Kwanini Kanisa limejengwa katikati ya madarasa?

Kwanini Kanisa limejengwa katikati ya madarasa?

Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
Shule zote za serikali zilikua za katoliki!?..mazengo ilikua ya katoliki?..minaki!?
 
Kuna na chama la mabwege, kama wakivyokuwa wanaitana wenyewe back in the days.... TOSAMAGANGA. Hapo napo kuna kanisa kati ya mabweni na madarasa. Lakini kwa TOSAMAGANGA hata waislam walishapewa sehemu permanent za kuabudia, so ugomvi haukuwahi kutokea kisa kanisa au msikiti uko wapi, licha ya shule kufuga kitimoto pia. Ugomvi nilowahi ushuhudia ni pale dogo mmoja alipokwenda masjid na kipande cha nghhhh.
 
Jamani mi leo nimesali pugu catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata mojakwa moja.

Hivi ilikuwaje serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.
Unazingua ujue

Mratibu elimu kata
Mdhibiti ubora manispaa
OCD
DED
Mkuu wa wilaya
Bodi ya Shule
Mwenyekiti wa Mtaa
Wote hao hawajaona hilo?

Tafuta ukweli kwanza kabla haujakimbilia kuanzisha uzi.
 
Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
Siyo za Katoliki tu ...pia zipo nyingine zilkuwa za KKKT mfano Ilboru
 
Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
Pia zingine zilkuwa chini ya Islamic, Anglican, AIC , Moravian nk
 
Nenda pia kama unaelekea salasala nyoosha kama unaenda tegeta utaona
Kanisa la zamani nyuma kuna frem za maduka

Ova
 
Jamani mi leo nimesali pugu catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata mojakwa moja.

Hivi ilikuwaje serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.
Kwa bahati mbaya mhusika aliyetaifisha hayo maeneo ya Kanisa, ameshafariki.

Hata ukienda shule ya Sekondari Ndanda, Chuo cha ualimu Morogoro, Chuo cha ualimu Korogwe, nk. Utayakuta hayo Makanisa. Na huwezi kuyaondoa tu kirahisi! Maana Serikali iliyakuta, na kwa kutumia sera yake ya Ujamaa na Kujitegemea! ikataifisha hayo maeneo kwa nguvu.
 
Kwa wanaopajua uwanja wa fisi Tandale, pale kuna kanisa afu pamezingirwa na vyumba wanawake wanajiuza
 
Mkuu wewe naona una uelewa mdogo sana wa mambo.Hata namna ulivyo andika hukueleza vizuri hivyo kuwafanya wasomaji wasikuelewe. Kama eneo unalozungumzia ni Pugu sekondari basi elewa kuwa hiyo shule ilikuwa ni milki ya kanisa Katoliki. Baadae ilitaifishwa na serikali lakini serikali haikutaifisha kanisa hivyo wakatoliki Bado wanalimiliki na kutumia kanisa hilo. Na Kwa nyongeza tu ni kuwa shule zote za sekondari za serikali zilikuwa za wakatoliki Zina makanisa ambayo serikali iliwaachia wenyewe Kwani lengo la serikali ilikuwa ni majengo mengine ili wanafunzi wa dini zote waweze kusomwa hapo.
Siyo shule zote ni za wakatoliki jifunzage kuandika taarifa sahihi. Kwa hiyo hata Ilboru(Arusha) ilikuwa ya wakatoliki? Acha ushabiki wa kidini andika tarifa sahihi kwa faida ya wasioujua hasa vijana wa siku hizi
 
Makaz ni ya wenye madrasa. Kama kawaida wenye makanisa upenda kujenga kwa waislam kama wanvyokazania kujaza makanisa zanzibar
 
Mimi leo nimesali Pugu Catholich church na ni parokia. Kuna kitu kimenishtua kukuta kanisa liko katikati ya madarasa ambapo kelele na fujo zote wanafunzi wanazipata moja kwa moja.

Hivi ilikuwaje Serikali ikakubali kanisa lijengwe katikati ya madarasa tena ni parokia. Je, na makanisa mengine yakitaka kujenga katikati ya madarasa hayo itakuwaje?

Serikali liangalieni hilo plz.
Hiyo ni shule ya wamisionari,kanisa na shule vilijengwa pamoja kama ilivyo Minaki.Hiyo ilikuwa ikiitwa St.Frances Collage ya wakatoliki.Hapo akifundisha kijana mdogo Julius baada ya kutoka Edinburg Scotland.Shule hii baada ya uhuru ilitaifishwa kama zingine za kanisa ili kuondoa upogo wa elimu katika nchi.
 
Back
Top Bottom