Kwanini kina mama tu ndio huwa wanatueleza mabaya ya baba lakini sio rahisi kina baba kueleza mabaya ya mama?

Kwanini kina mama tu ndio huwa wanatueleza mabaya ya baba lakini sio rahisi kina baba kueleza mabaya ya mama?

Afisa Tabibu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2021
Posts
511
Reaction score
848
Nimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k...

Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?

Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.

Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?
 
Wanahulka ya kujiona wao ndio bora. Akikwambia kuwa ulipoumwa yeye ndie alikupeleka hospitali, hatokwambia kuwa baba yako ndio alibeba gharama zote za hayo matibabu. Akijisifu kuwa alikupikia hatokwambia kuwa baba ndie alieleta hicho chakula. Kwa kifupi za kuambiwa changanya na za kwako.

Pia mara nyingi mimama inayokandia sana waume zao ndio utakuta inakaa nao miaka na miaka, hapo ndio ujue kuongea kwa wanawake ni hulka yao tu.

Japo ipo mizee mingine nayo kavu kweli. Linaenda kula kwa mama ntilie halafu linakuja na korodani zake tu nyumbani likijifanya halina kitu. Kwa kifupi ugomvi wa wazazi waachie wenyewe. Wakikandiana wewe sikiliza tu, wakisifiana cheka nao.
 
Ajabu ya watoto ni kwamba Baba ndy mzazi pekee anayjitoa sn kwa watoto wakiwa wadogo.

Lakini sifa anapewa mama.
--mtoto akiumwa.
--mtoto shule
--matunzo ya mtoto.
Baba huwa anawaza atayawezaje yote hayo.
Wakati mama akiwaza vikoba...

Ajabu mtoto akikua anaonekana Baba sio lolote si chochote.
 
Nimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k...

Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?

Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.

Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?
Mimi shahidi kwenye hili...
 
Wanahulka ya kujiona wao ndio bora. Akikwambia kuwa ulipoumwa yeye ndie alikupeleka hospitali, hatokwambia kuwa baba yako ndio alibeba gharama zote za hayo matibabu. Akijisifu kuwa alikupikia hatokwambia kuwa baba ndie alieleta hicho chakula. Kwa kifupi za kuambia changanya na za kwako.

Pia mara nyingi mimama inayokandia sana waume zao ndio utakuta inakaa nao miaka na miaka, hapo ndio ujue kuongea kwa wanawake ni hulka yao tu.

Japo ipo mizee mingine nayo kavu kweli. Linaenda kula kwa mama ntilie halafu linakuja na korodani zake tu nyumbani likijifanya halina kitu. Kwa kifupi ugomvi wa wazazi waachie wenyewe. Wakikandiana wewe sikiliza tu, wakisifiana cheka nao.
😀 😀 😀 😀
 
Nimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k...

Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?

Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.

Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?
Wamama wengi wanaamini watoto ni wa kwao peke yao. Wengi hufanya hivyo ili kuwateka watoto wawe followers wao tena wasiohoji yaani wawe mazuzu flani hivi.

Mimi nikiwa mdogo kuna mambo mabaya nilikuwa namsikia Mama anasema kuhusu Baba tena sio mara moja. Kuna siku nikiwa mdogo hivyo hivyo nikaenda kumuomba Baba kikao nae sebuleni.

Nikamuuliza kuhusu hizo tuhuma,akanisikilizaa weee halafu akanipa jibu moja amazing "Na wewe si mwanaume?, subiri ukue utayakuta".

Miaka 14 mbele kuna siku akanipigia simu na kunifafanulia kisa na mkasa. Nikajua kumbe aliyekuwa anamsababishia mwenzake aanguke 'dhambini' ndiye aliyekuwa wa kwanza kujiliza.

Nikamwambia "nashukuru nimepata habari ya upande wa pili,siku Mama akija kunitembelea nitampasukia". Na kweli siku Mama alipokuja kwangu nikamwambia "kumbe zile dhambi za Baba ulikuwa unamsababishia wewe". Akapigwa na butwaa sana. Hakusema neno lolote. Halafu chap sana nikachange topic.
 
Back
Top Bottom