Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Kisaikolojia sisi wanaume ni watu wa Material world, tunapenda Vitu, ndio maana mambo ya Field kama Engineer wapo wengi.

Wanawake ni Emotional wanapenda zaidi watu kuliko Vitu, btw University ya kwanza Duniani ilianzishwa na Mwanamke.
 
Back
Top Bottom