Kwanini kila video ya Ubongo Kids YouTube ina chata ya Upinde wa Mvua au rangi za Upinde wa Mvua?

Hawa wanataka kuwazoesha hizo rangi kupenyeza agenda yao kama ambavyo tulizoeshwa wanawake kutembea uchi taratibu taratibu mpaka sasa tumezoea.
 
Huwa hupendi kuandika sana ila siku ukiandika tu ni madini tupu, nakupenda bure kwa huo utashi wako Numbisa Mama.
 
Mashoga watu wa ajabu sana. Wanataka kujimilikisha upinde wa mvua, wengine wote waogope kuutumia, hii siyo sawa kabisa. Hivi kwa nini wasitengeneze bendera yao badala ya upinde wa mvua?
 
Mambo yalianz Toka enzi,unamjua Farouk Bulsara aka Fredy Mercury?
 
Mimi nguo ya upinde wa mvua kama nikiipenda nanuna vazaa cha muhimu mimi mimi sio mfuasi wa hayo mambo....naona tunapoelekea sasa kila rangi itatambulisha jambo flani,leo watatokea watu na kusema wao ni wafuasi wa Shetani na rangi za nguo zao ni NYEUSI...kwahiyo sisi ambao sio wafuasi wa shetani tusivae mavazi yenye rangi nyeusi?
 
Hili taifa bado kuna wajinga wengi sana sasa hizo rangi ndio ushoga?

Swala ni kuķataa rangi au kukataa tabia mbona kama tunavamia vitu tusivyoelewa.
Miafrika tuna laana!!yaani tuna lundo la matatizo toka uhuru hatujayamaliza sasa leo tunahamisha AGENDA kwenye jambo ambalo bado halijawa kubwa sana kwenye jamii yetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…