Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kanisa katoliki kipindi icho kanisa likiwa moja tu
inaonekana hujui hata Biblia. Kitabu cha Enoch kinahusianaje na Ukatoliki? Nyakati zinazozungmziwa ni za kipindi cha agano la kale na Wayahudi ndio waliopewa kuwa custodian wa Maandiko na hakukuwa na kanisa lolote muda huo.

Hicho kitabu hakikuwahi kuwa sehemu ya maandiko na kama ambavyo Safari ya Bulicheka hakijawahi kuwa sehemu ya Katiba ya Tanzania... Nukta!
 
Halafu kuna kitu nmeanza kuamini kwa kiasi chake kuwa...
watu weupe ni outcome ya hao wanefili/malaika waovu + wanadamu.

ndio maana watu weupe wengi wana akili za ziada za kuvumbua mambo kadha wa kadha...

pia ukiolewa ukazaa na mtu mweupe lazima mtoto awe anafanana na mtu mweupe.
mfano ; watu wa mabara ya Asia,Europe Amerca...

ndio maana ikitokea umechanganya mabwana ukichanganya na mimba ikawa ya mtu kutoka hayo mabara atazaliwa mtoto mweupe..
Asilimia 90% ya watu wanaozaa na white people watoto hufanania white people 100%.

Nafikiri ni kutokana na Damu yao kuwa na nguvu fulani ya ziada ndani ya Chimbuko lao.
 
inaonekana hujui hata Biblia. Kitabu cha Enoch kinahusianaje na Ukatoliki? Nyakati zinazozungmziwa ni za kipindi cha agano la kale na Wayahudi ndio waliopewa kuwa custodian wa Maandiko na hakukuwa na kanisa lolote muda huo.

Hicho kitabu hakikuwahi kuwa sehemu ya maandiko na kama ambavyo Safari ya Bulicheka hakijawahi kuwa sehemu ya Katiba ya Tanzania... Nukta!
Vipi una Idea yoyote na Apocripha books....both New Testament and Old...?
 
Mkuu kama ndivyo ulivyoelewa hivi, basi hukukielewa kitabu cha Enoch! Na pengine ni kwa sababu ya lugha!
Enoch alipozaliwa alikuwa ni mtu mwenye muonekano wa tofauti manaa hata ngozi yake ilikuwa inang'aa sana.
Sasa wakati wa enzi hizo, wana wa Mungu (malaika) waliwatamani wanawake wa kibinadamu. Moja wa malaika wao kiongozi alikuwa anaitwa Azazel na wakashuka wakawachumbia wana wa binadamu, wakaingia kwao wakazaa watoto. Hao watoto walikuwa wanaitwa Wanefil.
Hao kina Azazel wakawafundisha wana wa binadamu juu ya mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na kujipamba, kujipodoa na hata kutengeneza vioo vya kujiangalia. Walifanya machukizo mengi sana mbele za Mungu.
Basi hao wanefil wana wa hawa malaika walikuwa ni madubwana na walikuwa wamekuwa mzigo mkubwa mbele za jamii maaana walikula vyakula vyote vikaisha, wanyama, ng'ombe n.k.
Basi binadamu wakamlilia Mungu juu ya hao wanefil maana walikuwa wameilemea nchi.
Sasa kwa matokeo hayo Mungu akaagiza kuwa kina Azazel na malika wengine wafungwe kwenye gereza huko kuzimu mpaka siku za mwisho, pia akawatupa hao wanefil huko kuzimu ndio wakawa majini au pepo wabaya unaowasikia sasa hivi.
Enoch ndiye aliyeitwa na Mungu mpaka mbinguni na wakati anaelekea huko mbinguni kuongea na Mungu nadhani alikuwa amefika kwenye mbingu ya tatu ndipo alipokutana na kina Azazel wakawa wanamsihi awaombee msahmaha kwa Mungu kutokana na matendo yao ili waachiliwe...
Basi kufika huko mbinguni, Enoch alipanda mpaka mbingu ya saba kuongea na Mungu juu ya mambo mbali mbali na ndipo Mungu akampa Enoch kazi ya kwenda kuwahukumu hao malaika wakosefu kina Azazel...
Kwa hiyo sio kweli kuwa Wanefil ndio walikuja kuwa watu weusi... Bali ndio walikuja kuwa majini!
Na hao wanefil ni madubwana makubwa kweli kweli. Yani Mnefil mmoja wanaigina kina Le Mutuz Watano hivi!
Le Mutuz uyu uyu ambae shati lake linafunika PASSO
 
<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo....... jack the giant haina tofauti na puss in boots
na wala hakufa alipaa na mdada mmoja[/QUOTE]
Inaitwa Frankenstein
 
Vitabu vilivyopo ktk biblia vinatosha kabisa kukupeleka mbinguni maana vitakuongoza kumjua Mungu isipokuwa vichache vilivyoongezwa ktk biblia na kanisa Rc vitabu kama vile baruku, yoshua bin sira, tobithi n.k maana havina uhai ndani yake
 
Vipi una Idea yoyote na Apocripha books....both New Testament and Old...?
Yeah, sijajua exactly uko interested kwenye eneo gani, lakini kuna vitabu kati yake ni Historia nzuri sana na vinarekodi facts (mf. 1 Makabayo) na vingine fiksi nyingi kama Infancy Gospel of Thomas.

Lakini vina kitu kimoja vinafanana. Vyote sio sehemu ya Biblia (the Canon) ndio maana vina majina kama Apocrypha na wengine huita deutero-canonical books.

Nitapenda kufafanua hasa angle unayoitaka maana mada yenyewe ni pana sana!
 
Biblia mnayotumia katika dhehebu lako lina hicho kitabu?

Kama hakipo mnatumia Biblia gani na je imani yenu imekamilika kama mnatumia biblia isiyokamilika ?

Mwisho wa siku dini ya Kweli ni kuwajali wajane, Yatima ma Wagonjwa....
Endelea kuhangaika na wasaka sadaka.
 
Hivyo vitabu vyote, pamojana Biblia yenyewe, vina historia kidogo na hadithi nyingi, kwa hiyo usivichukulie seriously mpaka ufanye uchunguzi wa kina.
 
Wapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Acha uongo wewe. Yaani Enock na hao akina Luka na Matayo alitangulia nani? Yaani usimuamini Enock ukamuamini Luka ambaye kimsingi habari za Yesu kasimuliwa tu.
 
Salam

Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester

Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.

Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.

Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?

Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Sababu kuu ni kwanba wayahudi hawakua wakikitumia kama sehemu ya vitabu vyao vitakatifu.

So judeachristian wakaona tabu kukiunganisha katika bibilia.wakakiweka kama kitabu kilichofichwa apokrifa yaani hidden ama kanuni ya pili.
Hata hivyo kinAheshimika lakini hakitumiki kwa mafundisho.
 
Vitabu vilivyopo ktk biblia vinatosha kabisa kukupeleka mbinguni maana vitakuongoza kumjua Mungu isipokuwa vichache vilivyoongezwa ktk biblia na kanisa Rc vitabu kama vile baruku, yoshua bin sira, tobithi n.k maana havina uhai ndani yake
Kwatarifa yako Martin Luther ndiye aliyepunguza vitabu 7 vya Agano la kale......Upo dunia gani wewe...Au wewe ni Msabato nini....?
 
Dini yenu kawazuia nani kukirudisha? Na nani kakuradhimisha kusoma vitabu walivyochagua wakatoliki, mbona wenzako waliona hata hivyo navyo bado vingi wakanyofoa vingine 7 na hujawasikia wenzio wa ujerumani wanaotaka kutengeneza compendium ya biblia yenye vitabu 6 tu???
Asante
Mwambie kipo kwenye Google,
Akakakichukue atumie kanisani kwake wala haja katazwa.

Ni unafiki tu huo, ni sawa na wenzetu flani wanasema kuna kitabu cha Injiri ya Barnaba ndo cha kweli, lakini cha ajabu hawakitumii wao wenyewe.
 
Kuna hivi hapa vingne navyo vimeondololewa kwenye biblia.

-1 Esdras
-2 Esdras
-Tobit
-Judith
-The rest of Esther
-The wisdom of solmon
-Ecclesiasticus
-Baruch with the epistle Jeremiah
-The song of the 3 Holy children
-The history of Susan
-Bel and the Dragon
-The prayer for manesses
-1 Maccabees
-2 Maccabees

Ila dah hiki kitabu cha The wisdom of solmon kwa kweli kina confuse aisee
 
Back
Top Bottom