princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Inaitwa Clash of the titans[/QUOTE]aiseeee umenikosha wew kumbe tupo pamoja sana[emoji2] [emoji2]
Wacha kuongopa hutambui hata elimu ya dini ati malika walizaa na wanadamu dah wewe unaakili kweli!?
2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.
Hapana Clash of the titans ina zungumzia miungu ya kigiriki nahisi ,mambo ya zeus,poseidon perscus andromeda medusa...Inaitwa Clash of the titans
Nahtaj injili ya barnabaUko sawa kabisa brother, kitabu kinachoonyesha habari za uganga na majini hakifai kusomwa na mkristo . Jina la Yesu tosha, .
Laana ni batili wakatoliki wanavitabu vingi kuliko walokole biblia ya wakatoliki inavitabu 73 na walokole ni 66 utakuwa umepata jibu mabingwa wakuchakacha ni nani?Kanisa la katoliki ndo vinara wa kung'ofoa vitabu kwenye bibilia,nawalaani katika jina la muumba wa mbingu na nchi![emoji22]
Acha uongo kuna waothodox & cobtiki haya nimakanisa ya mda mrefu sawa tu na katolikiKanisa katoliki kipindi icho kanisa likiwa moja tu
Kuna mtu Alishawahi kuniambia, Coptic ni Orthodox ya mashariki ya kati na Orthodox ni kanisa Katoliki la mashariki, yakatengana kiutawala tu baadae kidogo.Acha uongo kuna waothodox & cobtiki haya nimakanisa ya mda mrefu sawa tu na katoliki
Sent using Jamii Forums mobile app
baby wangu kumbe unamjua Mungu eeh ngoja nitafute kitabu cha tomaso halafu kitakuwa cha kweli maana huyu tomaso alikuwa mwanafunzi wa yesu so ina maana aliyoandika ni ya kweli maana aliyaona unlike kina mathayo .luka marko wale walisimuliwa tu
gospel ya yohanaKwa nini umeacha kumtaja Yohana? Aliyo ya andika Yohana yana tofauti na ulowataja?
Na washawasha!
haijulikani nani alikiandika mkuu .ila injili inasemekana iliandikwa na jamaa mmoja alieitwa sijui marko ambae alisimuliwa na rafiki yake ambae alikuwa rafiki wa rafiki wa mwanafunzi wa yesuKwa nini umeacha kumtaja Yohana? Aliyo ya andika Yohana yana tofauti na ulowataja?
Na washawasha!
gospel ya yohana
haijulikani nani alikiandika mkuu .ila injili inasemekana iliandikwa na jamaa mmoja alieitwa sijui marko ambae alisimuliwa na rafiki yake ambae alikuwa rafiki wa rafiki wa mwanafunzi wa yesu
Kwani neno BIBLIA linamaana gani Mkuu?Kwasababu ni kitabu cha Enoch na si biblia
KANISA LA KRISTO
Hapana Orthodox ni dini ya mda mrefu sana hata kwenye mtakuso wa kwanza mtaguso mwaka 325 walikuwepo na Coptic, pia walikuwe pamoja na madhehe ya mwanzo unaweza Google ila Orthodox haimtambui papa kama kiongozi wao na walikuwa hawana uhusiano mzuri na katoliki hadi mwaka jana papa alipomtembelea kiongozi mkuu wa OrthodoxKuna mtu Alishawahi kuniambia, Coptic ni Orthodox ya mashariki ya kati na Orthodox ni kanisa Katoliki la mashariki, yakatengana kiutawala tu baadae kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba hapo awali wote walimtii Papa wa Roma hawa?Hapana Orthodox ni dini ya mda mrefu sana hata kwenye mtakuso wa kwanza mtaguso mwaka 325 walikuwepo na Coptic, pia walikuwe pamoja na madhehe ya mwanzo unaweza Google ila Orthodox haimtambui papa kama kiongozi wao na walikuwa hawana uhusiano mzuri na katoliki hadi mwaka jana papa alipomtembelea kiongozi mkuu wa Orthodox
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanks. Je vous souhaite la même chose
Hii ni kweli kbstatizo la watu wengi ni mareligious na sio spritual so kuna vitu hawataweza kuvijua maishani ! kuna biblia 6000 huku duniani .achana na hii moja ya mzungu aliyoiframe kwa manufaa yake hapa africa
Duuh asante ndio vitu kama hiviNi hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Enoki aliishi kabla ya gharika, uyo Yesu alikuja miaka mingi baada ya gharika huoni Kama ulichokiandika hakina ukweliWapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Hili la kusema Mungu Ana Wana mm sitoliamini kamweLakini ukisoma kitabu cha Mwanzo iko wazi sababu ya Mungu kuleta ghalika ilikuwa kuondoa nephilians yaani wale waliozaliwa kutokana na wana wa Mungu kuwatamani wana wa binadamu. Mungu akaleta gharika ili kufutilia mbali kizazi cha Mungu kwa binadamu. Halafu pia watu weupe duniani sio wazungu tu.