Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Wapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Kama unayosema ni kweli je kuna baya lolote ametenda mwandishi kwa kuandika hivyo vitabu na labda hakuongozwa na roho mtakatifu hadi unakubali tusivisome?
 
Ok sawa tunasubiri mkuu

natumaini umeiona..... na vile vitabu saba vyote vipo...full burudani...
IMG_20170704_211001.jpg
IMG_20170704_212731.jpg
IMG_20170704_212408.jpg
IMG_20170704_212632.jpg
IMG_20170704_212653.jpg
 
Kuna nadharia nyingi bout the book of enoch inasemekana kilitolewa na mungu mwenyewe coz kilikua kinaelezea conflict btn fallen angels na binadamu so kilikua kinaelezea namna ya uundaji mbalimbali wa silaha ambazo zingefanya dunia iwe sehemu mbaya zaid ya sasa kwamana ya vita.

inasemekana that waz one of a reason enoch kuchukuliwa na Mungu pasipo kupata umauti ni binadamu pekee ambaye hakufa fatilia kitabu cha mwanzo so alichukuliwa ili kuprevent the knowledge of creating weapons isisambae sana though inasemekana baadhi ya fallen angels walikua na baadhi ya maandiko ya kitabu hicho n still cursed on earth working secret try be like God by destroying wat created by him ndo vitu kama uwepo wa powerful weapons kama nuclear etc
 
Kama unayosema ni kweli je kuna baya lolote ametenda mwandishi kwa kuandika hivyo vitabu na labda hakuongozwa na roho mtakatifu hadi unakubali tusivisome?
Unaweza kusoma kama una Imani thabiti kuhusu Biblia. Lakini kama Imani yako ni haba, basi tarajia kufisha Imani yako katika kitabu cha Biblia.

Ninachomlaumu ni kuunganisha mafundisho ya Imani za kipagani na Biblia, vitu ambayo kamwe haviigiliani.
 
Kuna nadharia nyingi bout the book of enoch inasemekana kilitolewa na mungu mwenyewe coz kilikua kinaelezea conflict btn fallen angels na binadamu so kilikua kinaelezea namna ya uundaji mbalimbali wa silaha ambazo zingefanya dunia iwe sehemu mbaya zaid ya sasa kwamana ya vita inasemekana that waz one of a reason enoch kuchukuliwa na mungu pasipo kupata umauti ni binadamu pekee ambaye hakufa fatilia kitabu cha mwanzo so alichukuliwa ili kuprevent the knowledge of creating weapons isisambae sana though inasemekana baadhi ya fallen angels walikua na baadhi ya maandiko ya kitabu hicho n still cursed on earth working secret try be like God by destroying wat created by him ndo vitu kama uwepo wa powerful weapons kama nuclear etc
Enock kwenye bible ameelezwa kma mtu aliyeishi maisha ya utakatifu duniani na Mungu alimpenda sana alkua anamuwaza Mungu masaaa 24. Hata akitembea njiani alkua anaangalia chini asije akakanyaga wadudu wadogo (hii ni sababu ya kuchukuliwa moja kwa moja mbinguni)

Naomba kujua je,mwandishi wa kitabu cha enock alkua yeye?hicho kitabu kinaelezea maisha yake??
 
Basi kumbe unataka kubishana sio facts.... Endelea basi kubishana...
Facts gani? Hujaweka fact yeyote zaidi ya assertion isiyo na ushahidi. Sina muda wa kubishana na mtu, ila nilikuwa naonesha ukweli kwamba kauli tupu kama hiyo hata mimi naweza kuisema. Kusema ni kitu kimoja ila ushahidi ni kitu kingine.
 
baby wangu kumbe unamjua Mungu eeh ngoja nitafute kitabu cha tomaso halafu kitakuwa cha kweli maana huyu tomaso alikuwa mwanafunzi wa yesu so ina maana aliyoandika ni ya kweli maana aliyaona unlike kina mathayo .luka marko wale walisimuliwa tu
Miss una hakika na haya unayoandika?.
 
Kwa mtazamo haya mambo ya imani ukitaka scientific proof kwa maana ya objective truth tutabishana mpaka kesho ila kinachotekea people just wondering n speculating on bible matters so ikitokea theory inayoconnect dots vizuri bhas itasambaa sana mana kuna theory mbalimbali za kuelezea matukio ya kwenye bible ambayo ikifatilia unaeza ukakubali kama journey to caanan, moses meet god etc.

ndo mana nikaanza mwanzo kuwa kuna mitazamo mbalimbali ambayo inatolewa na binadamu kama sisi angalizo langu ni kwamba dont put religion matters into scientific proof u'll go to hell coz religion is matter of beliefs hata kama unachoamini ni kweli au uwongo just believe tu n dnt question coz its a sign of not believin refer Noah aliamini sauti tu kwamba jenga safina kuna mvua itakuja lakin mvua haikuja kwa mda mfupi ilikuja baada ya miaka mia kadhaa kupita but he wa believing tu people laugh n mock him ila hakujali tu back to topic the book of enoch inasemekanan kiliandikwa na enoch mwenyewe ambaye alichukuliwa na mungu to heaven he was absolute holy n loyal to GOD
 
Unaweza kusoma kama una Imani thabiti kuhusu Biblia. Lakini kama Imani yako ni haba, basi tarajia kufisha Imani yako katika kitabu cha Biblia. Ninachomlaumu ni kuunganisha mafundisho ya Imani za kipagani na Biblia, vitu ambayo kamwe haviigiliani.
Unamlaumu mtu ambae kimsingi unakubali aliongozwa na roho mtakatifu ikiwa wewe huyo roho mtakatifu huna?

Kwanini unatanguliza mtu anaetaka kusoma vtabu hivyo awe ana Imani thabiti huoni unamchagulia mtu jinsi ya kuelewa maana hapa watu wamesema kuwa huyo jamaa ni miongoni mwa binadamu wawili ambao hawajafa Bali walichukuliwa na mungu na kwamba aliongea na mungu, na kama ujuavyo kwenye biblia wapo waandishi walioandika kwa kuhadithiwa tu na ndio unaweka angalizo mtu awe na Imani sasa amini alieona au aliehadithiwa?
 
ni kwa sababu wale malaika kama 200 waliohasi kutoka mbinguni wanikuja duniani na kutembea na wanawake huku duniani na ndipo kikatokea kizazi cha watu weupe ambao kwa sasa tunawaita wazungu so baada ya hapo wazungu walivyoona kwamba dunia itajua ikabidi wakitoe kitabu cha Enoch
 
Kuna bonge la kitabu lilitolewa pia lilikuwa linaitwa gospel of Thomas!....... Nafikiri hiki ndo kilikuwa kitabu bora kabisa katika bibilia!.....Sisi wanadamu hasa wa dini ya kikatoliki ni wabaya sana![emoji22]
Kwani kwenye biblia wanazotumia madhehebu mengine vimo?
 
Huna haja ya kuogopa....Vitabuvya Apocripha vipo vingi sana,,,,,Hata kule kwenye Agano la Kale vipo kibao...Ila havina maana yoyote kwa maisha ya Mkristo zaidi ya kujaa uzushi na ushabiki...
Kumbe unajua unalolifanya mkuu,Apocryphal books vipo vingi,sana katika agano la kale(Old Testament), na vingi vimeongezeka mara tu baada ya uasi wa Wayahudi dhidi ya dola la Kiyunani(Greece empire) 331 BK - 168 BK,Kipindi hiki ndipo vitabu vingi vya kiharakati (Jews activist books)viliandikwa na lengo likiwa kueneza propaganda na kuwatia moyo(Unit), wayahudi kupambana na utawala wa Kiyunani,vingi vimeandikiwa Palestina na Misri hasa mji wa Alexandria (uliopata jina kutokana na jina la mtalawa wa kigriki,Alexander The Greet(333 BK -),miongon wa vitabu ni Maongezeko ya kitabu cha Ester(Ester's Additional chapters) na Daniel (BELI NA JOKA),TOBITHI,HEKIMA YA SOLOMON, WAMAKABAYO KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI,NA HEKIMA YA SILA,vitabu hivi havihusishwi kama maandiko matakatifu kwa sababu zifuatazo;
1:Ni vitabu vinavyohamasisha watu mambo ya kisiasa si ya Kidini(Political reformations writings)Mfano,Vitabu vya makabayo

2:Hayina mapatano vitabu vingine vya Kiteolojia kama Taurat na Zaburi(Zab'ur),na Manabii(Nab-eem)(Non correspondent doctrines)Mfano,Beli na joka

3:Havina uhalisia(Fictitious writings),Mfano Tobithi,sura ya ini la samaki kutibu majini.

4;Kutopatana/kutolingana kwa matukio na vipindi vya kihistoria(Chronicles inaccuracy),

5:Ubinafsi wa uhusika,kuelezea matendo mema tu ya muhusika(Individuality) ambaye ni mwandish mwenyew

6:Kutojulikana kwa waandishi

7:Kuingiza mambo ya tamaduni na uganga (Witchcraft norms & traditions)yasiyopatana na neno la Mungu.

8:Muda wa uandishi,Biblia imeandikwa katika mpangilio unaofuatana(Chronological order), kati ya matukio na muda,Theologically Kitabu cha Mwisho kabisa kilichovuviw ni Malaki(Malach) cheny sura(chapters) 4 kinachonekana kimeandikwa 445 BC,na kutoka hapo kikatoa ahad ya kuja KRISTO NA AGANO JIPYA,rejea Malak 4:4-6.Baada ya hapo Mung akakoma kunena had alipotuma malaika kwa Zacharia na Maryamu,hivyo katika kipindi hiki cha ukimya(NON PROPHETIC TIME)ndipo vilipo ibuka hivyo vingine kama nilivyotangulia eleza.

NB,NITAKUW TAYAR KUJIBU PIA KUHUSIANA NA VITABU VINGINE VYA INJIL MFANO INJIL YA THOMAS NA BARNABAS.
Natanguliza shukrani, be blessed as you will find this comment useful!!.
Dukeson!!.
 
Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Mkuu c uweke attachment hapa
 
Kumbe unajua unalolifanya mkuu,Apocryphal books vipo vingi,sana katika agano la kale(Old Testament), na vingi vimeongezeka mara tu baada ya uasi wa Wayahudi dhidi ya dola la Kiyunani(Greece empire) 331 BK - 168 BK,Kipindi hiki ndipo vitabu vingi vya kiharakati (Jews activist books)viliandikwa na lengo likiwa kueneza propaganda na kuwatia moyo(Unit), wayahudi kupambana na utawala wa Kiyunani,vingi vimeandikiwa Palestina na Misri hasa mji wa Alexandria (uliopata jina kutokana na jina la mtalawa wa kigriki,Alexander The Greet(333 BK -),miongon wa vitabu ni Maongezeko ya kitabu cha Ester(Ester's Additional chapters) na Daniel (BELI NA JOKA),TOBITHI,HEKIMA YA SOLOMON, WAMAKABAYO KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI,NA HEKIMA YA SILA,vitabu hivi havihusishwi kama maandiko matakatifu kwa sababu zifuatazo;
1:Ni vitabu vinavyohamasisha watu mambo ya kisiasa si ya Kidini(Political reformations writings)Mfano,Vitabu vya makabayo

2:Hayina mapatano vitabu vingine vya Kiteolojia kama Taurat na Zaburi(Zab'ur),na Manabii(Nab-eem)(Non correspondent doctrines)Mfano,Beli na joka

3:Havina uhalisia(Fictitious writings),Mfano Tobithi,sura ya ini la samaki kutibu majini.

4;Kutopatana/kutolingana kwa matukio na vipindi vya kihistoria(Chronicles inaccuracy),

5:Ubinafsi wa uhusika,kuelezea matendo mema tu ya muhusika(Individuality) ambaye ni mwandish mwenyew

6:Kutojulikana kwa waandishi

7:Kuingiza mambo ya tamaduni na uganga (Witchcraft norms & traditions)yasiyopatana na neno la Mungu.
8:Muda wa uandishi,Biblia imeandikwa katika mpangilio unaofuatana(Chronological order), kati ya matukio na muda,Theologically Kitabu cha Mwisho kabisa kilichovuviw ni Malaki(Malach) cheny sura(chapters) 4 kinachonekana kimeandikwa 445 BC,na kutoka hapo kikatoa ahad ya kuja KRISTO NA AGANO JIPYA,rejea Malak 4:4-6.Baada ya hapo Mung akakoma kunena had alipotuma malaika kwa Zacharia na Maryamu,hivyo katika kipindi hiki cha ukimya(NON PROPHETIC TIME)ndipo vilipo ibuka hivyo vingine kama nilivyotangulia eleza.
NB,NITAKUW TAYAR KUJIBU PIA KUHUSIANA NA VITABU VINGINE VYA INJIL MFANO INJIL YA THOMAS NA BARNABAS.
Natanguliza shukrani, be blessed as you will find this comment useful!!.
Dukeson!!.

Vitabu Saba vya Agano la Kale ambavyo vipo katika Biblia Halisi (Catholic na Orthodox) hivyo siyo Apocripha. Vitabu hivyo vilikuwapo toka Biblia inakuwa Compiled na Kanisa Katoliki.

Alikuja kuviondoa Martin Luther Kipindi kile cha Reformation....
 
MKUU MARTIN LUTHER HAKUWAHI KUPUNGUZA KITABU CHOCHOTE ALICHOFANYA *ALITAFSIRI BIBLIA KUIWEKA KATIKA INDO - EUROPEAN LANGUAGES, KAMA GERMANY NA LATIN,MKUU PLEASE ELEWA.
Asante mkuu.... Nimetumia nafikiri... Sikuwa na uhakika lakini aliattempt kufuta wenzake wakampinga...
 
MKUU MARTIN LUTHER HAKUWAHI KUPUNGUZA KITABU CHOCHOTE ALICHOFANYA *ALITAFSIRI BIBLIA KUIWEKA KATIKA INDO - EUROPEAN LANGUAGES, KAMA GERMANY NA LATIN,MKUU PLEASE ELEWA.
Kwani Bible yenye vitabu kiprotenstant iliyo na vitabu vichache haina vitabu vya deuterokanoni alivitoa nani kama sio Martin Luther!!?

Naomba kujua
 
Back
Top Bottom