Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Mimi binafsi... Biblia yangu ina vitabu vya deuterokanoni 7.... Tobiti, ester, wamakabayo, judith, Joshua bin sira, baruk.... Ni biblia ya muunganiko wa makanisa ya kiprotenstant na wakatoliki... Nkifika home ntaipiga picha kwa ushahidi zaidi
 
kama wanefili ndo walikuja kua mapepo na majini vipi wale malaika walioasi pamoja na shetani je wao ni kina nani mkuu.?
 
kama wanefili ndo walikuja kua mapepo na majini vipi wale malaika walioasi pamoja na shetani je wao ni kina nani mkuu.?
Sina elimu ya kutosha juu ya pepo wachafu na majini. Ila kwenye biblia imesema hawa Wanefil walikuwa evil spirits... Sasa sijajua tofauti kati ya evil sprits, demon etc ni nini? Ila wote ni kabila moja tu mkuu...
 
Source mkuu
 
Acha uongo wewe. Yaani Enock na hao akina Luka na Matayo alitangulia nani? Yaani usimuamini Enock ukamuamini Luka ambaye kimsingi habari za Yesu kasimuliwa tu.
Kwanza sikubaliani na stori za huyo uliyemnukuu. Ila unaongea kana kwamba kitabu hicho aliandika Enoch mwenyewe. Uhakika huo unautoa wapi?
 
Kwatarifa yako Martin Luther ndiye aliyepunguza vitabu 7 vya Agano la kale......Upo dunia gani wewe...Au wewe ni Msabato nini....?
Mh..! Niko interested kujua hivyo vitabu alivyopunguza, alipunguza lini na reference za hicho unachokisema. Nijuavyo mimi, wakati wa Luther tayari Biblia ilikuwa imeshakamilika kama kitabu!
 
Kuna hivi hapa vingne navyo vimeondololewa kwenye biblia....
Huwa nashangaa watu wakikuta vitabu havipo katika Biblia hukimbilia kusema viliachwa/viliondolewa. Ni namna ya ajabu kabisa ya kuwaza. Ila cha ajabu zaidi hawasemi nani aliviondoa, lini na hivyo vilivyopo ni nani aliviweka na ni lini.

Tuna vitabu vingi vya Mwalimu Nyerere, et al lakini hatusemi vilinyofolewa toka katika Katiba ya JMT. Tuna maswali mengi mazuri na hatusemi yamenyofolewa toka katika mitihani ya taifa. Ila ikija kwenye Biblia.... dah!
 
Kwa kuangalia tu mtu mweupe akili zake na za mtu mweusi, nani hapo ni uzao uliochafuliwa na hao aliens,
mkuu unatoka kwenye mstari.. hakuna aliens kwenye kitabu cha enoch na biblia kijumla
fallen angels sio aliens.. ni angels walileta tamaa zao za ngono kwa binadamu na mambo mengine yakaendele
 
Duuuuuh...... Luther katoa vitabu mkuu.... Nafikiri ndio mtu wa mwisho kupunguza vitabu kwenye biblia....
Si hata mimi naweza kusema mtu wa mwisho kupunguza vitabu ni wewe? Ushahidi uko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…