Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Marie Curie kamkuta Pierre utafiti wake umejikita kwenye Crystals ndiyo akambadilisha na kuhamia kwenye radioactivity. Siyo sahihi kusema kwamba eti ni Pierre ndiye alimpush Marrie katika utafiti wake. The woman was workaholic and totally committed to her research. Naam! Ndiye mwanamke wa kwanza kupata Ph.D ya Fizikia Sorbonne....na kufundisha pia!

Unafahamu kuwa Marie Curie alipata zawadi ya Nobel nyingine miaka mingi baada ya mumewe kufariki? Mpaka leo bado anashikilia rekodi ya kuwa mwanamke pekee aliyewahi kushinda zawadi hiyo mara mbili?

Na utafiti wake na binti yake Irene katika Kemia nao ukaja kumpatia Irene Nobel nyingine?

This is one of her best biographies. A true giant of Science! 👇👇👇

View attachment 2643845
Radioactivity aligundua Bequerel, huyo alifanya innovation tu.
Hakuna mwanamke inventor duniani , wengi wana-innovate tu kufanya kitu kuwa Bora zaidi.
 
Kila wakitaka kufikiri mnawajaza 🤰 huo mda wa kugundua vitu wataupata sangapi sasa
 
Na kingine kuhusu hawa wanasansi, wengi ni wapinga "uwepo wa Mungu" they stick to reason not faith.
 
Karibu vyote unavyovyiona duniani
Wanaume ni wabunifu.
Wanawake ni waendelezaji wa ubunifu wa mwanaume.
Radioactivity aligundua Bequerel, Curie alifanya kazi ya kupolish tu.
Pia hata kiuongozi mwanaume anaongoza vizuri sana kuliko wanawake.
Ndo maana hakuna kiongozi yeyote mwanamke awe rais au waziri mkuu aliyefanikiwa kuipitisha nchi kwenye misukosuko yoyote, Sirleaf alifeli, Thatcher alifeli, Joyce Banda alifeli, waziri mkuu wa Norway alifeli.
Angel Merkel alivoona hatari ya recession alijitoa.
Sembuse sayansi?
 
Lakini kwenye radioactive credit zinaenda kwa wote mume na mke na huku Pierre akitajwa mara nyingi
Ndiyo matatizo ya mfumo dume; kwa nini watoe credit zote kwa coautor wa kiume na kumwacha main author ambaye alikuwa ni mwanamke.
 
Kisaikolojia sisi wanaume ni watu wa Material world, tunapenda Vitu, ndio maana mambo ya Field kama Engineer wapo wengi.

Wanawake ni Emotional wanapenda zaidi watu kuliko Vitu, btw University ya kwanza Duniani ilianzishwa na Mwanamke.

Mbona hapo sijaona ustadhi hata mmoja, au mweusi.....
 
Radioactivity aligundua Bequerel, huyo alifanya innovation tu.
Hakuna mwanamke inventor duniani , wengi wana-innovate tu kufanya kitu kuwa Bora zaidi.

Mfumo dume bana dah! Mpaka ukapewe Nobel prize siyo jambo la kitoto. Ni lazima utoe mchango wa msingi hata kama umeendeleza ugunduzi wa mtu. Na wengi wamepata Nobel kwa kuendeleza ugunduzi wa watu wengine...na siyo issue kihivyo as long as they are men!

Labda nikubaliane nawe tu. Huyu mama alipewa Nobel zote mbili kwa kuhurumiwa tu. Basi itakuwa alikuwa na bahati ya mtende!

Lakini ikiwa the other way around kila kitu kinakuwa sawa. Bibie Rosalind Franklin aliweka msingi wote wa ugunduzi wa Double Helix ya DNA akina Crick na Watson wakaja wakamalizia tu hao wakatunukiwa Nobel Prize. Kwa vile ni wanaume haina shida!
 
Wewe yachukulie hivyo unavyotaka, lakini hali ndivyo ilivyokuwa toka huko zamani, na kama huoni uhusiano wa mambo hayo na hili swala unalotaka lijadiliwe kwenye mada yako hii, basi utakuwa una 'a presumptive notion' juu ya swala lenyewe.

Haya, tuhamie kwa mtu mweusi (mwanaume), yeye majukumu yaliyozuia asiwemo kwenye orodha hiyo nayo utasema ni majukumu yaliyomhusu, au siyo? Naogopa hata kuyataja hayo majukumu.

Mkuu hayo ya 'Wiki' uliyoniwekea huko, tulishapita siku nyingi mno kwenye 'level' ya namna hiyo.
Kwanza kabisa hata kama mwanamke anakua na mambo mengi ambayo ni nature yake mfano anaweza kuwa na akili darasani ila akaangukia kupewa mimba ama kuwa distracted na mambo ya kihisia ambayo hayahusiani na mfumo dume ..mfano naturaly mwanamke ni mleaji an maumbile yanayomuwezesha kuwa mama na hiyo sio mfumo dume ndio maana hata mawaziri wanawake wanabeba mimba wanakaa nyumbani wanalea regardless ana uwezo upi kichwani...Narudia tena sio manyanyaso ni majukumu
Point ya pili we unadahani mwanaume mweusi hawakuwahi kuwa wanasayansi kwa miaka hiyo ni kwasababu ya majukumu?? MKUuu wazungu wanatuzidi akili
 
Mbona hapo sijaona ustadhi hata mmoja, au mweusi.....
Wamejaa kibao nilishakutajia wa Zamani mpaka wa sasa ila hata unaelewa basi yakiingia Sikio hili yanatokea sikio jengine.
Algebra, Algorithm zimegunduliwa na Al khawarizm,

Surgery anaejulikana sana ni Al zaharawi ama maarufu kama Bucasis aliandika vitabu vya uoasuaji wa Aina nyingi hadi kuvunja jiwe kwenye Figo,


Optics,
Ibn Haytham Father wa Optics Na uoasuaji wa Jicho
Astronomy
Al Battan ambaye kazi zake ndio zimezaa hao kina Galileo na widely anaejulikana kama father of Astronomy, jina lake lipo latinized Kama albategnius.
Wapo wengi Mamia.

Hata Africa Kuna Gunduzi kibao tu, wakati Wa Africa Tayari wanasoma Hesabu na Maendeleo Mengine Wazungu walikua wanabishana na kujisifia kuto Kuoga huko Ulaya, ndio Maana Gunduzi nyingi za Wazungu unaziona ni Za miaka Ya Karibuni, miaka Hio Wa Africa walikua juu kwenye

-Metallurgy
Njia ya kutengeneza Chuma Africa ndio ilikua ikitumika Ulaya na Mataifa mengine mengi kama Brazil mpaka karne ya 19 baada ya Technology kukua, Njia hii pia imegundulika miaka 1500 mpaka 2000 kabla ya Kristo.

Soma zaidi hapa

 
University(universe knowledge) ya kwanza duniani ni Timbuktu ila sina uhakika kama ilianzishwa na mwanamke, maana kabla ya hapo Haku kuwa na university kulikuwa na gnotics temples for spiritual knowledge japo ndo huko Sayansi ilipoanzia
Hapana Karueein Morocco ndio ya kwanza toka miaka ya 800, Timbuktu ilifuatia Baadae
 
Bila kumtaja Marie curie hiyo orodha inabaki kuwa maoni ya mtu binafsi
 
Huyu hajui historia ya sayansi. Marie Curie alikuwa mwanamme? Au Ada Lovelace naye alikuwa mwanamme? Inawezekana hata hajui Noether's Theorem ni kitu gani kwani pia angejua kuwa Emmy Noether alikuwa ni mwanamke.
At every general rule there is exceptional,

So hao wanawake ni tone tu la chozi la samaki kwenye bahari.
 
Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
1. Unamfahamu Tu You You? Mgunduzi wa dawa ya arthemether ?
2. Margret Thatcher
3. Angela Markle
4. Dr. Samia Sululu Hassan
5. Janet Yellen
6. Jo Handelsman
7. Wangari Maathai
8. 26 women have won noble prize
 
Wanaume ni wabunifu.
Wanawake ni waendelezaji wa ubunifu wa mwanaume.
Radioactivity aligundua Bequerel, Curie alifanya kazi ya kupolish tu.
Pia hata kiuongozi mwanaume anaongoza vizuri sana kuliko wanawake.
Ndo maana hakuna kiongozi yeyote mwanamke awe rais au waziri mkuu aliyefanikiwa kuipitisha nchi kwenye misukosuko yoyote, Sirleaf alifeli, Thatcher alifeli, Joyce Banda alifeli, waziri mkuu wa Norway alifeli.
Angel Merkel alivoona hatari ya recession alijitoa.
Sembuse sayansi?
Jpm na jmk waliweza
 
Back
Top Bottom