Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kumbe ni joined 2024 ndio maana hauna hoja endelea kupiga kelele dada hivi nakuweka ignore listMlikua lobour wote mnazaa!!???
Maana unaongelea uzazi na ww ni mwanaume
Mbona una mwili mkubwa lakini akili kisoda
Hakuna kitu km hicho Kenya kuna vijiji hakuna network juzi iliruka Makala DW wananchi wanalalamika Kijiji siku-note downI beg to differ ,Kenya hata vijijini mtandao upo strong.ila tz Arusha na dodoma katikati Hamna network I swear. [emoji1]
Uchumi wa Kenya wa makaratasi hauakisi uhalisia wa maisha.Kwanza chunguza katika nchi zote za jumuiya ya Africa mashariki ndio wapo juu kiuchumi. Ni watu wajanja sana kiuchumi.
Nyie mna Dola hivi sasa tunapochati?,na sukari jee?,umeme?..hahahaha kalb hayawan nyie,watafuteni washoshalisti wakawakwamue nyie mizigo Afrika Mashariki.Uchumi wa Kenya wa makaratasi hauakisi uhalisia wa maisha.
Mwezi ulopita hiyo Kenya unayosifia tumeisaidia dawa za TB waliishiwa na stock mahospitalini.
William Ruto mwezi january alikuja kuomba fedha kwa SSH kuhusu akiba ya fedha ya kigeni.
Kenya inapokea msaada wa chakula toka WFP.
Asa sijui uchumi gani unauongelea kaka!?
Tatizo la dola la Tz unataka kufananisha na Kenya??Nyie mna Dola hivi sasa tunapochati?,na sukari jee?,umeme?..hahahaha kalb hayawan nyie,watafuteni washoshalisti wakawakwamue nyie mizigo Afrika Mashariki.
Mbona shida zetu unaongelea za kitambo na tukikuambia zenu za kitambo unaanza kujitetea eti mshaazisolve.Tatizo la dola la Tz unataka kufananisha na Kenya??
We matako yenye vipele kweli wewe.
Sukari ishaanza kushuka bei mtaani kwetu inauzwa robo 900-800.
Umeme pia mgao umepungua baada ya mtambo mmoja wa JNHP kuwashwa Kigamboni tuna wiki sasa umeme haujakatwa kama ukikata ndani ya nusu ama robo saa umerudi.
Aya una lingine la kuuliza kijana???
Dawa za TB nani aliyewasaidia kutatua kama sio Tanzania???Mbona shida zetu unaongelea za kitambo na tukikuambia zenu za kitambo unaanza kujitetea eti mshaazisolve.
Hivi sisi bado tuna tatizo la dawa za TB? Bado tuna tatizo la dola? Mara ya mwisho tulipokea msaada wa WFP ni lini? Wacha upumbavu.
Tanzania hii hii,niliyopo mimi, haina shida ya Network...!?Hawana wanachotuzidi kuna maeneo huko Kenya ukienda mpaka leo network hakuna mtandao haukamati inakulazimisha upande gari zaidi ya kilometres 20 ndio unaenda kupata mtandao Ila hilo TZ hakuna Jambo km hilo network kila unapoenda IPO, kwenye michezo the same hakuna wanachotuzidi labda uongozi tu TZ figisu nyingi riadha kuna wanariadha wazuri hapa Ila figisu figisu nyingi wanaishia kuozea kwenye mabanda ya kubet na vipaji vyao hadi wanakufa masikini
Ukija kwenye Muziki huko ndio kabisa wanamuziki wa TZ ndio masupastar wa kubwa wa Kenya, kwa hio hakuna wanachotuzidi labda kutoa rais wa Dunia ya kwanza kutoka Kabila la Wajaluo hapo ndio wanaweza sema aisee tumewapiga bao
Wanaji brand sana...Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
Wakenya wengi wapo utumwani nchi za nje.Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana
Katika bara letu la AFRICA?
Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana
Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?
Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.
WHY KENYA?
Labda km unatumia TTCLTanzania hii hii,niliyopo mimi, haina shida ya Network...!?
Wakati ndani ya Jiji la Dar kuna maeneo networks hazikamati...
Tigo na Voda zasumbua network Majohe,Buyuni,Chanika na Zingiziwa (Wilaya ya Ilala)Labda km unatumia TTCL
Hilo ni tatizo la mitandao ya SimuTigo na Voda zasumbua network Majohe,Buyuni,Chanika na Zingiziwa (Wilaya ya Ilala)
AIRTEL,Halotel,Tgo Zasumbua Mwasonga,Pemba mnazi (Wilaya ya Kigamboni)
Nenda Bunju B,Mabwe Pande na line yako ya Tigo, nenda Msumi,Makabe hata Mikocheni kuna maeneo Halotel ni shida.
Aya sasa nenda Arusha:Moshono,Olorien,Kwa Mrefu ,Chekereni uone Tgo inavyo feli...
Kondoa Tigo ndiyo ipo vizuri,zengine zote zafeli.
Mbeya bila voda hautoboi.
Chalinze pande za miono Voda inafeli...
Morogoro pande za Tubuyu, Tigo inafeli...
Itakuwa unaleta ushabiki na kuacha uhalisia...itakuwa una malizia mizunguko yako Posta na Kariakoo mkuu.
Kenya wana mpaka mcheza pornkiufupi ukiiondoa nchi chache za afrika magharibi especially nigeria Kenya ina world class celebrities wengi kuliko nchi yeyote africa, kenya ina dominate olympics kwenye marathon miaka mingi G. O. A. Ts hawa watu wanashiriki rugby world cups na walishakua na rais wa marekani kiufupi mijamaa inakelele sana uko duniani na wenzao wapopo sisi tupotupo tu kama mang'ombe
Mna mbwembwe nyieeeWatu kama akili zenu ni kuwaza kukimbizana na mwenge mtakuwaje maarufu wakati ni wazi kwamba hamna akili.
Hata muamke mkute sukari kilo shilingi elfu kumi lakini bado tu mtamshangilia mama na kumvika majoho ya uchifu. Wakenya sio wajinga hivyo.
Kenya wana mpaka mcheza porn
Mashuhuri anatamba kweli anaitwa zawadi
Ova
... Lakini tukubaliane kwamba pamoja na kwamba kuna mambo fulani fulani tunashabihiana lkn ukweli uko palepale kwamba huwezi kuwalinganisha watanzania na wakenya katika maswala ya kujitambua kwa watu.Mna mbwembwe nyieee
Unataka kutuona wengine kama
Kenya hatuijuwi
Nchi zote tunazidiana mambo fulani fulani
Ova