Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Sasa hawa wanamuona papa tu peke yake na ukiwaambia kuhusu muhamadi wanakasirika wakati aya na adithi zipo wazi kabisa
Wazungu wametoa uarabuni hayo mambo na hata hiyo sodoma na gomora zilikua arabuni kakaVikatuni vyene benders ya upinde
Kazi ya kanisa ni kuhubiri watu kuacha dhambi sio kukata watu vichwa.Hivi wewe unaweza kumwambia mtoto wako kuwa kulawitiwa/kulawiti sio kosa, halafu ukaongezea ila ni dhambi. Hivyo ndio utakuwa unamuhubilia aache hiyo dhambi. Mtatetea mpaka lini?
Waislamu hawapendi kuwaambiwa ukweli na ukiwaambia wanatukana ila wao kutwa kucha kusema na kukosoa wakristo!!!!Sasa wanakadirika nini wakati aya na adithi za maswaiba wa muhamadi zipo wazi kakaKuna mtu wao maarafu sana hana kazi ya kuchimba mitaro ya kike na kiume hila akiwa kwenye mafundisho ushoga haramu hamtamuona mtume oh lele lele binadamu wengi wetu wanafiki sana mpaka shetani anajifunza kitu husu sisi
Waislamu hawapendi kuwaambiwa ukweli na ukiwaambia wanatukana ila wao kutwa kucha kusema na kukosoa wakristo!!!!Sasa wanakadirika nini wakati aya na adithi za maswaiba wa muhamadi zipo wazi kaka
FactsWatujua wenyew wanajifanya wajuaji mara tufike mbinguni Mungu asema hakuna dhambi asa sijui watasemaje wanakazimkututishia sana maisha
Umekaa zako unakula kaku mara gafla unasikia mawaidha oh ukiwa kabulini anakuja joka kubwa anaongea kialabu kama hujui anakupiga kichwani unajikuta upo aridhi ya saba
Nani aliwai kufa akaludi kutuhadithia
Hayo mambo ya kaburrini
Mimi naona wakumchukia zaidi ni mdhambi (kwenye kutenda dhambi) na sio dhambi. Dhambi (action) haiwezi kujitenda yenyewe lazima itendwe na mtu au jini (doer).Siyo kila jinai (crime) ni dhambi (sin).
Jinai inarejea sheria za nchi husika wakati dhambi inarejea utii kwa Mungu na maagizo yake.
Siyo kila sheria ya nchi inamtii Mungu na maagizo yake.
Halafu alichokifanya Papa ni kama alichokifanya Yesu kwa yule mwanamke mzinzi - kuchukia dhambi, si mdhambi.
Hebu weka hizo Aya tuzione...maana tangu Jana umekazana kubalansi,weka Aya tuone ushoga ulivyoruhusiwaUsisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie
Achana na kanisani, nimeuliza kwa level ya familia yako, jibu kwanza, kwa kufuata mapokeo hayo ya papaa wenuKazi ya kanisa ni kuhubiri watu kuacha dhambi sio kukata watu vichwa.
Mada ulete ww watu wasubiri wanazuoni tena!!? Leta ushaidi mzee PAPA yupo clear kabisaKaka usipaniki kwa kua hujui adithi na aya za muhamad!!!!Ngoja wanazuoni waje watuwekee hiyo aya na adithi!!!!Kuhusu mimi kuniita kafir upo sawa ni mtazamo wako na sina shida na lugha ya kiarabu sababu hata sisi wabantu tunawaita nyie wafuasi wa muhamadi NYUGUMA!!!
Kama unashindwa kuweka ushahidi basi hata mimi naweza kusema nina uhakika asilimia 100% kuwa wewe ni shoga ushahidi tena uko wazi .Sasa hawa wanamuona papa tu peke yake na ukiwaambia kuhusu muhamadi wanakasirika wakati aya na adithi zipo wazi kabisa
Basi na mimi nina uhakika wewe ni shoga tena mkubwa na ushahidi uko wazi kabisa wewe ulizia wataalamu watakwambia kama ulitaka kuficha hilo jambo.Kaka wanazuoni wa kiislamú wanajua nachomaanisha!!!Wewe nenda kawaulize kuhusu muhamad kubusú ndimi na limi za wanaume wenzie kua ni sunna na utapata pepo!!!Au hauna elimu akhera kaka????Unanikasirikia mimi wakati wanazuoni wa itifaki za kiislamu wanazijua hizo aya na adithi!!!!
Hii ya juzi hakuna aliemnukuu vibaya imeeleweka vizuri tu. Alafu 'ukatoriki' ndio nini nenda ka practice, ra re ri ro ruuu, la le li lo luuu sawa ee?Watetezi wake Huwa wanakuja na ushahidi kuonyesha amenukuliwa vibaya.
Hii SI mara ya kwanza. Najiuliza. Anafanya kusudi?
Ana akili kubwa kiasi kwamba sisi walala hoi na waandishi makanjanja huwa hawamuelewi?
Ana mkakati wa kuifanya Dunia kuwa conscious na ushoga ili waone ni kitu Cha kawaida?
Huwa roho mtakatifu anamshukia ananena mambo ambayo linatakiwa jopo la kuyatafsiri kabla hayajafikia waumini na wafuasi wa ukatoriki Zaidi ya Bilioni ulimwenguni kote.
Ambao huwa mnaelewa mtusaidie sisi wakosefu.
Aya gani hyo em tujuze na sisi tuisome.Usisahau waislamu kuna aya zinaruhusu hayo mambo!!!!!Hata kiongozi wao kuna aya anasema alikua na furaha alipobusu midomo ya mwanaume mwenzie
Hakuna kanisa hapo,ushetani mtupuWatetezi wake Huwa wanakuja na ushahidi kuonyesha amenukuliwa vibaya.
Hii SI mara ya kwanza. Najiuliza. Anafanya kusudi?
Ana akili kubwa kiasi kwamba sisi walala hoi na waandishi makanjanja huwa hawamuelewi?
Ana mkakati wa kuifanya Dunia kuwa conscious na ushoga ili waone ni kitu Cha kawaida?
Huwa roho mtakatifu anamshukia ananena mambo ambayo linatakiwa jopo la kuyatafsiri kabla hayajafikia waumini na wafuasi wa ukatoriki Zaidi ya Bilioni ulimwenguni kote.
Ambao huwa mnaelewa mtusaidie sisi wakosefu.