Kwanini kasisi Martin Luther aliwachukia Wayahudi na kushauri masinagogi na nyumba zichomwe moto kwa heshima ya Mungu na Ukiristo?

Kwanini kasisi Martin Luther aliwachukia Wayahudi na kushauri masinagogi na nyumba zichomwe moto kwa heshima ya Mungu na Ukiristo?

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Ni kuhusu msimamo wa mjerumani Martin Luther profesa wa theolojia , kasisi na baba wa mageuzi ya kidini duniani.

Mtazamo wa kasisi huyu wa kijerumani kwa Wayahudi ulikuwa chanya akiwaonea huruma kwa shida zao lakini ulibadilika siku za mwishoni za maisha yake na kuwa hasi yasemekana ni kushindwa kuwashawishi Wayahudi kuachana na Imani yao na kumpokea Yesu

Hili litathibitishwa kwa kauli na maneno yake mwenyewe alipowashauri Wakiristo wawatendee yasiyofaa Wayahudi akiamimi k wamelaaniwa:

Martin Luther alishauri kuwa:

Masinagogi ya Wayahudi yachomwe moto kwa heshima ya Bwana na Ukiristo Ili Mungu atuone na kututambua Wakiristo

Nyumba za mayahudi zichomwe moto na kuangamizwa.

Kuchomwa moto vitabu vya kiimani vya mayahudi na maandiko ya Talmud ambavyo aliamini kuwa vinafundisha kuabudu sanamu, uongo, laana na makufuru.

Waalimu wa kiyahudi yaani Rabbis wapigwe marufuku kufundisha elimu ya dini yao

Wayahudi waporwe hazina zote walizokuwa wanamiliki ikiwemo fedha taslimu na dhahabu.

Yasemekana kuwa mawazo ya martin Luther yalichangia kutengeneza chuki dhidi ya Wayahudi iliyokuja kuzaa mauaji ya kimbari ya Wayahudi million yaliyofanywa na Adolph Hitler.

Wasomi na wanazuoni tuombe maoni yenu kuhusu tabia hii ya kasisi huyu.

Kwa maelezo zaidi naweza pitia kitabu cha #Martin Luther's On the Jews and Their Lies. Wittenberg, 1543.

Niwatakie siku njema
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ni kuhusu msimamo wa mjerumani Martin Luther profesa wa theolojia , kasisi na baba wa mageuzi ya kidini duniani.

Mtazamo wa kasisi huyu wa kijerumani kwa Wayahudi ulikuwa chanya akiwaonea huruma kwa shida zao lakini ulibadilika siku za mwishoni za maisha yake na kuwa hasi yasemekana ni kushindwa kuwashawishi Wayahudi kuachana na Imani yao na kumpokea Yesu

Hili litathibitishwa kwa kauli na maneno yake mwenyewe alipowashauri Wakiristo wawatendee yasiyofaa Wayahudi akiamimi k wamelaaniwa:

Martin Luther alishauri kuwa:

Masinagogi ya Wayahudi yachomwe moto kwa heshima ya Bwana na Ukiristo Ili Mungu atuone na kututambua Wakiristo

Nyumba za mayahudi zichomwe moto na kuangamizwa.

Kuchomwa moto vitabu vya kiimani vya mayahudi na maandiko ya Talmud ambavyo aliamini kuwa vinafundisha kuabudu sanamu, uongo, laana na makufuru.

Waalimu wa kiyahudi yaani Rabbis wapigwe marufuku kufundisha elimu ya dini yao

Wayahudi waporwe hazina zote walizokuwa wanamiliki ikiwemo fedha taslimu na dhahabu.

Yasemekana kuwa mawazo ya martin Luther yalichangia kutengeneza chuki dhidi ya Wayahudi iliyokuja kuzaa mauaji ya kimbari ya Wayahudi million yaliyofanywa na Adolph Hitler.

Wasomi na wanazuoni tuombe maoni yenu kuhusu tabia hii ya kasisi huyu.

Kwa maelezo zaidi naweza pitia kitabu cha #Martin Luther's On the Jews and Their Lies. Wittenberg, 1543.

Niwatakie siku njema
Haya ngoja tukisome,maoni yatakuja baadae.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Ni kuhusu msimamo wa mjerumani Martin Luther profesa wa theolojia , kasisi na baba wa mageuzi ya kidini duniani.

Mtazamo wa kasisi huyu wa kijerumani kwa Wayahudi ulikuwa chanya akiwaonea huruma kwa shida zao lakini ulibadilika siku za mwishoni za maisha yake na kuwa hasi yasemekana ni kushindwa kuwashawishi Wayahudi kuachana na Imani yao na kumpokea Yesu

Hili litathibitishwa kwa kauli na maneno yake mwenyewe alipowashauri Wakiristo wawatendee yasiyofaa Wayahudi akiamimi k wamelaaniwa:

Martin Luther alishauri kuwa:

Masinagogi ya Wayahudi yachomwe moto kwa heshima ya Bwana na Ukiristo Ili Mungu atuone na kututambua Wakiristo

Nyumba za mayahudi zichomwe moto na kuangamizwa.

Kuchomwa moto vitabu vya kiimani vya mayahudi na maandiko ya Talmud ambavyo aliamini kuwa vinafundisha kuabudu sanamu, uongo, laana na makufuru.

Waalimu wa kiyahudi yaani Rabbis wapigwe marufuku kufundisha elimu ya dini yao

Wayahudi waporwe hazina zote walizokuwa wanamiliki ikiwemo fedha taslimu na dhahabu.

Yasemekana kuwa mawazo ya martin Luther yalichangia kutengeneza chuki dhidi ya Wayahudi iliyokuja kuzaa mauaji ya kimbari ya Wayahudi million yaliyofanywa na Adolph Hitler.

Wasomi na wanazuoni tuombe maoni yenu kuhusu tabia hii ya kasisi huyu.

Kwa maelezo zaidi naweza pitia kitabu cha #Martin Luther's On the Jews and Their Lies. Wittenberg, 1543.

Niwatakie siku njema
haya mafundisho aliyatoa akiwa ameisha asi kanisa la rumi au akiwa kwnye kanisa lake jipya aliloanzisha?
 
Nachokumbuka Hitler alisema atawaangamiza wayahudi lakini ataacha wachache ili vizazi vijavyo viuone uovu wa wayahudi.

Nadhani kila mwenye akili timamu anaona namna hawa jamaa wanavyoikokota dunia kuingia kwenye Vita kubwa isiyo na mfano!

Kule Gaza na Lebanon tunaona jinsi wayahudi wanawalenga raia makusudi ili kuwatisha majirani kwamba watatendwa vivyohivyo endapo wakijaribu kuingilia kuwatetea wapalestina.

Sasa box walilolifungua hawawezi tena kulifunga...

Hitler alituachia ushuhuda tunaoishi nao hadi leo
 
Nachokumbuka Hitler alisema atawaangamiza wayahudi lakini ataacha wachache ili vizazi vijavyo viuone uovu wa wayahudi.

Nadhani kila mwenye akili timamu anaona namna hawa jamaa wanavyoikokota dunia kuingia kwenye Vita kubwa isiyo na mfano!

Kule Gaza na Lebanon tunaona jinsi wayahudi wanawalenga raia makusudi ili kuwatisha majirani kwamba watatendwa vivyohivyo endapo wakijaribu kuingilia kuwatetea wapalestina.

Sasa box walilolifungua hawawezi tena kulifunga...

Hitler alituachia ushuhuda tunaoishi nao hadi leo
Usijisahaulishe; mgogoro wa sasa chanzo ni Oktoba 7, 2023! Nakukumbusha tu.
 
Usijisahaulishe; mgogoro wa sasa chanzo ni Oktoba 7, 2023! Nakukumbusha tu.
Mgogoro haujaanza October 7,2023

Israel ina tabia ya kunyakua ardhi za wapalestina kwa nguvu tangu walipoletwa hapo mashariki ya kati.

Yani wanajiamulia tu kufanya watakalo kwakuwa wanapewa saport na mataifa ya magharibi...unakuta upo zako na familia unapewa oda ya kuachia nyumba yako na mashamba/kiwanja uende unakojua wewe ili tu walowezi wa kiyahudi wapanue nchi yao. Je, hii ni sawa?
 
Chanzo sio Oktoba 7,
Usijisahaulishe; mgogoro wa sasa chanzo ni Oktoba 7, 2023! Nakukumbusha tu.
Chanzo sio Oktoba 7,chanzo ni uchokozi wa wayahudi wenyewe uliopelekea watu kushindwa kuvumilia hadi kufanya yale ya Oktoba 7.Wee unadhani babaako akitekwa na ccm ,utavumilia? Ndio maana wapalestina uvumilivu aliwashinda.wakaamua yao Oktoba 7.Chanzo cha yote ni hao wazayuni.
 
hii ndio dhambi kubwa Martin Luther ilimpeleka hadi jehanum, atakuwa anaungua moto huko. holocost ilichangiwa sana na huyu, waliingiza kwenye minds za wakristo kwamba wayahudi ni watu wabaya walimuua Yesu, kumbe it was necessary for Jesus to die ili tukombolewe, yeye aliweka uadui uliokuja kurahisisha hata Hitler kuua sana wayahudi. na hadi leo walutheran wana nyimbo nyingi za kukebehi wayahudi na kulaumu wayahudi, badala ya kuona ulikuwa ni mpango wa Mungu kukomboa roho zao wenyewe. ndio maana huwa tunasema hata mwelimu wenu aondoke huko, ni dhehebu la antisemitism tangu zamani.
 
Nachokumbuka Hitler alisema atawaangamiza wayahudi lakini ataacha wachache ili vizazi vijavyo viuone uovu wa wayahudi.

Nadhani kila mwenye akili timamu anaona namna hawa jamaa wanavyoikokota dunia kuingia kwenye Vita kubwa isiyo na mfano!

Kule Gaza na Lebanon tunaona jinsi wayahudi wanawalenga raia makusudi ili kuwatisha majirani kwamba watatendwa vivyohivyo endapo wakijaribu kuingilia kuwatetea wapalestina.

Sasa box walilolifungua hawawezi tena kulifunga...

Hitler alituachia ushuhuda tunaoishi nao hadi leo
Nakubali...mayahudi ni katika race mbaya kutokea hapa duniani. Ni makatili sana yaani wanahimizana kuua hadi watoto wachanga wa kipalestina ili kutimiza malengo yao ya kizayuni..unaweza kucheki hii documentary ujionee uovu wa hawa mashetani ya kibinadamu


View: https://m.youtube.com/watch?v=mF6B5UVupyA
 
hii ndio dhambi kubwa Martin Luther ilimpeleka hadi jehanum, atakuwa anaungua moto huko. holocost ilichangiwa sana na huyu, waliingiza kwenye minds za wakristo kwamba wayahudi ni watu wabaya walimuua Yesu, kumbe it was necessary for Jesus to die ili tukombolewe, yeye aliweka uadui uliokuja kurahisisha hata Hitler kuua sana wayahudi. na hadi leo walutheran wana nyimbo nyingi za kukebehi wayahudi na kulaumu wayahudi, badala ya kuona ulikuwa ni mpango wa Mungu kukomboa roho zao wenyewe. ndio maana huwa tunasema hata mwelimu wenu aondoke huko, ni dhehebu la antisemitism tangu zamani.
Wayahudi ni washenzi tuu......ndio wanaoiharibu dunia .....Viwanda vya kutengeneza filamu za ngono USA vyote wanamiliki wao.....
 
Nachokumbuka Hitler alisema atawaangamiza wayahudi lakini ataacha wachache ili vizazi vijavyo viuone uovu wa wayahudi.

Nadhani kila mwenye akili timamu anaona namna hawa jamaa wanavyoikokota dunia kuingia kwenye Vita kubwa isiyo na mfano!

Kule Gaza na Lebanon tunaona jinsi wayahudi wanawalenga raia makusudi ili kuwatisha majirani kwamba watatendwa vivyohivyo endapo wakijaribu kuingilia kuwatetea wapalestina.

Sasa box walilolifungua hawawezi tena kulifunga...

Hitler alituachia ushuhuda tunaoishi nao hadi leo
Usichokijua kwa Hitler ile ilikuwa ni mbinu iliyosukwa mahususi ili kuundwa kwa taifa feki la Israel na wale wayahudi waliokuwa wanauwawa ilikuwa ni wale waliokuwa wanakataa kuja falastin ili kuunda nchi ya Zionist kwa iyo ilibidi kitengenezwe kitisho ili ionekane sehemu salama kwao kuishi ni palestina kwngn kote wangeweza kuuwawa na Hitler
 
hii ndio dhambi kubwa Martin Luther ilimpeleka hadi jehanum, atakuwa anaungua moto huko. holocost ilichangiwa sana na huyu, waliingiza kwenye minds za wakristo kwamba wayahudi ni watu wabaya walimuua Yesu, kumbe it was necessary for Jesus to die ili tukombolewe, yeye aliweka uadui uliokuja kurahisisha hata Hitler kuua sana wayahudi. na hadi leo walutheran wana nyimbo nyingi za kukebehi wayahudi na kulaumu wayahudi, badala ya kuona ulikuwa ni mpango wa Mungu kukomboa roho zao wenyewe. ndio maana huwa tunasema hata mwelimu wenu aondoke huko, ni dhehebu la antisemitism tangu zamani.
Mimi ni mrutheli
Amini nakwambia tunaamini sana katika uteule wa Wana Israeli. Hata Abshalom longan amepokelewa zaidi hapa nchini na warutheri na molavian kuliko madhehebu mengine. Nimeona tangu DMP mpaka Konde Kuna Siri warutheri tumeing'amua kwa hawa watu. Ndio màna hata mrutheli mwakasege anawaheshimu sana.
Mtandaoni Kila kitu chaweza andikwa
 
Back
Top Bottom