Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
University(universe knowledge) ya kwanza duniani ni Timbuktu ila sina uhakika kama ilianzishwa na mwanamke, maana kabla ya hapo Haku kuwa na university kulikuwa na gnotics temples for spiritual knowledge japo ndo huko Sayansi ilipoanziaKisaikolojia sisi wanaume ni watu wa Material world, tunapenda Vitu, ndio maana mambo ya Field kama Engineer wapo wengi.
Wanawake ni Emotional wanapenda zaidi watu kuliko Vitu, btw University ya kwanza Duniani ilianzishwa na Mwanamke.