Kwanini kiongozi ajivunie umeme kuwa wa mgao?

Kwanini kiongozi ajivunie umeme kuwa wa mgao?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Umeme kuwa wa mgawo katika nchi kunakimbiza wawekezaji na kuua biashara za watu ikiwemo mitambo.

Katika hali ya kawaida na katika kulinda taswira ya uwekezaji nchini si Busara kiongozi kutoka adharani na kujitetea kuhusu umeme kukatika. Busara na hekima za kiongozi nikujifungia na safu yake na kutafuta solution

Kinachoendelea sasa hivi nchini kuna kila dalili za kufelishana, yaani kiongozi A anapoondolewa ofisini akiwa huko mbali anatumia mbinu mwenzake asifaulu kwa mantiki ya tufeli wote.

Hii vita ya tufeli wote haina uzalendo nyuma yake badala yake imeongozwa zaidi na ubinafsi na uchu wa madaraka

Tumezalisha mitandao ya watu wanaodhani watakuwa marais wa nchi, wote wana umri sawa na wapo nyuma ya kiongozi mmoja. Kudhani kwamba uwaziri hautoshi kumepelekea wasitoe msaada kwa nchi badala yake waelekeze nguvu kutafuta fedha za kuunda makundi na network za urais

Turudi mezani tukanyane, tuwakanye bila kujali wazazi wao wana mchango gani kwenye mafanikio yetu. Tuache kudhani kwamba baba na mama zao ni bora kuliko nchi. Makundi yanatufanya tuwe watumwa kwa kujenga mianya ya kuuza rasilimali za nchi ili tuendeshe nchi

Msoga Gang vs Sukuma Gang siyo hitajio la nchi tupige vita. Hizi kauli za viongozi waliopo madarakani kwamba angekuwepo JPM umeme usingekatika zitufikirishe na tuone kwamba tuliowaamini awatuamini.
 
Haya ni madhara yaliyoasisiwa toka muda mrefu kuhakikisha chama kimoja kibaki madarakani kwa njia yoyote. Hili ni kosa kubwa sana la kiufundi. Hayo makundi ndani ya hicho chama yanajua yakifanikiwa kupata fedha za kuhonga, basi wanaukwaa urais bila kujali maamuzi ya wananchi.
Cc: Tlaatlaah
 
Tatizo wanabadilisha viongozi ambao hata wakiona trasfoma wanaiogopa kuisogelea.
Waondoe na mafundi wakuu. Hawa mafundi wakuu ndio wanaotumika na kusababisha matatizo.
Wapewe kazi kwa mikataba isiyozidi miaka miwili, akionekana fundi /injinia mkuu ni mzalendo aongezewe mkataba. Na kama anaonekana kutumika kuhujumu anaondolewa.
 
Umeme kuwa wa mgawo katika nchi kunakimbiza wawekezaji na kuua biashara za watu ikiwemo mitambo.

Katika hali ya kawaida na katika kulinda taswira ya uwekezaji nchini si Busara kiongozi kutoka adharani na kujitetea kuhusu umeme kukatika. Busara na hekima za kiongozi nikujifungia na safu yake na kutafuta solution

Kinachoendelea sasa hivi nchini kuna kila dalili za kufelishana, yaani kiongozi A anapoondolewa ofisini akiwa huko mbali anatumia mbinu mwenzake asifaulu kwa mantiki ya tufeli wote.

Hii vita ya tufeli wote haina uzalendo nyuma yake badala yake imeongozwa zaidi na ubinafsi na uchu wa madaraka

Tumezalisha mitandao ya watu wanaodhani watakuwa marais wa nchi, wote wana umri sawa na wapo nyuma ya kiongozi mmoja. Kudhani kwamba uwaziri hautoshi kumepelekea wasitoe msaada kwa nchi badala yake waelekeze nguvu kutafuta fedha za kuunda makundi na network za urais

Turudi mezani tukanyane, tuwakanye bila kujali wazazi wao wana mchango gani kwenye mafanikio yetu. Tuache kudhani kwamba baba na mama zao ni bora kuliko nchi. Makundi yanatufanya tuwe watumwa kwa kujenga mianya ya kuuza rasilimali za nchi ili tuendeshe nchi

Msoga Gang vs Sukuma Gang siyo hitajio la nchi tupige vita. Hizi kauli za viongozi waliopo madarakani kwamba angekuwepo JPM umeme usingekatika zitufikirishe na tuone kwamba tuliowaamini awatuamini.
Waziri gani kakataa kusaidia? Kiongozi gani kajivunia mgomo wa umeme ? Kijana gani yuko busy kuunda mitandao? Makundi gani yanatafuta hela za network ya Urais?

Na ni engineering guru gani huyo ambae kaondolewa kwenye cheo lakini wewe unadhani tunamuhitaji asaidie akiwa mbali maana bila yeye hatuendi?
 
Back
Top Bottom