Kwanini kila Papa anapoongelea ushoga huwa anaonekana kanukuliwa vibaya?

Sasa hawa wanamuona papa tu peke yake na ukiwaambia kuhusu muhamadi wanakasirika wakati aya na adithi zipo wazi kabisa

Kuna mtu wao maarafu sana hana kazi ya kuchimba mitaro ya kike na kiume hila akiwa kwenye mafundisho ushoga haramu hamtamuona mtume oh lele lele binadamu wengi wetu wanafiki sana mpaka shetani anajifunza kitu husu sisi
 
Kuna mtu wao maarafu sana hana kazi ya kuchimba mitaro ya kike na kiume hila akiwa kwenye mafundisho ushoga haramu hamtamuona mtume oh lele lele binadamu wengi wetu wanafiki sana mpaka shetani anajifunza kitu husu sisi
Waislamu hawapendi kuwaambiwa ukweli na ukiwaambia wanatukana ila wao kutwa kucha kusema na kukosoa wakristo!!!!Sasa wanakadirika nini wakati aya na adithi za maswaiba wa muhamadi zipo wazi kaka
 
Waislamu hawapendi kuwaambiwa ukweli na ukiwaambia wanatukana ila wao kutwa kucha kusema na kukosoa wakristo!!!!Sasa wanakadirika nini wakati aya na adithi za maswaiba wa muhamadi zipo wazi kaka

Watujua wenyew wanajifanya wajuaji mara tufike mbinguni Mungu asema hakuna dhambi asa sijui watasemaje wanakazimkututishia sana maisha

Umekaa zako unakula kaku mara gafla unasikia mawaidha oh ukiwa kabulini anakuja joka kubwa anaongea kialabu kama hujui anakupiga kichwani unajikuta upo aridhi ya saba

Nani aliwai kufa akaludi kutuhadithia
Hayo mambo ya kaburrini
 
Facts
 
Mimi naona wakumchukia zaidi ni mdhambi (kwenye kutenda dhambi) na sio dhambi. Dhambi (action) haiwezi kujitenda yenyewe lazima itendwe na mtu au jini (doer).
 
Usisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie
Hebu weka hizo Aya tuzione...maana tangu Jana umekazana kubalansi,weka Aya tuone ushoga ulivyoruhusiwa
 
Mada ulete ww watu wasubiri wanazuoni tena!!? Leta ushaidi mzee PAPA yupo clear kabisa
 
Sasa hawa wanamuona papa tu peke yake na ukiwaambia kuhusu muhamadi wanakasirika wakati aya na adithi zipo wazi kabisa
Kama unashindwa kuweka ushahidi basi hata mimi naweza kusema nina uhakika asilimia 100% kuwa wewe ni shoga ushahidi tena uko wazi .
 
Basi na mimi nina uhakika wewe ni shoga tena mkubwa na ushahidi uko wazi kabisa wewe ulizia wataalamu watakwambia kama ulitaka kuficha hilo jambo.
 
Hii ya juzi hakuna aliemnukuu vibaya imeeleweka vizuri tu. Alafu 'ukatoriki' ndio nini nenda ka practice, ra re ri ro ruuu, la le li lo luuu sawa ee?
 
Controversiality

Ukiwa unafanya kazi kwenye kiwanda cha kutengeneza mikate ya cheese, ukaambiwa uifanyie promotion mikate ya maziwa lazima tangazo lako litatatiza.
 
Hakuna kanisa hapo,ushetani mtupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…