mosses15
JF-Expert Member
- Dec 27, 2018
- 992
- 2,266
😄😄😄Halafu ukute watoto wenyewe sio wako,akili itakukaa vizuri...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄😄Halafu ukute watoto wenyewe sio wako,akili itakukaa vizuri...
Huo ni ubinafsi tu unawasumbuaWanataka muwapende wao zaidi hataki mgawanyo wa upendo
Jana Road nilikutana na Fuso la mizigo limeandikwa MWANAUME HASEMI [emoji1787]Toeni ya rohoni ndio maana mnakufa mapema. Wamama hatuwezi kukaa na vinyongo moyoni
Nina ukaribu sanaa na binti yangu na kila likizo tupo wote na mambo ya shopping za Shule, out za weekend tupo wote.Ukaribu wa mtoto na mama ukiugundua, basi na swali lako limejibiwa
Ndo maana huwa mnatuuliza tukifa tutawaachaje! Mara ume R.I.P wewe baba kabaki.Toeni ya rohoni ndio maana mnakufa mapema. Wamama hatuwezi kukaa na vinyongo moyoni
Wee hawa mama zetu bwana waajabu sana. Wanalalamika lakini wanabaki maana huduma ipo ebu baba afulie uone kama watabaki...baba atatukanwa matusi yoteNimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k...
Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?
Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.
Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?
Tunayatolea kwa michepukoToeni ya rohoni ndio maana mnakufa mapema. Wamama hatuwezi kukaa na vinyongo moyoni
Wanaume wana vifua vya kuyabeba na kuyaficha kina mama hawanaNimejiuliza sana, mama zetu ni wepesi sana kueleza mabaya ya baba zetu na kuyaanika wazi, kauli kama kipindi unaumwa mimi ndio nilikupeleka hospital baba yako alikuwa amelewa chakari, baba yako alikuwa akipata hela basi humuoni nyumbani n.k...
Kauli za namna hiyo zimekuwa nyingi sana katika familia zetu, cha ajabu utakuta mama huyo huyo amedumu na mzee kwa miaka 30, utabaki unajiuliza amedumu vipi katika mazingira magumu hivi? Jibu lao simple sana "sikutaka kuwaacha peke yenu" sawa, sasa mbona unanawiri tu?
Upande wa akina baba ni tofauti sana, wao hawaaniki mabaya ya mama zetu, wanawasitiri sana na kutusisitiza tumpende na tumheshimu mama.
Kwani akina baba huwa hawafanyiwi ubaya na mama zetu? Na akina mama kwanini wasichague kuyaanika mazuri ya akina baba?
Mchepuko hawezi kuzuia chuki inayopandikizwa kwa mtoto na mama , zaidi atafurahia anguko la familia yako.Tunayatolea kwa michepuko
Yote kheri ila no haziongopi.Ndo maana huwa mnatuuliza tukifa tutawaachaje! Mara ume R.I.P wewe baba kabaki.