duh we jamaa mbona mahaba yamezidi,nani kazungumzia uraisi?Hizo takwimu umezitoa wapi? Labda huko chato ndo zinanunuliwa sana!! Ukiwa chato unahisi ndo upo Tanzania nzima!!
Mh Samia yupo sana na ataendelea kuwa Rais wako mpaka 2030!! Hutaki jitundike au kunywa sumu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo ni dalili kuwa wasukuma hawajaenda kula Christmas kwao.
Kama unampenda sana nenda kanywe nae chai - JK Nyerere.Kama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.
We jamaa unazingua mi naongelea kalenda we unaleta habari za kunywa chai mbona havina mahusiano?Kama unampenda sana nenda kanywe nae chai - JK Nyerere.
Sijaongelea urais naongelea mauzo ya kalenda zenye picha ya hayatiPole Sana Mh Dr. S.S. Hassan tunaye mpaka 2030. Hizo kalenda za hayati labda zinanunuliwa na wale aliowapendelea au kuwatumia kuwatesa bàadhi ya watu Fulani Fulani. Tunamshukuru Mungu kwa kutuletea mama ambaye ametufanya wengi tuwe na furaha na Amani. Yaani hatusikii tena matukio ya kutisha ya watu kupotea na mengine mengi. Familia zilidhalilishwa, viongozi kadhaa kudhalilika kama vile hawana mchango kwenye hii nchi. Yaani hebu mwacheni our Queen our Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan. Kazi Iendelee.
Na wewe zamu yako ikifika uta kufa tu hakuna namna,kwa hiyo kaa kwa kutulia usubiri siku yako,pia wewe ukifa siku hiyo kuna watu watalia lakini kuna wengine wata shelekea dunia ipo hivyo mkuu.Kubalini ashakufa na zama zake zimeisha na hakuna mtu kama yeye atakuja tawala tena
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Watu wenye mawazo km yako ndiyo aina ya viongozi tulionao. Hawana mawazo ya kuendeleza nchi ila wamejaa majigambo na matusi ndiyo maana mpk sasa nchi inahangaika na umeme wa mgao, maji, elimu, madawati, matundu ya choo na afya.Mh Samia yupo sana na ataendelea kuwa Rais wako mpaka 2030!! Hutaki jitundike au kunywa sumu!!
Hata shetani hatoki midomoni mwa watu kila kukicha kuliko anavyotajwa Mwenyezi Mungu.Kama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.
MakasirikoHizo takwimu umezitoa wapi? Labda huko chato ndo zinanunuliwa sana!! Ukiwa chato unahisi ndo upo Tanzania nzima!!
Mh Samia yupo sana na ataendelea kuwa Rais wako mpaka 2030!! Hutaki jitundike au kunywa sumu!!
Uwongo uwongo uwongo tuu. Mnajifariju. Mfuateni huko kuzimu umsaidie kukusanya kuni mbanikwe pamojaKama mjuavyo katika kipindi hiki Cha mwisho na mwanzo wa mwaka vijana wengi hujishughulisha na uuzaji wa kalenda zilizonakishiwa kwa sura na picha mbali mbali.
Mojawapo ya picha ambazo zimezoeleka kupamba kalenda hizo ni picha mbali mbali za viongozi wa kitaifa, ambapo wanunuaji hununua kutokana na namna hizo picha zimenakishiwa.
Ila kilichonishangaza ni kwamba Kila kijana anayepita na hizo kalenda anakwambia zenye picha ya mama sina solo lake ni gumu kidogo, ila zenye picha ya hayati hizo zinatoka sana.
Kwa wajuvi wa mambo naomba ufafanuzi.
Kwanini asiwe Rais wako mpendwa wa awamu ya sita?Simu yangu ina calendar siwezi jaza makaratasi yenye picha za magufuli. Labda baba wa taifa
Muweke weweKwanini asiwe Rais wako mpendwa wa awamu ya sita?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hapana mkuu sio uwongo labda kama huko uliko hali ni tofauti lakini Kwa huku niliko hali ni hiyo labda tuwasubiri wanaoelewa hii maana yake nnUwongo uwongo uwongo tuu. Mnajifariju. Mfuateni huko kuzimu umsaidie kukusanya kuni mbanikwe pamoja
[emoji23][emoji23][emoji23]Hizo takwimu umezitoa wapi? Labda huko chato ndo zinanunuliwa sana!! Ukiwa chato unahisi ndo upo Tanzania nzima!!
Mh Samia yupo sana na ataendelea kuwa Rais wako mpaka 2030!! Hutaki jitundike au kunywa sumu!!