Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii lugha haijawahi muacha mtu salama.in dab voiceKiswahili plz nielewe vzr( [emoji23] )
Hasa Biblia za kikatoriki ndo zinavitabu ambavyo vimetolewa na madhehebu mengine.biblia zipo nyingi sana mkuu mi ya kwangu inacho!
Duu hizi Avatar kumbe zina hati miliki? Nilikuwa sijajua hilo....Sasa Denzel akiingia humu utamuambiaje?ndo nini sasa?
hukuona avatar ingine zaidi ya hii?
Hapana wakatoriki hawanyofoi vitabu ila wapentecoste chini ya martin Luther ndo walianza kunyofoa baadhi ya vitabu kwenye bible.Kanisa la katoliki ndo vinara wa kung'ofoa vitabu kwenye bibilia,nawalaani katika jina la muumba wa mbingu na nchi![emoji22]
Duu hizi Avatar kumbe zina hati miliki? Nilikuwa sijajua hilo....Sasa Denzel akiingia humu utamuambiaje?
Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Sawa ila mimi sioni ni tatizo kwa sababu huwa naangalia jina japo ni rahisi kwa mtu kumtambua mtu kwa avatar.ssio hatimiliki
wengi mno wanatumia picha za Denzel humu hujaniona nikisema chochote
hata wewe wapo wengi wanaotumia za Bob..but mtu kutumia the same single avatar
huoni analeta mix up?
Haya mambo ni makubwa kumbe... Ndiyo maana huwa naquestion sana masuala ya diniMojawapo ya verse kutoka kwenye kitabu cha gospel of Thomas ni hii hapa mkuu:
1. And he said, "Whoever discovers the interpretation of these sayings will not taste death."
2. Jesus said, "Those who seek should not stop seeking until they find. When they find, they will be disturbed. When they are disturbed, they will marvel, and will reign over all. [And after they have reigned they will rest.]"
Mshike elimu usimwache aendezake aku maanisha logarithm tyu hadi hizi mamboYetu niyale ambayo ametufunulia ambayo hatujafunuliwa sio yetu wala tusihamgaike nayo maana hakuna awezae kuongeza limo cha urefu ulio nao. WEWE MKUBALI YESU KUWA MWOKOZI WA MAISHA YAKO TU.
Duuujhh Hatari sana
Alijua ukikosa elimu utadanganywa mnoYetu niyale ambayo ametufunulia ambayo hatujafunuliwa sio yetu wala tusihamgaike nayo maana hakuna awezae kuongeza limo cha urefu ulio nao. WEWE MKUBALI YESU KUWA MWOKOZI WA MAISHA YAKO TU.
Nabadiri mkuu aina shaka niliweka kwa mapenzi yangu sio kuleta confusionssio hatimiliki
wengi mno wanatumia picha za Denzel humu hujaniona nikisema chochote
hata wewe wapo wengi wanaotumia za Bob..but mtu kutumia the same single avatar
huoni analeta mix up?