Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Kwanini kitabu cha Enoch kinapingwa vikali na Wanathiolojia?

Dunia ina mengi sana hatuyajuu,ngoja nikisake kitabu cha bibi vanga niongeze maarifa
 
Jibu la swali namba 1: HAPANA SIYO YEYE.

Jibu la swali namba 2:

24 Yakobo akakaa peke yake; na mtu mmoja akashindana naye mweleka hata alfajiri.
Mwanzo 32:24

25 Naye alipoona ya kuwa hamshindi, alimgusa panapo uvungu wa paja lake; ukateguka uvungu wa paja la Yakobo alipokuwa akishindana naye.
Mwanzo 32:25

26 Akasema, Niache, niende, maana kunapambazuka. Akasema, Sikuachi, usiponibariki.
Mwanzo 32:26

27 Akamwuliza, Jina lako n'nani? Akasema, Yakobo.
Mwanzo 32:27

28 Akamwambia, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda.
Mwanzo 32:28

29 Yakobo akamwuliza, akasema, Niambie, tafadhali, jina lako? Akasema, Kwa nini waniuliza jina langu? Akambariki huko.
Mwanzo 32:29

HUYO ALIYEPIGANA MIELEKA NA YAKOBO NDIYE ALIYEMKABA MUHAMMAD.

Pia umesema malaika ni lazima asalimie!.Huyu aliyepigana mieleka na YAKOBO, HAKUSALIMIA PIA.


UNASEMAJE SASA?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeipenda hii. Mimi ni mkristu lakini nimeipenda Sana ulivyojibu KWA utulivu na ufasaha.
 
Wapendwa, msidanganyike. Enoki alikuwa na vitabu viwili. Cha kwanza, ni mile kilichohusika na majina ya malaika wote , ukiwa ni pomaja na wale majemadari 72 waliofukuzwa mbinguni. Kitabu hiki, ndicho kinachotumiwa na waganga, na hata wahubiri wa makanisa ya sasa katika kazi ya utoaji wa mapepo. Waganga Hawa, pia hutumia vitabu viwili vya mfalme sulemani alivyoviandika na kuvitumia katika mambo ya uuguzi. Kwa hivyo,kitabu cha Enock cha majina ya malaika, hakina faida yoyote kwa Mtu asiyekuwa na mambo ya uganga.wanaokitumia kitabu hiki, ni wale wanaotaka kutumia watu vipande, na kutibu kwa njia ya uganga. Sasa kama mkristo, unakatazwa kutafuta msaada kutoka kwa watu, viumbe vilivyoko mbinguni,(malaika), ya nini kuhangaika na kitabu chenye majina ya malaika?. Kitabu cha pili cha Enock ni kitabu kinachohabari zote za maisha na kazi aliyoifanya Bw. Yesu. Yaani vitabu vya Injili (Mathayo, Marko, Luka , na Yohana. Maelezo ni Yale yale , tofauti ni kuwa badala ya jina la Yesu imeandikwa "kiongozi wa watu".) Hivyo hakukuwa na sababu yoyote ya kuhangaika na kitabu cha Enock . Anayetaka kusoma kitabu cha pili cha Enock, asome Injili za mathato, Marko, Luka, na Yohana,.Achana na vitabu vya Enock vitakutenga na jina tamu, la Yesu maana wa Mungu Aishiye milele.
Hivi huoni kwamba kumbe hicho kitabu kina faida zaidi ndio maana kikafichwa?

Kama ni kutumiwa vibaya mbona hata sasa watu wanatumia vibaya bible kwa manufaa binafsi? Kumbe hicho kitabu ndio kizuri kwa kumuamini Mungu ili kufukuza mambo mabaya, seems injili yake ina nguvu Zaid ndio maana wajanja uliowataja wanatumia kwa malengo yao binafsi ya kujinufaisha Sasa mimi nikikitumia kumtafuta Mungu na kuona miujiza yake Kuna shida gani?

Pili inaonekana ndicho msema kweli wa jinsi binadamu wa kwanza alivyoumbwa na alivyofanana,hii mambo ya wazungu kujimwamvafy haina maana
 
Salam

Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester

Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.

Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.

Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?

Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?


Kwa hiyo Enoch alikuwa mweusi?



Uzungu na weusi is pure science and it can easily be explained through Melanin

Hao malaika hawashuki tena?

Na hakuna malaika wa kike washuke kukutana na weusi?
 
Salam

Katika soma soma zangu na kutafuta ukweli na kumtafuta Mungu wa kweli nikagundua kuna vitabu viliondolewa kwenye biblia i.e non canonical books mfano ni book of Enoch na rest of Ester

Sababu zinazotolewa ni kwamba eti kina verses ambazo wao wanaamini hazikuongozwa na roho mtakatifu.

Nilichojifunza katika kitabu cha Enoch ni juu ya origin ya mtu mweupe (kina eleza Mungu aliumba mtu mweusi ila mtu mweupe alitokana na malaika wenye tamaa i.e fallen angels waliokuwa wakiwaingilia kimwili binadamu). Vile vile kinaeleza juu ya mpinga kristo na siku za mwisho.

Swali langu:
Nini kinachowafanya wajue kama ni hekima za binadamu ukilinganisha na vitabu vingine?

Ni kwanini kilitolewa ikiwa kama hekima za Enoch i.e great grandfather of Noah zilitambuliwa na kutajwa waziwazi na waandishi wa agano jipya mfano Jude?
Ivi jews bible si bado vipo ivo vitabu?
 
Yeah, bado wapo. Ndo maana, unaona bado wanatufundisha maovu. Kwa sasa wametufundisha ngono za kila aina. Wametufundisha ku sex ktk kila tundu lililopo kwa mwanamke au mwanaume. Na bado wataendelea kutufundisha maovu zaidi hadi tukufuru. Ngono za kila aina zimezagaa kila sehem lengo lao ni kukifanya kiwe kitu cha kawaida. Uharibifu wa maadili kila kona. Wakatuaminisha binti kusoma na mimba shuleni au ana mtoto ni sawa, nasi tukaona kitu cha kawaida na tukaanza kutetea, wakati ilikuwa ni aibuu..! Mifano mingi tu ...... Kazi ipo..!
Makofi mengi kwako mkuu.[emoji1431][emoji1431][emoji1431]
 
Yes,indeed..binaadamu wa mwanzo kuumbwa na mwenyeenzi Mungu alikuwa mtu MWEUSI

Quran sura 15 Aya ya 26(suratil Hijrah),inasema kuwa Mungu alimuumba binaadamu wa mwanzo kwa udongo MWEUSI WA UFINYAZI..

Hii Aya wanaotafsiri Quran kutoka kiarabu kwenda lugha nyengine wameipindisha pindisha kutoa udongo wa rangi nyeusi

Kwa Vile Quran haibadiliki wanapata tabu,kubadilisha hii Aya
 
ulivyofanya utafiti wa awali endelea hivyo hivyo kufanya utafiti ili ujiridhishe na hiyo ''eti wanasema... ''
Wewe bado upo au ulipigwa Ban mzee unatafutwa sana huku!! ulikimbia jukwaa?
 
tatizo la watu wengi ni mareligious na sio spritual so kuna vitu hawataweza kuvijua maishani ! kuna biblia 6000 huku duniani .achana na hii moja ya mzungu aliyoiframe kwa manufaa yake hapa africa
Na tulifichwa sana enzi za utumwa na ukoloni tusijue Biblia, watumwa wa USA wakaibia muda wa kujua kusoma na kuandika, wakaijua kweli!! na asili yao, mzungu aliona hatari wakijua kusoma
 
kama wanefili ndo walikuja kua mapepo na majini vipi wale malaika walioasi pamoja na shetani je wao ni kina nani mkuu.?
Wanefil sio majini. Majini walikuwepo muda mrefu kabla binadamu hajaumbwa na wapo wanaomuabudu Mwenyezi Mungu
 
Back
Top Bottom