Chanzo ni wao, ni km harmonize asemavyo ila anajua kbs kula kuku na mayai ni kosa na ni aibu.Nina ukaribu sanaa na binti yangu na kila likizo tupo wote na mambo ya shopping za Shule, out za weekend tupo wote.
Mimi na mama ake tulishaachana zamaniii, ila SITOKUJA KUMUELEZA MADHAIFU YA MAMA AKE.
Kwanini WANAWAKE WANAWEZA?
#YNWA
Na kwa nini mpandikize chuki wakati hudumu muhimu baba anatoa? Huo ni ujingaMchepuko hawezi kuzuia chuki inayopandikizwa kwa mtoto na mama , zaidi atafurahia anguko la familia yako.
Asili ya binadamu ni mchoyo.Anataka upendo wote aoneshwe yeye tu.Mwanzo wivu.Hufuata uchoyo na baadaye ni chuki.Mizizi ya dhambi hiyo.Wanataka muwapende wao zaidi hataki mgawanyo wa upendo
[emoji3][emoji3][emoji3]Halafu ukute watoto wenyewe sio wako,akili itakukaa vizuri...
Mtatusafisha huzuni yetu.Ipo siku tu.Kwaniaba ya wamama wote,, naomba radhi mtusamehe bure....tutajitahidi sana kuepuka hii hali.
nishaomba radhi mtusamehe bure tutajirekebishaMtatusafisha huzuni yetu.Ipo siku tu.
Wivu wa kike tu!Wanataka muwapende wao zaidi hataki mgawanyo wa upendo
Mimi nimekusameheni.Sihitaji fidia tena zaidi ya watoto mlonizalia.Mashaallah!nishaomba radhi mtusamehe bure tutajirekebisha