Huna haja ya kuogopa....Vitabuvya Apocripha vipo vingi sana,,,,,Hata kule kwenye Agano la Kale vipo kibao...Ila havina maana yoyote kwa maisha ya Mkristo zaidi ya kujaa uzushi na ushabiki...
Kumbe unajua unalolifanya mkuu,Apocryphal books vipo vingi,sana katika agano la kale(Old Testament), na vingi vimeongezeka mara tu baada ya uasi wa Wayahudi dhidi ya dola la Kiyunani(Greece empire) 331 BK - 168 BK,Kipindi hiki ndipo vitabu vingi vya kiharakati (Jews activist books)viliandikwa na lengo likiwa kueneza propaganda na kuwatia moyo(Unit), wayahudi kupambana na utawala wa Kiyunani,vingi vimeandikiwa Palestina na Misri hasa mji wa Alexandria (uliopata jina kutokana na jina la mtalawa wa kigriki,Alexander The Greet(333 BK -),miongon wa vitabu ni Maongezeko ya kitabu cha Ester(Ester's Additional chapters) na Daniel (BELI NA JOKA),TOBITHI,HEKIMA YA SOLOMON, WAMAKABAYO KITABU CHA KWANZA NA CHA PILI,NA HEKIMA YA SILA,vitabu hivi havihusishwi kama maandiko matakatifu kwa sababu zifuatazo;
1:Ni vitabu vinavyohamasisha watu mambo ya kisiasa si ya Kidini(Political reformations writings)Mfano,Vitabu vya makabayo
2:Hayina mapatano vitabu vingine vya Kiteolojia kama Taurat na Zaburi(Zab'ur),na Manabii(Nab-eem)(Non correspondent doctrines)Mfano,Beli na joka
3:Havina uhalisia(Fictitious writings),Mfano Tobithi,sura ya ini la samaki kutibu majini.
4;Kutopatana/kutolingana kwa matukio na vipindi vya kihistoria(Chronicles inaccuracy),
5:Ubinafsi wa uhusika,kuelezea matendo mema tu ya muhusika(Individuality) ambaye ni mwandish mwenyew
6:Kutojulikana kwa waandishi
7:Kuingiza mambo ya tamaduni na uganga (Witchcraft norms & traditions)yasiyopatana na neno la Mungu.
8:Muda wa uandishi,Biblia imeandikwa katika mpangilio unaofuatana(Chronological order), kati ya matukio na muda,Theologically Kitabu cha Mwisho kabisa kilichovuviw ni Malaki(Malach) cheny sura(chapters) 4 kinachonekana kimeandikwa 445 BC,na kutoka hapo kikatoa ahad ya kuja KRISTO NA AGANO JIPYA,rejea Malak 4:4-6.Baada ya hapo Mung akakoma kunena had alipotuma malaika kwa Zacharia na Maryamu,hivyo katika kipindi hiki cha ukimya(NON PROPHETIC TIME)ndipo vilipo ibuka hivyo vingine kama nilivyotangulia eleza.
NB,NITAKUW TAYAR KUJIBU PIA KUHUSIANA NA VITABU VINGINE VYA INJIL MFANO INJIL YA THOMAS NA BARNABAS.
Natanguliza shukrani, be blessed as you will find this comment useful!!.
Dukeson!!.