The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Unauza kalenda!?Kama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.
Kama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.
Huu Ndiyo Ukweli Mchungu Kuwa Mzilankende Kafa Na Sasa Anaongoza Malaika HukoIfike wakati mkubali Magu ni marehemu
Kalenda za muolewa ubelgiji vipiIfike wakati mkubali Magu ni marehemu
Matusi yanakujaje. Unayaweza matusi lakini?Kalenda za muolewa ubelgiji vipi
Marehemu wa nini?Ifike wakati mkubali Magu ni marehemu
Acha hizo......Kama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.
Upuuzi.comKama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.