Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Kwanza kabisa hata kama mwanamke anakua na mambo mengi ambayo ni nature yake mfano anaweza kuwa na akili darasani ila akaangukia kupewa mimba ama kuwa distracted na mambo ya kihisia ambayo hayahusiani na mfumo dume ..mfano naturaly mwanamke ni mleaji an maumbile yanayomuwezesha kuwa mama na hiyo sio mfumo dume ndio maana hata mawaziri wanawake wanabeba mimba wanakaa nyumbani wanalea regardless ana uwezo upi kichwani...Narudia tena sio manyanyaso ni majukumu
Point ya pili we unadahani mwanaume mweusi hawakuwahi kuwa wanasayansi kwa miaka hiyo ni kwasababu ya majukumu?? MKUuu wazungu wanatuzidi akili
Samahani, lakini niseme wazi kabisa, sijaona pointi yoyote ya maana katika andiko lako hili.

Kuwa na mimba kunamzuia mwanamke asifanye shughuli zake za kila siku? Unaishi wapi wanakofanya mambo ya namna hiyo.

Halafu hilo la "...wazungu wanatuzidi akili"; sina muda wa kujibu jambo la namna hii; lakini linafanya nijue ngazi yako maishani uliyofikia hadi sasa. Sidhani kuwa bado unayo nafasi ya kujifunza zaidi. Ni kwamba umekwishafikia kikomo chako cha kujifunza na kuyaelewa maswala ya namna hii.

Inatosha tu hapa nikupe pole, kwa upotofu wa akili kiasi hiki ulichoonyesha hapa.
 
Nilikuwaga na mawazo mgando kama yako mtoa mada mpaka siku nilipofanya kazi shirika fulani la wazungu nkakutana na wanawake wawili wote wana akili kuliko mtanzania yeyote niliyewahi kumuona.
 
Ndiyo matatizo ya mfumo dume; kwa nini watoe credit zote kwa coautor wa kiume na kumwacha main author ambaye alikuwa ni mwanamke.
Utasemaje "main" wakati kifaa ambacho kilimsaidia kufanya ugunduzi kilitengenezwa na mwingine?
 
Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
Naamini wapo ila vitu kama hivi ukitaka kujua ukweli
Weka kwenye Asilimia (wanawake/wanaume) ndio utajua uhalisia
 
Wanaojua sayansi ndio hawa tunaowaongelea.
Huwezi kuongelea kitu usichokijua. Elewa kuwa hata theory ya Relativity ye Einstein iliitegemea sana Noether's Theorem. Lakini Noether hapewi credit kwenye relativity bali yeye anaishia kwenye symmetry tu. Ni vivyo hivyo Ohms Law ilijengwa kwa kutumia mashine ya kupima Magnetic force iliyondwa na Oersted, lakini Oesterd hapewi credit kwenye theory Ohm's Law. Unapojua mipaka ya ugunduzi wa kifaa na ugundizi wa theory za kisayansi huwezi kusema aligundua theory hii kwa kutumia kifaa changu. Hata kwenye mshindano ya mbio za magari huwa tunapata washindi wa mbio hizo na kuwapa credit zao kwa kuendesha magari vizuri hadi wakashinda, ila hatuwezi kusema kuwa walishinda kwa vile Otto alivumbua injini! Kila kitu kina mipaka yake
 
Huwezi kuongelea kitu usichokijua. Elewa kuwa hata theory ya Relativity ye Einstein iliitegemea sana Noether's Theorem. Lakini Noether hapewi credit kwenye relativity bali yeye anaishia kwenye symmetry tu. Ni Vivyo hivyo Ohms Lawa ilijengwa kwa kutumia mashine ya kupima Magnetice force iniliyondwa na Oersted, lakini Oesterd hapewi credit kwenye theory Ohms Law. Unapojua mipaka ya ugunduzi wa kifaa na ugundizi wa theory za kisayansi huwezi kusema aligundua theoy hii kwa kutumia kifaa changu. Hata kwenye mshinmdano ya mbio za magari huwa tunapata washindi wa mbio hizo na kuwapa credit zao kwa kuendesha magari vizuri hadi wakashinda, ila hatuwezi kusema kuwa walishinda kwa vile Otto alivumbua injini! Kila kitu kina mipaka yake
Kwani hizo credit nimetoa mimi au ni vyanzo ndio vimetoa ila wewe umechagua kuviita "mfumo dume"?
 
Kwani hizo credit nimetoa mimi au ni vyanzo ndio vimetoa ila wewe umechagua kuviita "mfumo dume"?
Kwa hiyo unakopi maoni ya watu wengine na kuyapaste hapa au unajadili ugunduzi wa kisayansi. Kwa nini usikopia maoni yangu pia!
 
Kwa hiyo unakopi maoni ya watu wengine na kuyapaste hapa au unajadili ugunduzi wa kisayansi. Kwa nini usikopia maoni yangu pia!
Hoja ni ku copy maoni ya watu au hoja ni usahihi wa hayo maoni?

Kama nime copy halafu yakathibitika ni ya kweli, hoja itakuwa tuyapuuze kwasababu nime copy?

Wewe unaweza kuandika kitu chako ambacho utakuwa wakwanza kukizungumzia ili ioneshe kuwa hau copy?

Hilo neno la mfumo dume uli invent wewe?
 
Hoja ni ku copy maoni ya watu au hoja ni usahihi wa hayo maoni?

Kama nime copy halafu yakathibitika ni ya kweli, hoja itakuwa tuyapuuze kwasababu nime copy?

Wewe unaweza kuandika kitu chako ambacho utakuwa wakwanza kukizungumzia ili ioneshe kuwa hau copy?

Hilo neno la mfumo dume uli invent wewe?


Jibu maswali mchache sana ili uonekane kuwa mtu analytical:
(a) Unaijua Ohm's Law? (b) Je Ohm's Law ilijengwa kwa kutumia kifaa gani? (c) Aliyegundua kifaa hicho ni nani? (d) Kwa nini Ohm's law haichanganywi na yule aliyegundua kifaa kilichotumika kujenga Ohms law?

Kwa watu tunaofanya research kwenye labs tunatumia vifaa mbalimbali vilivyojengwa na watu wengine lakini ugunduzi wetu wa kisayansi huwa hauna uhusiano kabisa na waliogungua vifaa hivyo. Aliyegundua dawa ya quinine alitumia darubini zilizojengwa na watu wengine kabisa ila ugunduzi wa dawa hiyo ulikwenda kwake siyo kwa mgunduzi wa darubini iliyotumika.
 
Jibu maswali mchache sana ili uonekane kuwa mtu analytical:
(a) Unaijua Ohm's Law? (b) Je Ohm's Law ilijengwa kwa kutumia kifaa gani? (c) Aliyegundua kifaa hicho ni nani? (d) Kwa nini Ohm's law haichanganywi na yule aliyegundua kifaa kilichotumika kujenga Ohms law?

Kwa watu tunaofanya research kwenye labs tunatumia vifaa mbalimbali vilivyojengwa na watu wengine lakini ugunduzi wetu wa kisayansi huwa hauna uhusiano kabisa na waliogungua vifaa hivyo. Aliyegundua dawa ya quinine alitumia darubini zilizojengwa na watu wengine kabisa ila ugunduzi wa dawa hiyo ulikwenda kwake siyo kwa mgunduzi wa darubini iliyotumika.
Kwenye hayo maswali yako tufanye sijui kitu.

Hapo nakuwa nimethibitisha kitu gani?
 
Kwenye hayo maswali yako tufanye sijui kitu.

Hapo nakuwa nimethibitisha kitu gani?
...... kwamba kujua namna ya kuendesha gari vizuri hakutegemei aliyeunda gari hilo.
 
Kuendesha gari na kuunda gari ni kipi chenye complexity kubwa?
Basi wewe ni mbumbumbu usiyeweza kujadili mambo ya kisayansi.

Swali lako hili linakurudisha kule kule kwenye kutokujua maana ya sayansi ni nini. Kwa mtazamo wako huu itakuwa ni vigumu kuendelea kujibizana na wewe, kwani hata hujui kwa nini relativity theory huwa haimuhusihi Noether ingawa theorem yake ndiyo ilyotumika ku-prove relativity theory.
 
Kwanini katika wanasayansi wakubwa hakuna mwanamke hata mmoja?

Fuatilia mnipe majibu !! Mie sijaelewa?
Albert Einstein mwenyewe alikuwa na mkewe Mileva Maric, the brain behind, na paper zote za moto alizotoa kwenye prime yake,ni kipindi yuko na huyo bimkubwa,alikuja achana naye baadae na ile scientific impact yake ikapungua kidogo
Screenshot_20230603-131116.jpg
 
Back
Top Bottom