Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Utingo wewe unazungumzia kusoma historia au kusoma neno la Mungu kama somo la historia hii ya elimu dunia?

Kama unaisona Biblia kama neno la Mungu basi lazima ujue Mungu ndiye hilo Neno. Kitabu cha Mwanzo1 tunajifunza Mungu alivyo uumba ulimwengu na vyote viujazovyo kwa kutamka Neno tu. Kitabu cha Yohana 1 kinatueleza kuwa huyu Mungu ni neno.

Lakini lazima ujue kuwa Mungu ni Roho na anapaswa kuabudiwa katika roho na kweli. Sasa huwezi soma Maandiko matakatifu kwa macho na akili hizi za nyama/mwili ukayaelewa ngo!! na rudia tena hutayaelewa ng'o!!. Ili uyaelewe lazima kumuomba Mungu akujaze Roho wake, otherwise ni kutwangwa maji kwenye kinu. Ndiposa utaona wengine wanalaumu watu kuwa too religious, haliepuki hilo as long as unajadili yaliyo katika Biblia. Shetani na mawakala wake hawakubali hili litokea maana watu watakapo lijua Neno la Mungu kwa uongozi wa Roho Mtakarifu ndio watakuwa wameijua kweli na kweli itawaweka huru. Wakiwa huru shetani hanachake tena.



Na washawasha!


Inaonekana issue zilizo kitabu cha mwanzo ni way above your understanding. Soma Mwanzo 6. Japo nayo hautaielewa. Kamwulize mchungaji wako japo naye anaweza akawa na uelewa mdogo kama wewe.

Weka jazba kando katika kuelewa maandiko na historia.

Kamwulize mchungaji wako kuhusu Kitabu cha Yashari....Joshua 10:13: 2 Samwel 1:18 na kwa nini Katika Waraka wa Yuda, Henoko anatajwa....in Short Yuda amenukuu sura ya 15 ya kitabu cha Henoko....

Nimesema ukamwulize mchungaji wako kwa sababu wewe ni wazi ni mvivu wa kufikiri.

Umwombe akuwekee mikono akuombee usije ukachanganyikiwa utakapojulishwa vitu usivyovijua.
 
Watu wengi hawajui kuwa Mungu anao mpango wake Maalumu au mpango mkakati kumhusu mwanadamu ambaye katika viumbe vyote vilivyo umbwa na Mungu basi mwanadamu ndiye aliyependwa na kuheshimika sana na Mungu. Najua mawakala wa shetani watasema Mungu anakuwa je na upendeleo?

Katika huu mpango mkakati wa Mungu kwa mwanadamu ndio utakuta haya yanajitokeza.

Ismaili mtoto wa kwanza wa Ibrahim kwa kuzaa na kijakazi Hajiri lakini si wa kwanza kwa maana ya Mpango wa Mungu kwa mwanadamu. Ni wa kwanza kwa mpango wa Ibrahim na Mkewe Sarah. Mtoto wa kwanza kwa mpango wa Mungu, Ibrahim na Sarah mkewe akawa ni Isihaka aliye Mzaa Yakobo/Yakubu ambaye alitwa Israel hapo baadaye.

Taifa la Israel yaani uzao wa Yakobo ni taifa teule la Mungu katika mpango wake wa kufanya kazi ya ukuhani kwa wanadamu. Ndipo sasa hata kuhani mkuu Yesu Kristo akaja duniani kupitia taifa hili na kufanya kazi ya ukuhani ambayo ndio imeleta ukombozi kwa mwanadamu.


Na washawasha!
 
Watu weusi kabla ya kuja watu weupe hakukuwa na historia ya wanaume kuingiliana kinyume na maumbile. Hakukuwa na ndoa za jinsia moja. Haya mambo ya Sodoma hayakuwepo.

There is nothing new under the sun! Watu weusi inawezekana waliingiliana sana ila hatuku documents vitu vyetu whether ni vizuri au vibaya.
 
There is nothing new under the sun! Watu weusi inawezekana waliingiliana sana ila hatuku documents vitu vyetu whether ni vizuri au vibaya.
You could be right or wrong. Mkuu vitu vingi vilivyokuwepo kale tumerithishwa kwa mapokeo km kulima, tohara, ufugaji, tiba za jadi n.k. Lakini hili halijaachwa halionekani ktk jamii zetu hata chembe kwa mfumo wa mapokeo, wala hakuna hata alama za michoro mapangoni ktk jamii zote za waafrika weusi.

Nenda Amboni na kwingineko hakuna. Jambo lililowahi kuwepo lazima alama zingebaki. I stand to be corrected. Lakini kwa wale jamaa weupe ushahidi upo kwamba michezo hiyo wameirithi toka kwa mababu zao, sema hapo kati walikuwa wamejaribu kuacha/kupunguza ila sasa wanarudia kwa kasi.
 
Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....

Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....

Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...

Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....

Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....

Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....

Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....

Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?

Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?

Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....

Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?

Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....

Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
mkuu endelea unatuacha njia panda bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You could be right or wrong. Mkuu vitu vingi vilivyokuwepo kale tumerithishwa kwa mapokeo km kulima, tohara, ufugaji, tiba za jadi n.k. Lakini hili halijaachwa halionekani ktk jamii zetu hata chembe kwa mfumo wa mapokeo, wala hakuna hata alama za michoro mapangoni ktk jamii zote za waafrika weusi. Nenda Amboni na kwingineko hakuna. Jambo lililowahi kuwepo lazima alama zingebaki. I stand to be corrected.

Lakini kwa wale jamaa weupe ushahidi upo kwamba michezo hiyo wameirithi toka kwa mababu zao, sema hapo kati walikuwa wamejaribu kuacha/kupunguza ila sasa wanarudia kwa kasi.

Niliambiwa nitafute history za ma empire za Cameroon, Central Africa nadhani na Congo kuna machifu sijui wafalme walikuwa wanalala na wanaume wenzao ushahidi inawezekana upo sema tuko na siri sana since tulijua ni makosa.

Kuna jamii hata ziliua vilema na mapacha Leo hii tunasema hakuna vilema au mapacha kwa hizo jamii Fulani lakini si kweli kama kulikuwa hakuna kumbe tuliua vilema na mapacha. Sijatafuta kujua ukweli kuhusu hizo empire lakini naamini there is nothing new under the sun.
 
Niliambiwa nitafute history za ma empire za Cameroon, Central Africa nadhani na Congo kuna machifu sijui wafalme walikuwa wanalala na wanaume wenzao ushahidi inawezekana upo sema tuko na siri sana since tulijua ni makosa. Kuna jamii hata ziliua vilema na mapacha Leo hii tunasema hakuna vilema au mapacha kwa hizo jamii Fulani lakini si kweli kama kulikuwa hakuna kumbe tuliua vilema na mapacha. Sijatafuta kujua ukweli kuhusu hizo empire lakini naamini there is nothing new under the sun.
Nimekupata mkuu. Ukifanikiwa kupata ukweli wa hilo jambo nishirikishe mkuu, dunia ina mengi na kila siku ni ya kujifunza jambo usilolijua.
 
Kanisa la katoliki ndo vinara wa kung'ofoa vitabu kwenye bibilia,nawalaani katika jina la muumba wa mbingu na nchi![emoji22]
Utapata dhambi bure ndugu, jiulize kwanini madhehebu yaliyotofauti na wakatoliki wanaitwa waprotestanti, wana protest nini? Biblia zinaxotumiwa na wakatoliki ina vitabu 72 lakini vya waprotestanti ni 68 je nani kapunguza vitabu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
shukrani sana mtoa mada kweli kuna mambo yanaendelea huku duniani hata pakuanzia hatuoni. natoa pongezi kwa waanzilishi wa Jamii forum hakika si nyie mliwaza bali mungu aliwapeni wazo angalo baaadhi ya watu wake waelimike. muwe wavumilivu kwa yote.
 
mkuu Eiyer kwenye post yako [HASHTAG]#108[/HASHTAG] umeongea kwa uchungu sana kaka,ni jinsi gani unavyojali angalao kwa uchache wengi wetu tujue kile kinachoendele hapa duniani.lkn tumejaliwa kupuuza yale ya msingi, naomba nikupe moyo brodher wengi tunakuelewa sana.
 
Shukran sana mkuu kwa kunileta huku....

Mkuu,unajua kuna mambo hata huwezi kusema unajikuta unabaki nayo wewe mwenyewe tu huku ukijiuliza mambo mengi sana.Siyo kila kitu ni cha kusema kila mahali maana unaweza kujikuta watu wanaanza kukuchukulia wa ajabu sana na pengine wanaanza kuhisi labda una shida upstairs kumbe siyo.....

Niliwahi,na bado nina hisia hasi sana kuhusu watu weupe na chanzo au asili yao.Niliwahi kumuambia mtu mmoja tena ni memba wa hapa JF kwamba niliwahi kujiuliza sana kati ya mtu mweusi na mweupe ni nani aliyepungua,yaani ni yupi anaonekana ana "mapungufu"...

Nilipokuja kukumbana na ishu ya melanin hapo ndipo nikaanza kupata ka picha kadogo sana kwa mbaaali....

Mkuu,kuna mambo ya kutisha sana huko sirini na kuna makundi makubwa makubwa sana yanayoheshimika sana mbele za watu yamehusika na ufichaji huu wa kutisha sana wa mambo haya,good thing ni kwamba BWANA WA MABWANA alisema "hakuna kilicjho sirini ambacho hakitafichuliwa" na leo hapa tunajadili mambo ambayo kuna watu hata hawapiti kusoma maana wanaona ni upuuzi....

Niliwahi kusema na ninasema tena,ogopa sana mambo yanayoonwa ni ya kipuuzi kama haya maana yamebeba ukweli mwingi sana tena sana.....

Huwa tunaangalia movie kama movie tu lakini hawa "wajinga" huwa wanapitisha humo ujumbe wao wa kweli na yale wanayoyapanga.tatizo moja kubwa la ukweli ni kwamba uko mama moto,utauficha sana lakini moshi utakukereketa na utatoka tu,ukweli upo hivyo,utakusumbua sana lakini utausema hata kwa namna nyingine na wao wanasema sana kupitia movie.....

Hivi ni kwanini kwa mfano kwenye Movie ya Babylon A.D aliyocheza Vin Diesel amevaa t-shirt imeandikwa Afreeca mwanzoni tu inapoanza,tena ni nyeusi?

Ni kwanini jina la Movie linaonekana baana ya kuonekana "Statue of Liberty"? Unajua hiyo sanamu ni ya nani?

Mkuu,nataka nikupe ushauri ambao utakuja kushangaa sana na pengine utatoa machozi siku zijazo kama tutajaaliwa uzima,anza kuangalia movie kwa mtazamo mwingine kabisa na soma sana habari za "siri" utakuja kuniambia kitu.....

Ninaandika haya nikiwa na hzuni sana maana wengi wanadharau sana mambo haya lakini iko siku watalia na kusaga meno.Tunapenda sana kudharau yanayodharaulika,ni nani anaweza kufikiria kuwa kichaa huwa ni mpelezi wakati mwingine?

Mkuu,wewe na mimi tuna nafasi moja muhimu sana hapa duniani.Waangalie Wabantu wote duniani na uwaache kama walivyo,iko siku utaelewa ni kwanini.....

Nakuomba mkuu uwe mpole tu.....
Habari za Siri kama zipi Mkuu
 
mkuu Utingo kun kitu nimekinot kwenye coment yako kupitia mistar ulioitoa kumbe kuna pia kitabu cha yashari? sikuwahi kusoma wala kudhania hili, na hata nikiuliza kwa kiongozi wangu wa kiroho nadhani hatanipa jibu, unaweza kutupa mwanga kidogo mkuu?
 
Mojawapo ya verse kutoka kwenye kitabu cha gospel of Thomas ni hii hapa mkuu:

1. And he said, "Whoever discovers the interpretation of these sayings will not taste death."

2. Jesus said, "Those who seek should not stop seeking until they find. When they find, they will be disturbed. When they are disturbed, they will marvel, and will reign over all. [And after they have reigned they will rest.]"
Mkuu endelea kumwaga uelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom