Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Lakini ukisoma kitabu cha Mwanzo iko wazi sababu ya Mungu kuleta ghalika ilikuwa kuondoa nephilians yaani wale waliozaliwa kutokana na wana wa Mungu kuwatamani wana wa binadamu.

Mungu akaleta gharika ili kufutilia mbali kizazi cha Mungu kwa binadamu. Halafu pia watu weupe duniani sio wazungu tu.
 
Sio JACK THE GIANT kweli
siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo.

Jack the giant haina tofauti na puss in boots
 
Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....

Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....

Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...

Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....

Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....

Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....

Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....

Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?

Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?

Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....

Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?

Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....

Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
 
Inaitwa "War craft"
sidhani kama ni iyo,

Hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo.......
 
tatizo la watu wengi ni mareligious na sio spritual so kuna vitu hawataweza kuvijua maishani ! kuna biblia 6000 huku duniani .achana na hii moja ya mzungu aliyoiframe kwa manufaa yake hapa africa
Mkuu miss neno lako ntalifanyia kazi kiutafiti
 
Kwa hiyo unataka kusema Mungu hakudhamiria kuumba wanadamu weupe?!

Maarifa yakiongezeka sana yanakuwa UPUMBAV.U..!
 
Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....

Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....

Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...

Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....

Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....

Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....

Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....

Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?

Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?

Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....

Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?

Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....

Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
Kiukweli mkuu nakuamini sana kwenye mambo haya. Kama hutojali Mwaga data zote hapa au uandae makala yake mkuu

Mond*
 
Jack giant slayer[emoji23]
[quote uid=383510 name="ganja gal" post=21963463]Sio JACK THE GIANT kweli[/QUOTE]

<br />siyo iyo hayo majamaa yanafungiwa gerezani chini ardhini mwishoni jamaa anashuka kwenda kupigana nao yeye na malaika ili kuwatokomeza wasirudi duniani maana wataangamiza dunia katika hayo mapigano malaika karibia wote waliuawa akabaki mkubwa wa malaika alichokifanya ni kuangusha majengo yote ya iyo jela wakafa wote humohumo.

Jack the giant haina tofauti na puss in boots
 
Kuna bonge la kitabu lilitolewa pia lilikuwa linaitwa gospel of Thomas!....... Nafikiri hiki ndo kilikuwa kitabu bora kabisa katika bibilia!.....Sisi wanadamu hasa wa dini ya kikatoliki ni wabaya sana![emoji22]
Dini yenu kawazuia nani kukirudisha? Na nani kakuradhimisha kusoma vitabu walivyochagua wakatoliki, mbona wenzako waliona hata hivyo navyo bado vingi wakanyofoa vingine 7 na hujawasikia wenzio wa ujerumani wanaotaka kutengeneza compendium ya biblia yenye vitabu 6 tu???
 
Kiukweli mkuu nakuamini sana kwenye mambo haya..
Kama hutojali Mwaga data zote hapa au uandae makala yake mkuu

Mond*
Mkuu,ndiyo maana nasema kwamba kuna mambo ukisema yana madhara.Sizungumzii madhara ya kimwili lakini kwa watu ambao wanakuwa wanakutazama kwa namna fulani hivi wataanza kuhisi labda una matatizo....

Taratibu tutakuwa tunaelezana tu.Siku moja mwaka 2011 nilimueleza bro wangu mmoja kuhusu uwepo wa mambo yanayofichwa na yanayofanywa na aina fulani ya watu wasiofahamika na wengi.Bro wangu huyu aliniangalia kisha akatikisa kichwa kuonesha amenisikia,lakini sikujua kuwa alikuwa ameanza kuhisi nina shida kichwani hadi alipokuja kupata ushahidi wa niliyomwambia halafu akaja kuniambia ukweli wa namna alivyoniona.....

Tangu siku hiyo nimekuwa makini sana kusema sema mambo hovyo maana unaweza kujikuta unaharibu mahusiano yako na watu bila sababu ya msingi maana mtu ataanza kuhisi labda unavuta bangi au una shida fulani za kufanana na hizo na akaanza kukukwepa.....

Ninakuwa mpole na taratibu tutakuwa tunaambizana yale yalayotustahili mkuu....
 
Mkuu,ndiyo maana nasema kwamba kuna mambo ukisema yana madhara.Sizungumzii madhara ya kimwili lakini kwa watu ambao wanakuwa wanakutazama kwa namna fulani hivi wataanza kuhisi labda una matatizo....

Taratibu tutakuwa tunaelezana tu.Siku moja mwaka 2011 nilimueleza bro wangu mmoja kuhusu uwepo wa mambo yanayofichwa na yanayofanywa na aina fulani ya watu wasiofahamika na wengi.Bro wangu huyu aliniangalia kisha akatikisa kichwa kuonesha amenisikia,lakini sikujua kuwa alikuwa ameanza kuhisi nina shida kichwani hadi alipokuja kupata ushahidi wa niliyomwambia halafu akaja kuniambia ukweli wa namna alivyoniona.....

Tangu siku hiyo nimekuwa makini sana kusema sema mambo hovyo maana unaweza kujikuta unaharibu mahusiano yako na watu bila sababu ya msingi maana mtu ataanza kuhisi labda unavuta bangi au una shida fulani za kufanana na hizo na akaanza kukukwepa.....

Ninakuwa mpole na taratibu tutakuwa tunaambizana yale yalayotustahili mkuu....
Mkuu wengine tunataman kujifunZa hayo but hatujui tunaanzaje..
Dondosha nondo kamanda.
 
Back
Top Bottom