Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Tabia ya polisi kubambikia kesi raia wema imejidhihirisha katika kesi ya Mbowe live kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kwa vile Watanzania ni waoga, na kuhoji ni Kesi. Angalia jinsi Speaker alivyopanic..
DPP akishafungua Kesi mahakamani, police igp hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kudhibitisha
Rais hawezi kusema fulani ni Gaidi Bila mahakama kumkuta na hatia.
Ccm walimkana HAMZA, na ni mfadhili wao, na vitendo alifanya. Hiyo intelligence ya police Iko Wapi?
Mpaka Magaidi wanaingia kibiti, intelligence ilikuwa wapi?
Yaani mpaka Magaidi wafanye tukio ndio mkamate
Ushahidi: ziko wapi powersaw za kukata miti?
Wako wapi watu walioandaliwa kukata miti..
[/QU
Kwa hili hata kijani tunarukana wenyewe kwa wenyewe
Kwahiyo ule unga ndo ndo ungetumika kama chachu ya kuangusha hiyo miti na kubeba hayo ma gogo?.......Mbele ya kula madawa ya kulevya waliyokuwa nayo lolote lingewezekana.
Sawasawa kama vile ulikuwepo wakati wa kuikata miti hiyo.Kwahiyo ule unga ndo ndo ungetumika kama chachu ya kuangusha hiyo miti na kubeba hayo ma gogo?.......
Wana lejea gani? Kama wakina nani wafanikiwa kufanya hivo.Sawasawa kama vile ulikuwepo wakati wa kuikata miti hiyo.
Kwenye kozi zao wamefundishwa hivyo, usihoji.Wana lejea gani? Kama wakina nani wafanikiwa kufanya hivo.
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]mission failedKwenye kozi zao wamefundishwa hivyo, usihoji.
Serikali huwa haishindwi, Jaji atatoa hukuma kwa maelekezo na asiyeridhika akate rufaa kwani iko wazi, huyooo anasepa anawaacheni mkiwa vikundivikundi kila mmoja na neno lake.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]mission failed
Kama ndivyo Tanzania tungekuwa na magaidi wa kutosha,kumbe kukutwa na silaha wew ni gaidi?Je zile pastola na risasi walizokutwa nazo je
Labda wanaogopa wakiwaachia wanaccm wenye hasira kali watawadhuru.Unanimously, hii siyo kesi ya UGAIDI...
Hii ingekuwa ni kesi ya jinai ya kawaida yenye makosa mawili;.
1. Adamoo kukutwa/kumiliki silaha isivyo halali kisheria [japo mpaka sasa hakuna shahidi aliyekwisha kuthibitisha pasipo shaka kuwa Adamoo ndiye alikutwa na silaha hiyo]
2. Adamoo kukutwa na madawa ya kulevya [lakini cha ajabu kosa hili halimo ktk hati ya mashitaka japo linasemwa sana na karibu kila polisi shahidi]
##Huyu Mbowe, Ling'wenya na Bwire kwa haraka haraka haieleweki wako mahabusu kwa kosa gani hasa...!!
## In short, hao hawastahili kuwa hapo walipo. Waachiwe huru Mara moja ili waendelee na kazi zao
Inawezekana atagoma.Mimi nasubiri tu siku ambayo Afande Zirro atapandishwa kizimbani na Kibatala kutoa ushahidi.
Hawezi kugomea Mahakama. Hata Mkapa unakumbuka aliitwa kutoa ushahidi... iwe Sirro....!!?Inawezekana atagoma.
Wewe humjui Sirro anavyojisikia!Hawezi kugomea Mahakama. Hata Mkapa unakumbuka aliitwa kutoa ushahidi... iwe Sirro....!!?
Labda mbele ya safari watajitokeza wajuzi zaidi ya hawa kamata na hoji.Tangu kesi ya Mbowe ianze ilielezea kidogo sana matukio ya Moshi ambako ndiko tulitegemea milango ilifanyika, sana tulichoshuhudia mbege party, manunuzi ya vocha za simu na safari za hapa na pale.
Wengi walitegemea hatua ya mwanzo wangeona zana za kutendea ugaidi kama vifaa vya kushambulia vituo vya mafuta, masoko, madaraja na si nyamachoma na mo eneji.
Hivi sasa kila shahidi upande wa mashitaka anaelezea matukio ya Dar baada ya ukamataji na si kisa cha ukamataji! Ni nini maana ya hii.
Mimi naona hapa kinachoendelea ni nani anajua kuongea zaidi ya mwenzake, na nani ameweka kumbukumbu ya alichofundishwa kuongea zaidi ya mwenzake
Sijui Jaji anayetakiwa achukue uamuzi atajikita kwenye ushahidi gani unaohusu vitendea kazi ya ugaidi, maneno au zana?
Tuone shahidi wa leo atatokea kwenye vikao vya Moshi au polisi wa Dar?
Mhisiwa kulipia vituo vya mafuta kesi ina muda inaendelea. Mhusika na wizi wa mafuta ya mabilioni kigamboni alihukumiwa kifungo miaka 2 au faini sh 100,000,000 milioni mia moja. Alikupa akarudi kuendelea na biashara zake.Police na DPP wamefungua mashtaka ya kuhisi - yaani walihisi kina Mbowe wanakwenda kulipua vituo vya mafuta visivyojulikana, kupanga maandamano yasiyojulikana, kukata magogo na kuyalaza barabarani, barabara zipi haijulikani - ushahidi wa moja kwa moja wa namna mipango ilivyopangwa kufanyika haupo, tarehe na wahusika kamili hakuna, ni kuhisi kama vile wapiga ramli.
Kwa ushahidi huu yaani tunaishia kunywa Mbege tu pale Rau Madukamani kwa Mama Pendo.