikuwa nafasi ya watu visiwani. Walimaliza mipango yote, na ndiyo ilikuwa sababu ya kusema hakuna msiba, jamaa anachapa kazi wakati alikwishajipumzikia kitambo. Walichelewa kusema ili wakamilishe mipango yao. Kisiki kilienda kukutwa kwa mabeyo ambaye alisema mimi na watu wangu tutamlinda atakayetokana na sheria. Ikawa mwisho wa mipango haramu.
 
Watanzania mlivyo wanafiki. Mafuta ya petroli na dizeli kila siku yanapanda bei na chanzo ni huyo mpiga dili na kundi lake kupandisha bei ya usafirishaji kwa kisingizio Cha kuwapa wazawa tenda. Mama Samia amemtumbua mnaanza kutengeneza majungu.

Inshort toka zamani niliona anabebwa na Mwendazake. Umeme vijijini kazi kubwa ilifanywa na Profesa Muhongo. Huyu ndie aliyehakikisha nyaya zenye umeme mkubwa kufika vijijini na sehemu kubwa kuwekewa mita na kufungiwa umeme kwa ufadhiri wa Wamarekani.

Ndiye aliyeweka tozo ya umeme vijijini kwenye mafuta kipindi cha Jakaya akishirikiana na Waziri wa fedha yule mwanamama.

Huko sahihi,,huyu jamaa kavuruga sana TANESCO,Huduma zimekua za ovyo tofauti na enzi za MUHONGO
 
Inajulikana Kalemani ndie mbunge wa Chato kipenzi cha Hayati na mrithi wa jimbo lake. Pia inajulikana Chamriho ametokea ngazi za juu huko Tanroads ambayo ndio iliyofanikisha ndoto ya Hayati kutwaa urais 2015.

Ukisikia na hotuba ya leo ya mama na ukiangalia walioondolewa hawakuwa wabaya kiutendaji ndio walioshika wizara kubwa na zinazofanya vizuri na kusimamia miradi mikubwa na ziko hadi vijijini kwenye wananchi.

Je, kulikuwa na harufu ya mtandao wa kumkwamisha mama katika safari yake kuelekea 2025?

Muda utaongea
Mizigo hiyo,vunja kabisa
 
Marekebisho tafadhali:

1. Chamriho hakuwa Tanroads.
2. Kutokea mhadhiri udsm coet --> katibu mkuu miundo mbinu --> Mbunge wa kuteuliwa na mwendazake --> waziri miundo mbinu.

Huyu ni wa kanda pendwa, Sukuma gang kindaki ndaki. Uchafu mwingi wa mwendazake ulipitia huku. Alikuwa confidant wa mwendazake.

Kadhia ya malipo mara mbili mbili tanroads na mengi toka CAG na tanroads, bot na TPA yaweza kuwa zilimhusu. Pengine kadhia hizi ziliondoka na bingwa wa madaraja pia.

Huyu bwana, pole pole, bashiri katelefoni nk baba mmoja mama mmoja.

View attachment 1936656

Wanabaki dotto, mjumbe wetu madagascar, Jose Mourinho na pia kule tsis.
Jose Mourinho, umeniacha, ndio nani?
 
Watu makini wanaweza kutoa angalizo kwa Madam President kuhusu utenguzi wa mawaziri vipenzi wa hayati JPM. Ni vyema angewapangia majukumu mengine kabla kuanza kuibuka wingi wa manung'uniko kutoka kanda ile pendwa kwa nyakati hizo.

Mbali ya Chato, maeneo mengi ya kanda ya ziwa yalikuwa ndiyo kipaumbele cha JPM, jambo hilo lilimfanya aonekane shujaa wao. Alichagua mawaziri hawa kimkakati ili waweze kuwa karibu na watu wa kanda hii ili kuwaletea maendeleo.

Kanda hii ilianza kusikia viongozi wao wakiitwa "Sukuma Gang" na kushutumiwa vikali hata pale walipofanya makosa ya kawaida. Chochote kile walichokifanya kiwe chema ama kibaya, kikaanza kuonekana kama wanamkwamisha Mama kuelekea 2025.

Angalizo sasa ni kisije kutokea kile ambacho wengi hawatarajii. Ni kuhusu "sympathy" ya wananchi wa kanda hii juu ya viongozi wao kuanza kutengwa muda mfupi tu mara baada kifo cha JPM. Kanda hii inaweza kugeuka kuwa ndiyo ngome kuu na imara ya upinzani, na mwanzo wa kuelekea katika hitaji la siku nyingi la wapenda mabadiliko la kutaka kupigilia msumari wa mwisho katika jeneza la marehemu mtarajiwa CCM.
Magufuli aliharibu utaratibu mzuri wa kidemokrasia wa wananchi kuchagua viongozi wao.
Kwa hiyo hata hao wananchi wa kanda ya ziwa wakasirike vipi hawana chochote cha kufanya kupitia sanduku la kura kwa kuwa demokrasia ya Tz iliuawa na Magufuli.

Na pia Magufuli amekufa na Samia sasa ndio Rais, ana haki ya kuweka viongozi anaowaona watamfaa kwa staili yake bila kuangalia kabila wala kanda ya mtu
 
Watu makini wanaweza kutoa angalizo kwa Madam President kuhusu utenguzi wa mawaziri vipenzi wa hayati JPM. Ni vyema angewapangia majukumu mengine kabla kuanza kuibuka wingi wa manung'uniko kutoka kanda ile pendwa kwa nyakati hizo.

Mbali ya Chato, maeneo mengi ya kanda ya ziwa yalikuwa ndiyo kipaumbele cha JPM, jambo hilo lilimfanya aonekane shujaa wao. Alichagua mawaziri hawa kimkakati ili waweze kuwa karibu na watu wa kanda hii ili kuwaletea maendeleo.

Kanda hii ilianza kusikia viongozi wao wakiitwa "Sukuma Gang" na kushutumiwa vikali hata pale walipofanya makosa ya kawaida. Chochote kile walichokifanya kiwe chema ama kibaya, kikaanza kuonekana kama wanamkwamisha Mama kuelekea 2025.

Angalizo sasa ni kisije kutokea kile ambacho wengi hawatarajii. Ni kuhusu "sympathy" ya wananchi wa kanda hii juu ya viongozi wao kuanza kutengwa muda mfupi tu mara baada kifo cha JPM. Kanda hii inaweza kugeuka kuwa ndiyo ngome kuu na imara ya upinzani, na mwanzo wa kuelekea katika hitaji la siku nyingi la wapenda mabadiliko la kutaka kupigilia msumari wa mwisho katika jeneza la marehemu mtarajiwa CCM.
Mbona liko wazi hilo, kale ka ndoto ka baba wa taifa, upinzani makini utatoka ndani ya ccm, je ni muda muafaka??? let us wait n see
 
Alaaa kumbe kulikuwa na mtandao wa mwendazake?? Sasa mbona mnakasirika mama akiunda mtandao wake?
Mtandao wa mwendazake maanayake ni Uzarendo sasa mama ana uondoa kuleta mtandao wa ufisadi
 
Zilikuja iptl, epa, dowans, richmund, escrow na sasa ni .... Coming soon!
 
Mama wala hatogombea 2025 ila anataka kuweka mtandao wake
Kwa nini asigombee 2025? Lazima atagombea ili kuleta heshima kwa akina mama. Na ni lazima atashinda uchaguzi mkuu wa 2025. Mwaka 2030 atamwachia mwanamke mwingine shupavu kushika nafasi hiyo nyeti ya urais kwa miaka mingine 10 hadi 2040. Naye ataachia mwanamke mwingine na kadhalika. Ni zami ya akina mama nao kujinafsi kama ambavyo wanaume walivyofanya tangia tupate uhuru. Haya mambo ni ccm tu ndiyo inayaweza.
 
Back
Top Bottom