Wakishindwa kuitaja, walau waoneshe vifaa vya kukatia, watu au tractor [emoji609] zilizo kodi wa kwa sh 500000 kuvuta magogo.Sasa idadi ya miti iliyopangwa kukatwa wangeweza kuitaja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakishindwa kuitaja, walau waoneshe vifaa vya kukatia, watu au tractor [emoji609] zilizo kodi wa kwa sh 500000 kuvuta magogo.Sasa idadi ya miti iliyopangwa kukatwa wangeweza kuitaja!
Kweli simjui vizuri. Ila Mahakama ikimuita ni lazima atakwenda.Wewe humjui Sirro anavyojisikia!
Bata hupenda maeneo yenye topetope, majimaji.Hilo nalo neno.
Kwanini polisi hufuga bata kuliko wafugwao uraiani.
Risasi tatu.Sawa ila hiyo miti ingekatwa je? Na hiyo basitola ya lisasi tano au?....... hapo bado ushahidi haupo.
Jana waziri wa polisi kawakemea, japo sijawahi skikia polisi kaadhibiwa kwa makosa hayo.Tabia ya polisi kubambikia kesi raia wema imejidhihirisha katika kesi ya Mbowe live kabisa
Umemaliza kila kitu. Nadhani Mahakama itaamua ndio kazi yake kutenda haki ila kwa sisi watazamaji ni kweli hatuoni ushahidi wa wazi au labda hatusikii yote huko ndani. Maana wenzetu nje huko hata wakijuwa wewe una misimamo hatari hawakukamati wanakuweka katika surveillance yao mpaka wajiridhishe sasa unataka kufanya kitu wanakuweka ndani na ushahidi wote lakini kama wanajuwa huyu mtu wa chama fulani cha kigaidi lakini yupo yupo tu kama nyoka asiye na sumu wanakuacha tu na kukuangalia.Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
Watu wa mazingira wahusishwe, je miti yao wanataarifa ya kukatwa? Ni wazimu eti kwenda kukata miti kuziba barabara, watu watatu watatumia miezi mingapi kuziba barabara moja tu isipitike? Yaani ili likesi hata kulifuatilia unajihisi unaamwangalia mizengwee ITV!Sasa idadi ya miti iliyopangwa kukatwa wangeweza kuitaja!
Kesi siyo siri tena maadamu watu wanaruhusiwa kuingia barazani, tangu imeanza habari ni zilezile.Umemaliza kila kitu. Nadhani Mahakama itaamua ndio kazi yake kutenda haki ila kwa sisi watazamaji ni kweli hatuoni ushahidi wa wazi au labda hatusikii yote huko ndani. Maana wenzetu nje huko hata wakijuwa wewe una misimamo hatari hawakukamati wanakuweka katika surveillance yao mpaka wajiridhishe sasa unataka kufanya kitu wanakuweka ndani na ushahidi wote lakini kama wanajuwa huyu mtu wa chama fulani cha kigaidi lakini yupo yupo tu kama nyoka asiye na sumu wanakuacha tu na kukuangalia.
Ujue hawa watu watatu walikutwa na misokoto ya bangi na kwa hali halisi mtu akivuta bangi anaweza kufanya kazi pasipo kuchoka haraka, hivyo wangeweza kutekeleza azma yao ya kukata miti na kuitandaza barabarani toka Dar mpaka Iringa.Watu wa mazingira wahusishwe, je miti yao wanataarifa ya kukatwa? Ni wazimu eti kwenda kukata miti kuziba barabara, watu watatu watatumia miezi mingapi kuziba barabara moja tu isipitike? Yaani ili likesi hata kulifuatilia unajihisi unaamwangalia mizengwee ITV!
Sidhani hata hao mashahidi kama wanapenda kutoa ushahidi uenda wanatishwa watafukuzwa KaziHicho ndio wanauhakika nacho kwakuwa walifika wanaloita eneo la ukamataji, mengine ni mazito kwao kwani maigizo ni kipaji, na sii kila mmoja anacho
Hawa sio wa kuwaamini kabisa wanaweza mbambika kesi yeyeto tangu walipofanya kwa wazee wa escrow na uhamsho hawashndwi kwa yeyeto tuCha ajabu mbunge wa ccm huko Shinyanga aliyekutwa na silaha zaidi ya 10 yuko nje na hana tuhuma za ugaidi. Kisha kila siku magari ya serikali yanachoma mafuta kwenda mahakamani kulazimisha bastola moja ndio ilikuwa iende kutenda ugaidi!
Hawana intelligence yeyeto nje ya ile ya kuvamia mikutano ya wapinzaniNi Kwa vile Watanzania ni waoga, na kuhoji ni Kesi. Angalia jinsi Speaker alivyopanic..
DPP akishafungua Kesi mahakamani, police igp hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kudhibitisha
Rais hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kumkuta na hatia.
Ccm walimkana HAMZA, na ni mfadhili wao, na vitendo alifanya. Hiyo intelligence ya police Iko Wapi?
Mpaka Magaidi wanaingia kibiti, intelligence ilikuwa wapi?
Yaani mpaka Magaidi wafanye tukio ndio mkamate
Ushahidi: ziko wapi powersaw za kukata miti?
Wako wapi watu walioandaliwa kukata miti..
Siku walipokamatwa kwa dada muuza mbege waliambiwa ni magaidi! Inamaana polisi ndio waliofungua shitaka la ugaidi na si DPP, yeye alijulishwa tu!Hawana intelligence yeyeto nje ya ile ya kuvamia mikutano ya wapinzani
Labda wange muongeza hapo Joti na Masanja mkandamizaji picha linge noga zaidi.Hicho ndio wanauhakika nacho kwakuwa walifika wanaloita eneo la ukamataji, mengine ni mazito kwao kwani maigizo ni kipaji, na sii kila mmoja anacho
Nafasi ya Joti kachukua mzee wa chaboLabda wange muongeza hapo Joti na Masanja mkandamizaji picha linge noga zaidi.
Kweli mkuu hsta DC Hai walimbambika kesi akafungwa miaka 30.Polisi kazi yao ndiyo hii kubambika kesi watu
Kweli kabisa, Serikali ikamfunga mtu waoKweli mkuu hsta DC Hai walimbambika kesi akafungwa miaka 30.
Jambazi amejifunga mwenyewe kwa matendo take ya uovuKweli mkuu hsta DC Hai walimbambika kesi akafungwa miaka 30.
Sawa mkuuKweli mkuu hsta DC Hai walimbambika kesi akafungwa miaka 30.