Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Wacha kuongopa hutambui hata elimu ya dini ati malika walizaa na wanadamu dah wewe unaakili kweli!?

2 Timotheo:4.2
lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.

Inaonekana issue zilizo kitabu cha mwanzo ni way above your understanding. Soma Mwanzo 6. Japo nayo hautaielewa. Kamwulize mchungaji wako japo naye anaweza akawa na uelewa mdogo kama wewe.

Weka jazba kando katika kuelewa maandiko na historia.

Kamwulize mchungaji wako kuhusu Kitabu cha Yashari....Joshua 10:13: 2 Samwel 1:18 na kwa nini Katika Waraka wa Yuda, Henoko anatajwa....in Short Yuda amenukuu sura ya 15 ya kitabu cha Henoko....

Nimesema ukamwulize mchungaji wako kwa sababu wewe ni wazi ni mvivu wa kufikiri.

Umwombe akuwekee mikono akuombee usije ukachanganyikiwa utakapojulishwa vitu usivyovijua.
 
Inaitwa Clash of the titans
Hapana Clash of the titans ina zungumzia miungu ya kigiriki nahisi ,mambo ya zeus,poseidon perscus andromeda medusa...
kuna ingine inaitwa Wrath of the titans ina majitu makubwaa

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE]
Yeah. Inaitwa immotaral ndo inazungumzua fallen Anjel. Na kuna series tv moja inaitwa Dominion
 
Natamani maandiko yake yangekuwepo ingekuwa inatoa mwanga kwa kila msomaji kuvisoma na kutafakari kisha kuja na maoni kuwa ni kwa nini hicho kitabu au hivyo vitabu vimetolewa.

Kuna wengi ambao hata hawavijui hivi vitabu.
 
Kanisa la katoliki ndo vinara wa kung'ofoa vitabu kwenye bibilia,nawalaani katika jina la muumba wa mbingu na nchi![emoji22]
Laana ni batili wakatoliki wanavitabu vingi kuliko walokole biblia ya wakatoliki inavitabu 73 na walokole ni 66 utakuwa umepata jibu mabingwa wakuchakacha ni nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini umeacha kumtaja Yohana? Aliyo ya andika Yohana yana tofauti na ulowataja?


Na washawasha!



baby wangu kumbe unamjua Mungu eeh ngoja nitafute kitabu cha tomaso halafu kitakuwa cha kweli maana huyu tomaso alikuwa mwanafunzi wa yesu so ina maana aliyoandika ni ya kweli maana aliyaona unlike kina mathayo .luka marko wale walisimuliwa tu
 
Kwa nini umeacha kumtaja Yohana? Aliyo ya andika Yohana yana tofauti na ulowataja?


Na washawasha!
gospel ya yohana
Kwa nini umeacha kumtaja Yohana? Aliyo ya andika Yohana yana tofauti na ulowataja?


Na washawasha!
haijulikani nani alikiandika mkuu .ila injili inasemekana iliandikwa na jamaa mmoja alieitwa sijui marko ambae alisimuliwa na rafiki yake ambae alikuwa rafiki wa rafiki wa mwanafunzi wa yesu
 
Yesu akiwa hapa duniani katika mafundisho yake akinukuu maneno yaliyo tamkwa na manabii huko mwanzo kabla ya yeye kuja ulimwenguni. Sasa nioonesheni wapi ambako Yesu alinukuu maneno yaliyo katika kitabu cha Henoko?


Na washawasha!
 
gospel ya yohana

haijulikani nani alikiandika mkuu .ila injili inasemekana iliandikwa na jamaa mmoja alieitwa sijui marko ambae alisimuliwa na rafiki yake ambae alikuwa rafiki wa rafiki wa mwanafunzi wa yesu

Je unajua yule mwanafunzi wa Yesu aliye mpenda sana? Na akasema ataishi milele na wanzake wakajafikri kuwa Bwana Yesu amesema hatakufa kwa maana ya kufa kimwili? Je Yohana haishi milele katika maandiko yake?


Na washawasha!
 
Kuna mtu Alishawahi kuniambia, Coptic ni Orthodox ya mashariki ya kati na Orthodox ni kanisa Katoliki la mashariki, yakatengana kiutawala tu baadae kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana Orthodox ni dini ya mda mrefu sana hata kwenye mtakuso wa kwanza mtaguso mwaka 325 walikuwepo na Coptic, pia walikuwe pamoja na madhehe ya mwanzo unaweza Google ila Orthodox haimtambui papa kama kiongozi wao na walikuwa hawana uhusiano mzuri na katoliki hadi mwaka jana papa alipomtembelea kiongozi mkuu wa Orthodox

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana Orthodox ni dini ya mda mrefu sana hata kwenye mtakuso wa kwanza mtaguso mwaka 325 walikuwepo na Coptic, pia walikuwe pamoja na madhehe ya mwanzo unaweza Google ila Orthodox haimtambui papa kama kiongozi wao na walikuwa hawana uhusiano mzuri na katoliki hadi mwaka jana papa alipomtembelea kiongozi mkuu wa Orthodox

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kwamba hapo awali wote walimtii Papa wa Roma hawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hv kwa kifupi tu huko nyuma kuna tukio kubwa sana lilitokea na hadi leo athari zake zinatawala maisha yetu.tukio hilo ni interaction kati ya binadamu na viumbe fulani wengine wa Mwenyezi Mungu(huwa tunawaita tu malaika hii inatupa upofu sana)walikuwa 200 wakiongozwa na mkuu wao Azazel waliposhuka ktk kilele cha mlima Hermon na kuigiza maumbile ya kibinadamu.kilichowaleta ni kutamani binadamu.walitaka kukaa nao,wawatawale,wazae nao,waanzishe empire yao tofauti na utaratibu waliopangiwa na Mungu.wakafanya hivyo.ikazaliwa offspring ya ajabu,majitu makubwa yenye nguvu za kutisha na akili za ajabu na roho za ajabu maana nusu binadamu nusu malaika.waliitwa nephilims,leo tunawaita titans(usifikiri hadithi ya kigiriki hii)!kutokana na hiyo offspring kuwa imbalance,ilileta vurugu kubwa duniani,na kama Mungu asingeingilia kati mbegu ya binadamu pure ingetoweka.hao malaika pamoja na hayo matoto yao ndio walifundisha binadamu mambo meengi ambayo leo yana sehemu kubwa ktk sayansi,elimu na tamaduni zetu hasa mashariki ya mbali,India na america.base yao kuu ilikuwa bara la Atlantis lililokuwepo katikati ya america na ulaya.kitendo hiki kilimchukiza Mungu mno akaamua kutuma gharika ya maji na kuteketeza dunia nzima pamoja na bara la Atlantis isipokuwa binadamu mmoja anaitwa Nuhu na watoto wake na baadhi ya wanyama ambao hawakuchafuliwa(nephilims walizaana hata na mijusi,kilichotoka hapo ni balaa).LAKINI kuna laana alitamka Mungu,kwamba roho za viumbe hao hataziangamiza,ataziacha na zitakuwa chanzo cha kila uovu duniani kwa umri wote wa dunia hadi mwisho ili viumbe wake wote wapate darasa how serious was this mistake!roho hizo ndizo zilimuongoza Nimrod kuijenga Babylon na kuanzisha idol worshiping na tamaduni za Atlantis zikaanza kurudi taratibu huku spidi yake ikivurugwa na elimu ya dini ya mitume na manabii wa Mungu.ilibidi utaratibu wa kuinteract na binadamu ili kutimiza lengo lao waufanye kwa siri,taratibu,miaka na miaka,wakiibadili dunia taratibu hadi mazingira yakiruhusu,roho hizi zikiwa ndani ya miili ya kibinadamu,zitaigeuza dunia nzima kuwa kama Atlantis!ndipo hapa vyama vya siri na dini zisizoeleweka vinaposhamiri underground.
Duuh asante ndio vitu kama hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Enoki aliishi kabla ya gharika, uyo Yesu alikuja miaka mingi baada ya gharika huoni Kama ulichokiandika hakina ukweli
 
Lakini ukisoma kitabu cha Mwanzo iko wazi sababu ya Mungu kuleta ghalika ilikuwa kuondoa nephilians yaani wale waliozaliwa kutokana na wana wa Mungu kuwatamani wana wa binadamu. Mungu akaleta gharika ili kufutilia mbali kizazi cha Mungu kwa binadamu. Halafu pia watu weupe duniani sio wazungu tu.
Hili la kusema Mungu Ana Wana mm sitoliamini kamwe
 
Back
Top Bottom