Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
-
- #21
Wameshabikia sana namba za bastola ili kujua kama Rambo aliwahi kuitumia.Cha ajabu mbunge wa ccm huko Shinyanga aliyekutwa na silaha zaidi ya 10 yuko nje na hana tuhuma za ugaidi. Kisha kila siku magari ya serikali yanachoma mafuta kwenda mahakamani kulazimisha bastola moja ndio ilikuwa iende kutenda ugaidi!
Enzi za utumwa kuna watumwa waliogoma kuachiwa huru!Umeelewa lakini? Mimi ningekuwa ndiye nayekulipa hakika ningekufuta kazi,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Enzi za utumwa kuna watumwa waliogoma kuachiwa huru!
Hi kesi ni ngumu sana wasinge poteza pesa za Umma bure, ina vipengere vitatu muhimu ila haTangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
Sasa idadi ya miti iliyopangwa kukatwa wangeweza kuitaja!Hi kesi ni ngumu sana wasinge poteza pesa za Umma bure, ina vipengere vitatu muhimu ila ha
wajathibitasha hata kimoja
1.indetification the suspect imeshindikana.
2. Indentification of weapons used. nayenyewe bado.
3. Indentification of the victims and location.
Katika sheria huwezi kuhukumu mtu bila kuweka nayana hivyo vitu vitatu, katika ushahidi wameshindwa kuuhusisha na Mbowe moja kwa moja, wemeshindwa kutaja viongozi na shelli zizopangwa kulipuliwa.......
Na bageni yeye alikuwa anafwata maamuzi ya mkubwa wake ambae n Zombie lkn cha ajbu Zombi aliachwa na Bageni kuhukumiwa kunyongwa hi ndo Tanzania bnHii ni komedi kama komedia nyingine ,
Kama kesi ya zombie na wenzake licha ya mauaji kutoea na ushahidi usio acha mashaka lkn wahusika hawakutiwa hatini Zaid tu baadae kumtoa kafara bageni, itakuwa hii ambayo hata tairi halikuwaka moto.
Ngoja tuone maigizo yao
Nionavyo mimi kuanzia mwanzo hadi mwisho wa kesi hii ya Mbowe kitakachoamua ni hisia na maoni ya Jaji. Kwa habari ya ushahidi ukweli ni kwamba haupo. Tangu kesi inaanza hadi sasa maamuzi mengi yamekuwa yakiegemea maoni ya Jaji na ile Kauli ya Mama Samia ndio umekuwa na utakuwa mwongozo wa Jaji kutoa hukumu.Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
Kufika eneo la ukamataji si ushahidi wa kosa, ushahidi wa kosa ni kitendo ulichowakuta wanakifanya mpaka ukaamua kuwakamata.Hicho ndio wanauhakika nacho kwakuwa walifika wanaloita eneo la ukamataji, mengine ni mazito kwao kwani maigizo ni kipaji, na sii kila mmoja anacho
Hawezi kwani adhma ya kumfunga Mbowe lazima itimizwe kwa vyovyote vile.Nionavyo mimi kuanzia mwanzo hadi mwisho wa kesi hii ya Mbowe kitakachoamua ni hisia na maoni ya Jaji. Kwa habari ya ushahidi ukweli ni kwamba haupo. Tangu kesi inaanza hadi sasa maamuzi mengi yamekuwa yakiegemea maoni ya Jaji na ile Kauli ya Mama Samia ndio umekuwa na utakuwa mwongozo wa Jaji kutoa hukumu.
Hebu fikiri watu wamefikia hatua ya kuiba nyaraka toka kwenye chumba cha mahakama cha kuhifadhia nyaraka lakini wala Jaji hachukui hatua zozote zile. Jaji Kiongozi alipaswa alitolee tamko hili jambo la wizi wa nyaraka za mahakama.
Mashahidi wengi kuwa ni poliMbowe na wenzake walikuwa wanafanyia uhalifu kwenye makazi ya polisi ndiyo maana raia hawakuona na hawakuwepo.Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
Hilo nalo neno.Mashahidi wengi kuwa ni poliMbowe na wenzake walikuwa wanafanyia uhalifu kwenye makazi ya polisi ndiyo maana raia hawakuona na hawakuwepo.
Ila wange taja hiyo miti iko wapi na wangeisafirisha je paka sehemu ya kufanyia tukio?Sasa idadi ya miti iliyopangwa kukatwa wangeweza kuitaja!
Miti iko kando ya barabara, wao ni kuikata na kusimamisha magari ili waweze kuisambaza barabarani huku wenye magari wakiwaangalia tu!Ila wange taja hiyo miti iko wapi na wangeisafirisha je paka sehemu ya kufanyia tukio?
Ongeza sautiiiiii!Hilo nalo neno.
Kwanini polisi hufuga bata kuliko wafugwao uraiani.
Sawa ila hiyo miti ingekatwa je? Na hiyo basitola ya lisasi tano au?....... hapo bado ushahidi haupo.Miti iko kando ya barabara, wao ni kuikata na kusimamisha magari ili waweze kuisambaza barabarani huku wenye magari wakiwaangalia tu!
Na Bastola za siku hizi zimeongezwa ubora Hadi zimekuwa na uwezo wa kukata miti!Ila wange taja hiyo miti iko wapi na wangeisafirisha je paka sehemu ya kufanyia tukio?
Je zile pastola na risasi walizokutwa nazo jeMimi nikadhani walikamata vilipuzi,maguruneti,mapanga na mashoka vya kufanyia ugaidi mashahidi wanachokifanya mahakamani ni kutupa stories za kukamata, tulitegemea ushahidi wa Kingai, Mahita na Jumanne ulikuwa unatosha kudhibitisha ugaidi lakini wanachokifanya ni upumbavu wa kutunga.
Ushahidi ambao hauna voice note wala DNA ni upumbavu
Siku yule wa Tigo anatoa ushahidi nilitegemea atakuwa analeta SMS za mbowe walivyokuwa wanapanga kufanya ugaidi au voice za akina mbowe badala yake analeta stories za miamala ya laki 5 upumbavu wa kutupwa huu, tulishindwa kuhusisha kutuma laki 5 kwa mtu ni ugaidi huu ni uchuro, laki tano hata Bomu haiwezi ikanunua
Yaani serikali inatumia kamasi kufikiri kama huu ndo ushahidi wa ugaidi
Mbele ya kula madawa ya kulevya waliyokuwa nayo lolote lingewezekana.Sawa ila hiyo miti ingekatwa je? Na hiyo basitola ya lisasi tano au?....... hapo bado ushahidi haupo.
Nilitegemea mbowe kukutwa na mabomu ,vifaru, makombora[emoji1787]Mimi nikadhani walikamata vilipuzi,maguruneti,mapanga na mashoka vya kufanyia ugaidi mashahidi wanachokifanya mahakamani ni kutupa stories za kukamata, tulitegemea ushahidi wa Kingai, Mahita na Jumanne ulikuwa unatosha kudhibitisha ugaidi lakini wanachokifanya ni upumbavu wa kutunga.
Ushahidi ambao hauna voice note wala DNA ni upumbavu
Siku yule wa Tigo anatoa ushahidi nilitegemea atakuwa analeta SMS za mbowe walivyokuwa wanapanga kufanya ugaidi au voice za akina mbowe badala yake analeta stories za miamala ya laki 5 upumbavu wa kutupwa huu, tulishindwa kuhusisha kutuma laki 5 kwa mtu ni ugaidi huu ni uchuro, laki tano hata Bomu haiwezi ikanunua
Yaani serikali inatumia kamasi kufikiri kama huu ndo ushahidi wa ugaidi