Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Nimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k...
Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?
Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.
Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?
Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?
Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.
Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?