Kwa wenzangu wale walaji wa viporo na daku mtanielewa!
Ni hivi; Vyakula vinavyoliwa kwa mikono halafu vikabaki hadi asubuhi Kama (Viporo)!
Inaonesha kwamba vyakula Vinavyobakizwa na wanaume huchacha mapema zaidi kuliko vyakula vilivyo liwa na wanawake!
Kama huamini jipe mda kuchunguza utagundua ni hivyo;
Je; ni kipi kinaweza kuwa chanzo kwa hali hiyo kwa vyakula viliwavyo na wanaume?
KARIBUNI WADAU KUSHARE EXPERIENCE!
Ni hivi; Vyakula vinavyoliwa kwa mikono halafu vikabaki hadi asubuhi Kama (Viporo)!
Inaonesha kwamba vyakula Vinavyobakizwa na wanaume huchacha mapema zaidi kuliko vyakula vilivyo liwa na wanawake!
Kama huamini jipe mda kuchunguza utagundua ni hivyo;
Je; ni kipi kinaweza kuwa chanzo kwa hali hiyo kwa vyakula viliwavyo na wanaume?
KARIBUNI WADAU KUSHARE EXPERIENCE!